Umeiweka vizuri sana na umeongezea na mengine ya kujenga hasa hapo kwenye kuisikiliza sauti ya Mungu.. Na hili ni lazima litambulike kwamba sauti ya Mungu ni kati ya mhitaji na Mungu wake na si kupitia kwa madalali wa kiimani waitwao mitume na manabii
La pili ni hili ulilonipinga lakini kumbuka kuna hiki kitu kinaitwa kizalia (DNA) hiki ndio kiunganishi cha familia mpaka ukoo, ni mnyororo usiokatika mpaka upate kiunganishi na kutengeneza mwingine
Kuhusu DNA na mnyororo unaouongelea ni Kweli kabisa. Hiyo Iko kibinadamu.
Shetani alifanikiwa kuingiza DNA yake Kwa WANADAMU baada ya Hawa kula tunda alilokatazwa na ndo mlango shetani alitumia kutesa WANADAMU.
Wamwaminio Mungu hubadilishiwa DNA za Kuzaliwa.
Mtu anaweza Toka kwenye uzao ambao ni MASKINI Kwa kurithi, wauaji Kwa kurithi, au wenye magonjwa ya kurithi nk nk.
Bt aaminipo anabadilishiwa DNA, mababu na mizimu ikimtafuta ktk frequency zao wanamkosa.
Sisi Wana wa Mungu Kutoka juu, tukimpokea mtu aliyetoka kwenye vifungo vya kiukoo, Huwa tunamtenganisha na ukoo wake na tunamsajili ktk ukoo wa Wana wa Mungu.
Mtu mmoja alikuja kuomba msaada baada ya kustukia jambo Fulani baya lililokuwa linafuata familia Yao,
Walizaliwa watoto 6, Yeye alikuwa mtoto wa mwisho, waliandamwa na vifo vilivyofuatana ktk tarehe, na mwezi.
Ilikuwa Kila ilifika tarehe hiyo na Mwizi huo atafariki mmoja wa wanafamilia, aliuzika baba, mama, kaka zake wote, na alipobaki Yeye alistuka na akaja Kwa watumishi wa Mungu.
Alikatiwa connection hiyo, akabatizwa na kubadilishwa Jina. Ilipofika tarehe na mwezi husika hakufariki.
MANABII wa Kweli na UWONGO.
Mungu husema na Kila mtu, awe mwovu au mwema, tunatofaitiana tu jinsi ya kuelewa sauti hiyo sababu husema Kwa mafumbo ktk ndoto, maono au ktk Ulimwengu wa Roho.
Mtu anaweza kujisaidia Yeye mwenyewe bila kwenda Kwa manabii wa uongo kama tu atamkiri Yesu, ataacha dhambi na kuishi maisha ya usafi wa mwili na NAFSI.
Mungu hasemi na manabii pekee, anasema na watu wote, waislamu, wapagani nk nk Sema tu hawajui kusikia asemavyo.
Kama Kuna NABII wa Kweli, basi na Nabii wa UONGO yupo,
Kama Kuna mitume wa uongo, basi jua mitume wa Kweli wapo.
Hapa Tanzania Kwa mfano, Kuna madhabahu kubwa sana ya masonry inayowameza watumishi wa Mungu kuwatoa Kwa Mungu na kuwasajili huko.
Wanaanza vizuri, baada ya muda Fulani wanatekwa na kuingia huko.
Anayejiita Mzee wa.....na buldo... , Mwingiraaar,suguyuye,nk Walianza ktk Mungu bt nw ni manabii wa uongo.
Mwl Mwakasege,Mch Eliud misholi, Mch MBARIKIWA,Shehe Umar, Mchungaji Katunzi, Amiel Katekela ni baadhi ya Manabii wa KWELI wa Mungu.
So kama Bado ni mchanga kiimani Si vibaya kutafuta manabii wa Kweli wa Mungu ambao ni Wachache sana wenye kuihubiri Kweli ya Mungu.
Aamen