Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongole mkuu.Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.
Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.
Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)
Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!
Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?
Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]
Hilo ni pepo majnuni.. Shida kama zote lakini kiburi na dharau asilimia 100Kongole mkuu.
Kuna pepo limoja sijui hata liitweje; labda liitwe pepo la kiburi na dharau.
Unaweza kumkuta mtu anazo changamoto nyingi lakini hubahatika kupata Ushauri, Maoni/Maonyo kutoka kwa Jamii na watu mbalimbali wanaomzunguka; lakini kutokana na pepo lililotamalaki kwake yy hupuuzia, hubeza na kudharau hadi iwe yamemfika kama yote.
Ni uzao,siyo udhao.Waganga mnatuharibia udhao asee, yani saivi serpent blood ziko zile pure kabisa sio mixture tena
Yan tufanye ngono lakin siyo zembe na wenza sahihi.Unapopata mchumba usiharakie ndoa chukua muda wa kutosha kuichunguza familia yake mpaka huko kijijini.. Maana unaweza kuikuta hapa mjini mambo safi kumbe huko kijijini kwenye mashina na mizizi hakufai
Na ukifanikiwa kupata mwenza sahihi.. JICHUNGE NA NGONO zembe.. Ngono imeharibu mengi
Kingine ni mahusiano ya kifamilia, ndugu na ukoo.. Jihadhari mno na mafarakano.. Kuna majanga huanzia huko.. Upendo na kusamehe huokoa mengi, visasi na mifarakano huzalisha mengi
Kama alikuwa anafanya biashara ya ngono, siyo rahisi kujua baba mzaziHivi huyu wa Miezi 3 Baba yake anakosekanaje Jamani? Haya yanasikitisha sana.
Vipi ikitokea Kama wewe/ Mimi ndiyo Nina shida,na siyo huyo mwenza. Najinasuaje mkuu?Ni muhimu sana kufanya vetting ya kutosha kwenye kutafuta mwenza mwenye background yenye afya kiroho kwenye familia atokayo ili kuweza ku dissolve hiyo hali.. Lakini hii ni njia mojawapo tu
Hujawahi kuona kwenye familia yenye shida tangu kwa mababu, baba anachepuka na kuzaa mtoto anayekuwa tofauti na wengine na kuja kuwa mkombozi wa familia ama akawa kimeo
Kuna shida gan ukifanya ngono na mtu sahihi??Unapopata mchumba usiharakie ndoa chukua muda wa kutosha kuichunguza familia yake mpaka huko kijijini.. Maana unaweza kuikuta hapa mjini mambo safi kumbe huko kijijini kwenye mashina na mizizi hakufai
Na ukifanikiwa kupata mwenza sahihi.. JICHUNGE NA NGONO zembe.. Ngono imeharibu mengi
Kingine ni mahusiano ya kifamilia, ndugu na ukoo.. Jihadhari mno na mafarakano.. Kuna majanga huanzia huko.. Upendo na kusamehe huokoa mengi, visasi na mifarakano huzalisha mengi
Ashakum si matusi. Siku hizi vetting hufanywa kibinafsi zaidi na kwa ushabiki (mtu anayeoa/olewa)na hufanyika mtu akiwa amelamba kilaji maeneo ya bar/kilabuni au sehemu za starehe na kinachotazamwa ni Umbile/Muonekano wa nje e.g. "figure eight", Tako, Uwezo wa kifedha n.k. Tunakoelekea ni kubaya zaidi hadi Me anatamani Me. Aibu kubwa mno.Hiki ndicho walichokuwa wanakifanya mababu zetu zamani.. Unaweza kukataliwa ndoa kwasababu ya background ya familia
Inawezekana labda.Kama alikuwa anafanya biashara ya ngono, siyo rahisi kujua baba
Mkuu,bado umeniweka katika mabano.Sasa hapo ndio unatafuta dilution... Hasa kama positive energy ya upande wa pili ikiwa Strong umepona
Mabinti / Dada zetu wanasingizia eti wana gundu - hawaolewi.Hilo ni pepo majnuni.. Shida kama zote lakini kiburi na dharau asilimia 100
Kwa tafsiri nyepesi ni mambo ya nyota na afya ya kiroho.. Ukikutana na mtu wa hivyo na mkatengeneza familia automatically kama wewe ni dhaifu kiroho na una hayo majanga yeye ndio atakubebaMkuu,bado umeniweka katika mabano.
Naomba ufafanuzi wa kina tafadhali.
Leo unaongea kama mtumishi.Unapopata mchumba usiharakie ndoa chukua muda wa kutosha kuichunguza familia yake mpaka huko kijijini.. Maana unaweza kuikuta hapa mjini mambo safi kumbe huko kijijini kwenye mashina na mizizi hakufai
Na ukifanikiwa kupata mwenza sahihi.. JICHUNGE NA NGONO zembe.. Ngono imeharibu mengi
Kingine ni mahusiano ya kifamilia, ndugu na ukoo.. Jihadhari mno na mafarakano.. Kuna majanga huanzia huko.. Upendo na kusamehe huokoa mengi, visasi na mifarakano huzalisha mengi
Asante Sana.Kwa tafsiri nyepesi ni mambo ya nyota na afya ya kiroho.. Ukikutana na mtu wa hivyo na mkatengeneza familia automatically kama wewe ni dhaifu kiroho na una hayo majanga yeye ndio atakubeba
Kama alikuwa anafanya biashara ya ngono, siyo rahisi kujua baba mzazi
Painful and touching postPepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.
Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.
Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)
Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!
Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?
Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]
Kuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Kuna familia zina laana ya asili