zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
You're biased wanachofanya Israel na urusi ni yale yale why unageuza kana kwamba Hamas ndio mchokozi ilihali Israel anaikalia kimabavu palestina. Kama hupendezwi na Russia then usipendezwe na israelNiko very objective, Israel walikua wanaishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla kwa mihemko ya dini HAMAS wakatuma rockets 4,000 kwa siku moja.
Sielewi mlitegemea Israel waimbe taarab wasifanye chochote....
Kwahiyo kupigania uhuru wako ni ujinga? Yaani ukraine ni mjinga kupambana na Urusi? Ulitaka hao palestina wakubali tu kuporwa ardhi!!Ni kweli ukiangalia kinachoendelea kinasikitisha mno, inatosha! Lkn yote haya Ni hesabu za kijinga za Hamas
What comes around goes around.... yatakuja kuwarudia kama enzi za Hitler tu and they'll suffer mara 100 ya haya wanayofanya.
They have nothing to lose either way.... wasipopigana wanakufa wakipigana wanakufa. Ni ajabu sana kushangaa mtu kupigania uhuru wake!! Kwamba ulitaka waporwe ardhi yao wakae kimya kisa adui ana vifaru?Kwa mapigo yanayoendelea sasa hivi ni kama wanarudishwa nyuma miaka 50, kila kitu kinasambaratishwa, bomu linashusha ghorofa lote unaliona.
Mambo ya ngoswe. Mbona hujali picha za DRC na Sudan mtumwaa we?Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.
Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.
Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.
Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.
Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.
... in short you mean ilichofanya Urusi kwa Ukraine ndicho walichofanya Hamas kwa Israel!
Hadi Russia na Ukraine ni waislamu wanapigana
Naona umesahau
Ugaidi gani mkuu? Kupigania uhuru sio ugaidi hizo mbinu hata Mandela alitumia kumdhoofisha kaburu ilihali alijua amezidiwa silaha na majeshi!!
Huwezi ogopa kupambana kisa unaogopa majibu ya adui. Ingekua hivyo kina Nyerere wasingeweza support mataifa ya afrika kupambana na majeshi ya kikoloni.
You're biased wanachofanya Israel na urusi ni yale yale why unageuza kana kwamba Hamas ndio mchokozi ilihali Israel anaikalia kimabavu palestina. Kama hupendezwi na Russia then usipendezwe na israel
Walijua Allah ataipindua Israel overnight.Shida sana.Ukijiuluza hao HAMAS walikuwa wanawaza kitatokea nini wakianzisha fujo hupati jibu!The grand mistake!
They have nothing to lose either way.... wasipopigana wanakufa wakipigana wanakufa. Ni ajabu sana kushangaa mtu kupigania uhuru wake!! Kwamba ulitaka waporwe ardhi yao wakae kimya kisa adui ana vifaru?
Kwa akili hizi ndio maana Kenya imejaa rushwa kila kona.
Kumbe nawe mjinga kiasi hiki?Ugaidi gani mkuu? Kupigania uhuru sio ugaidi hizo mbinu hata Mandela alitumia kumdhoofisha kaburu ilihali alijua amezidiwa silaha na majeshi!!
Huwezi ogopa kupambana kisa unaogopa majibu ya adui. Ingekua hivyo kina Nyerere wasingeweza support mataifa ya afrika kupambana na majeshi ya kikoloni.