Kuna pepo likiingia kwenye familia hutafuna vizazi vingi

Kuna pepo likiingia kwenye familia hutafuna vizazi vingi

Kama ni hivo basi Yesu inabidi aje Tena. Maana yake pamoja na hadi kusurubiwa msalabani lakini bado shetani anatamba tu.

Sipendi watu wanaohusisha changamoto na Imani. Nyumbani wananiambiaga Nina Pepo la ubishi, na Mimi nawaambia Kwa hiyo nyinyi mna malaika wa kukubalikubali Kila kitu bila logic
Kiuhalisia ni hakuna ivo vitu vinavoitwa sijui mapepo, sijui mashetani, sijui majini, sijui laana nk. Hizi ni imani zilizozojengwa kwenye familia zetu za kiafrica na kurithishana vizazi hadi vizazi kwamba hayo wanayoita mapepo ndio chanzo na matokeo ya matatizo fulani fulani yanayowakabili kwenye ngazi ya familia yao au ukoo, mwisho wa siku matatizo kama umasikini, kukosa ndoa kuoa au kuolewa, uzinzi, kukosa elimu, tabia mbovu, na kila aina ya matokeo mabaya na matatizo yote wamesukumiwa hayo yanayoitwa mapepo au kufichwa kwenye kivuli kinaitwa laana.
 
Kila jambo ni vema kulipima, hasa mambo nyeti yanayohusu Imani. Changamoto unayoweza kuipata katika kutafuta usahihi ni namna unavyotenga utulivu wa kuisikia sauti ya kweli (sauti ya ndani) kwa sababu wakati mwingine unaweza kujikuta unavutana na mtu aliyeendelea sana kiakili na kiufahamu kuliko wewe, hivyo akawa na hoja zinazoonekana zina nguvu zaidi kuliko hoja zako, ingawaje hoja zake haziwezi kupingana na ukweli unaosikia ndani yako
Hiyo sauti ya ndani utaisikia kadiri ya IQ. Kama uwezo wako wa kufikiria umeegemea zaidi kwenye imani za kishirikina, basi sauti utakayoisikia ndo kama ya mleta mada.

Ila kama umejizoesha kufikiria Kwa mawazi huru yenye kuleta logic, huwezi kuhusianisha changamoto zako na habari za mapepo Bali utajibidiisha kuumiza kichwa kuangalia umekosea wapi urekebishe
 
Pepo la magonjwa.
Pepo la vifo.
Pepo la kuwa mashoga na wasagaji
Pepo la kupenda ngono na vitoto vidogo
Pepo la kupenda wake za watu
Pepo la uvivu na umaskini
Pepo la wizi
 
Kiuhalisia ni hakuna ivo vitu vinavoitwa sijui mapepo, sijui mashetani, sijui majini, sijui laana nk. Hizi ni imani zilizozojengwa kwenye familia zetu za kiafrica na kurithishana vizazi hadi vizazi kwamba hayo wanayoita mapepo ndio chanzo na matokeo ya matatizo fulani fulani yanayowakabili kwenye ngazi ya familia yao au ukoo, mwisho wa siku matatizo kama umasikini, kukosa ndoa kuoa au kuolewa, uzinzi, kukosa elimu, tabia mbovu, na kila aina ya matokeo mabaya na matatizo yote wamesukumiwa hayo yanayoitwa mapepo au kufichwa kwenye kivuli kinaitwa laana.
Umeongea vyema mkuu. Ebu fikiria familia haiwajibiki vyema katika malezi borq na makuzi ya watoto hasa wa kike. Unategemea huyo mtoto atapata ndoa?

Kama familia haijitumi kupambana na Umaskini kwa kufanya kazi, unategemea wataepuka Umaskini?

Mambo mengi ni Cause and Effect,tusitafute sijui mchawi laana.
Hamuoni watu wanapiga mapesa kwa ufisadi? Na mwisho wa siku ni matajiri wa kutupwa..je wao nafasi ya laana iko wap?

Kwamba wameruhusiwa tutendewe hayo? Tena pesa walizo fisadi ni za watu maskini kabisa
 
Huhitaji kwenda kwa wachungaji mkuu,kuna procedure za kurelease karmic energy ambazo umezibeba kwa kufanya Yoga au Meditation ingawa ni very painful process.

Jifunze maana ya yoga na meditation.
Mshana Jr
Sikatai hiyo njia ya meditation bt njia hiyo ni local na primitive.

Najua yoga ni njia ya kuingia ktk spiritua realm Kwa njia isiyoruhusiwanna Mungu.

