Kabisa .Leo unaongea kama mtumishi.
Ubarikiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa .Leo unaongea kama mtumishi.
Ubarikiwe.
Asiyekuwa na akili?Kwa hiyo unaweza kuta Baba ni Mwanaume mwenye uwezo tu na asiyekuwa na akili?
Sidhani kama hii ni sahihi sana. Tuanshauriwa kuzienzi mila sahihi na kuachana na zile mila potofu.Yote haya ni matokeo ya kuendekeza mizimu,
Asiyekuwa na akili?
Unaweza kuta hata ni prof kabisa pale SUA
Hapo kwenye dilution sasa ndo unatoka njiani.Sasa hapo ndio unatafuta dilution... Hasa kama positive energy ya upande wa pili ikiwa Strong umepona
Muhimu sana kuthamin damu yako[emoji1548][emoji1545][emoji817] NA KUILINDA kwakuwa ikienda kuharibika hata wewe hutabaki salamaAkili nikujua kuwajibika ki matendo, ukiwa proffesor:
1. Ukanunua mwanamke - huna akilin.
2. Ukanunua ujavaa kinga - mwehu.
3. Hukuwaza mimba na mtoto pengine kuzaliwa - unakua kichaa kabisa.
Muhimu sana kuthamin damu yako.
Umeiweka vizuri sana na umeongezea na mengine ya kujenga hasa hapo kwenye kuisikiliza sauti ya Mungu.. Na hili ni lazima litambulike kwamba sauti ya Mungu ni kati ya mhitaji na Mungu wake na si kupitia kwa madalali wa kiimani waitwao mitume na manabiiHapo kwenye dilution sasa ndo unatoka njiani.
Ameen
Asante kwa kushiriki mjadala na karibu tuendelee kuelimishana na kufundishana mkuu BILGERT [emoji1752][emoji1545]Hizi ni imani tu mzee..kwamba kuna familia ambayo hakuna aliye zalia nyumbani bila NDOA? Kuna familia ambayo hakuna watu fukara?
Cc Robert Heriel Mtibeli tusaidie kuchanganua hili jambo
Kuwatambua watu wa aina hiyo mzee mshana kwa mtindo huu wa maisha ya sasa si ni vigumu sana?Hao wapo wengi mno
Chumvi ni uchawi tu.Chumvi hukata minyororo
Ahsante mkuu.. bahati nzuri wewe umesoma yoga na meditation mkuu.Asante kwa kushiriki mjadala na karibu tuendelee kuelimishana na kufundishana mkuu BILGERT [emoji1752][emoji1545]
Kinachowaponza wengi ni tamaa na kupenda short cut.. Yaani mtu humfahamu vizuri tayari ushamparamia.. Iwe hiyo moja basi.. Unanogewa na kuendelea halafu taratibu kuna vitu unaanza kuviona ambavyo si vya kawaida sana lakini unapuuziaKuwatambua watu wa aina hiyo mzee mshana kwa mtindo huu wa maisha ya sasa si ni vigumu sana?