Mtu ni ROHO,vanayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Adam kabla ya kuasi pale bustanini Macho hayo ya Rohoni yalikuwa wazi, yalifungwa pale Hawa alipokula tunda.

Sisi Wana wa Mungu macho hayo ya wazi muda wote, tunayapata kupitia Roho wake MTAKATIFU mtu anapoamini.

Note: Kupitia meditation, Si Rahisi kukutana na Mungu maana umeingia kupitia njia haramu, ndomana Huwa mnashuhudia kuona mauzauza ktk hatua za mwanzo.

Mchawi hamwogopi mtu anaenda kusali daily, mchawi hamwogopi padri au cheo Cha Askofu kama Hana Mungu,

Mchawi na shetani humwogopa sana mtu ALIYEOKOKA na anenaye Kwa Lugha za Mbinguni na Malaika Kwa Roho MTAKATIFU.

Wakutanapo watu hao wawili ktk spiritual realm, mmoja aliyeokoka na mchawi au mganga hakukaliki.

Angalizo; Mnaofanya meditation, nnajiweka ktk hatari ya Kupata AJALI ya kukatila Ile KAMBA ya SILVER inayounga mwili na Roho hivyo kupoteza maisha.

Tumieni njia ya maombi, ni Rahisi sana kupata solution kupitia maono, ndoto, dhamira nk nk.
 
so sad aisee.. unaweza kuta hata kuzaa hao watoto haikuwa ridhaa yake...
 
Kuhusu DNA na mnyororo unaouongelea ni Kweli kabisa. Hiyo Iko kibinadamu.

Shetani alifanikiwa kuingizwa DNA yake Kwa WANADAMU baada ya Hawa kula tundra alilokatazwa na ndo mlango shetani alitumia kutesa WANADAMU.

Wamwaminio Mungu hubadilishiwa DNA za Kuzaliwa.

Mtu anaweza Toka kwenye uzao ambao ni MASKINI Kwa kurithi, wauaji Kwa kurithi, au wenye magonjwa ya kurithi nk nk.

Bt aaminipo anabadilishiwa DNA, mababu na mizimu ikimtafuta ktk frequency zao wanamkosa.

Sisi Wana wa Mungu Kutoka juu, tukimpokea mtu aliyetoka kwenye vifungo vya kiukoo, Huwa tunamtenganisha na ukoo wake na tunamsajili ktk ukoo wa Wana wa Mungu.

Mtu mmoja alikuja kuomba msaada baada ya kustukia jambo Fulani baya lililokuwa linafuata familia Yao,

Walizaliwa watoto 6, Yeye alikuwa mtoto wa mwisho, waliandamwa na vifo vilivyofuatana ktk tarehe, na mwezi.

Ilikuwa Kila ilifika tarehe hiyo na Mwizi huo atafariki mmoja wa wanafamilia, aliuzika baba, mama, kaka zake wote, na alipobaki Yeye alistuka na akaja Kwa watumishi wa Mungu.

Alikatiwa connection hiyo, akabatizwa na kubadilishwa Jina. Ilipofika tarehe na mwezi husika hakufariki.



MANABII wa Kweli na UWONGO.

Mungu husema na Kila mtu, awe mwovu au mwema, tunatofaitiana tu jinsi ya kuelewa sauti hiyo sababu husema Kwa mafumbo ktk ndoto, maono au ktk Ulimwengu wa Roho.

Mtu anaweza kujisaidia Yeye mwenyewe bila kwenda Kwa manabii wa uongo kama tu atamkiri Yesu, ataacha dhambi na kuishi maisha ya usafi wa mwili na NAFSI.

Mungu hasemi na manabii pekee, anasema na watu wote, waislamu, wapagani nk nk Sema tu hawajui kusikia asemavyo.

Kama Kuna NABII wa Kweli, basi na Nabii wa UONGO yupo,

Kama Kuna mitume wa uongo, basi jua mitume wa Kweli wapo.

Hapa Tanzania Kwa mfano, Kuna madhabahu kubwa sana ya masonry inayowameza watumishi wa Mungu kuwatoa Kwa Mungu na kuwasajili huko.

Wanaanza vizuri, baada ya muda Fulani wanatekwa na kuingia huko.

Anayejiita Mzee wa.....na buldo... , Mwingiraaar,suguyuye,nk Walianza ktk Mungu bt nw ni manabii wa uongo.

Mwl Mwakasege,Mch Eliud misholi, Mch MBARIKIWA,Shehe Umar, Mchungaji Katunzi, Amiel Katekela ni baadhi ya Manabii wa KWELI wa Mungu.

So kama Bado ni mchanga kiimani Si vibaya kutafuta manabii wa Kweli wa Mungu ambao ni Wachache sana wenye kuihubiri Kweli ya Mungu.

Aamen
Ni vigumu sana kujua nani ni mwenye haki na nani asiye haki isipokuwa umefunuliwa, na utaeleweka tu na wale waliokusudiwa kuelewa kwa kupitia wewe. Wengine wapo dhahiri kabisa hawafanyi iliyo haki na bado vipofu wengi wanajazana huko katika uangamivu kwa kukosa maarifa. Haya uliyoyaandika hapa ni siri sana, inajulikana zaidi na wanaokaa sirini
 
Sikatai hiyo njia ya meditation bt njia hiyo ni local na primitive.

Najua yoga ni njia ya kuingia ktk spiritua realm Kwa njia isiyoruhusiwanna Mungu.

Mtu ni ROHO,vanayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Adam kabla ya kuasi pale bustanini Macho hayo ya Rohoni yalikuwa wazi, yalifungwa pale Hawa alipokula tunda.

Sisi Wana wa Mungu macho hayo ya wazi muda wote, tunayapata kupitia Roho wake MTAKATIFU mtu anapoamini.

Note: Kupitia meditation, Si Rahisi kukutana na Mungu maana umeingia kupitia njia haramu, ndomana Huwa mnashuhudia kuona mauzauza ktk hatua za mwanzo.

Mchawi hamwogopi mtu anaenda kusali daily, mchawi hamwogopi padri au cheo Cha Askofu kama Hana Mungu,

Mchawi na shetani humwogopa sana mtu ALIYEOKOKA na anenaye Kwa Lugha za Mbinguni na Malaika Kwa Roho MTAKATIFU.

Wakutanapo watu hao wawili ktk spiritual realm, mmoja aliyeokoka na mchawi au mganga hakukaliki.

Angalizo; Mnaofanya meditation, nnajiweka ktk hatari ya Kupata AJALI ya kukatila Ile KAMBA ya SILVER inayounga mwili na Roho hivyo kupoteza maisha.

Tumieni njia ya maombi, ni Rahisi sana kupata solution kupitia maono, ndoto, dhamira nk nk.
PSALM 19:14

14 May these words of my mouth and this MEDITATION of my heart be pleasing in your sight, LORD, my Rock and my Redeemer.
 
Ki vipi mkuu?
Kwenye ubongo Kuna mawimbi yanayohusika na kumbukumbu na kufikiri. Hayo mawimbi hufanya kazi taratibu sana. Kwahiyo, kama utatumia mda mrefu kuwaza kitu Fulani, hayo mawimbi yanaendelea kuchakata hizo taarifa unazowaza taratibu.

Kwahiyo unapoenda kulala, hayo mawimbi unakuta Bado yanafanya kazi, ndo maana unaota.
 
Haisadifu chochote bali ndio kisababishi cha hii post, amekufa lakini hana ndugu wala wazazi, na ameacha watoto wawili lakini hajasema chochote kuhusu baba yao/zao
mkuu samahani naomba ufungue pm kuna ishu flani ya kibinafsi
 
Katika hiyo familia mmoja anaweza kuwa mshirikina na kuwaletea Pepo la kuwamaliza ili yeye mambo yake yaende. Kuna mtu anaishi mjini na starehe zake ila wazazi na ndungu zake wanateseka kijijini. Akienda chap, anawapa wazaze wake pesa kidogo kwa kutumia mkono wa kushoto. Hilo ni pepo!!
Ogopa sana familia yenye mchawi ama inayoamini ushirikina
 
PSALM 19:14

14 May these words of my mouth and this MEDITATION of my heart be pleasing in your sight, LORD, my Rock and my Redeemer.
Meditation inayoongelewa ktk Psalms19:14 ni kutafakari neno la Mungu.

Meditation ya Yoga ni tofauti na hiyo ktk BIBLIA, meditation ya Yoga lazima ukunje miguu ktk mkao Fulani na kuweka mikono ktk pause Fulani Ili kucomnect na Ulimwengu mwingine.

Meditation na uchawi hauna tofauti, anayemeditate anachelewa Kutoka ktk mwili sababu anafanya ktk uwazi bila kificho ukilinganisha na mchawi ambaye huingia ktk Siri.

Mungu amekataza watu kupractice uchawi au kujiconnect au Kutoka mwilini Kwa kutumia jicho la Tatu la Shetani.
 
Back
Top Bottom