zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Nimeshaandika nyuzi nyingi sana juu ya Israel so hakuna ambacho sikifahamu. Hiyo ardhi ilishakua imegawanywa 50:50 wao ndio kila mwaka wanajitanua. Na nimeeleza sio Palestine tu walijitanua Misri kwa kupora Sinai na pia wakapora eneo la Golan heights kutoka Syria n.kPitia huo uzi upya bila mihemko utajifunza kitu
Duuh!Jamani msiwalaum Hamas bali laumuni mafundisho ya Kiislam hasa SUNNI. Wanapandikiza chuki kwa watoto wao Tangu wako wadogo. Kwenye hii video ya Twitter wenyewe wanasema wanafundishwa hivyo
View: https://x.com/AshleaSimonBF/status/1712437042213204404?s=20
Tanzania hakuna Radical IslamistsTanzania kuna Uislam je vurugu zi wapi mkuu?
Akili ipi? Kushabikia uonevu na majeshi ya kigeni kukalia ardhi ya wengine? Kisiwa cha migingo kilifanya mlete vurugu na Uganda ndio sembuse wangekalia eneo kama Busia au Bungoma?Wala sipo kwenye dini moja na Wayahudi, natumia akili kudadavua, inapaswa na wewe pia utumie ubongo utaelewa.
Myahudi ama Wayahudi ni kina nani?Jews tunawaita hivyo sababu ya Judaeah sio sababu ya dini!! Najua unafahamu makabila 10 yalipotea utumwani na yaliyobaki yalikua Juda + Ephraim. So Jews ikaanzia hapo.
Israel pia sio "taifa" ilikua jina la Yakobo.
Kwa logic hii hata eneo kuitwa Israel haina maana wanaoishi hapo ni original Jews wengi ni wazungu tu (Ashkenazi Jews) sio wale original kama Sephardic Jews!
Yeah hata sisi tukiwa wadogo tulifundishwa nyimbo kibao za kumkashifu Idd amin, wakoloni na makaburu wa Afrika Kusini. Tulikua tunasimuliwa jinsi Idd Amin alikua anakula nyama za binadamu, alikua anaoga damu za watu na alikua anatupa walemavu ziwa Victoria.Jamani msiwalaum Hamas bali laumuni mafundisho ya Kiislam hasa SUNNI. Wanapandikiza chuki kwa watoto wao Tangu wako wadogo. Kwenye hii video ya Twitter wenyewe wanasema wanafundishwa hivyo
View: https://x.com/AshleaSimonBF/status/1712437042213204404?s=20
Nadhani unatafuta mfano usiofanana na kinachojiri Mashariki ya Kati.Hivi mkuu majambazi yateke mtaa wenu ili yaibe.
Wewe ukaamka na panga ukamshambulia jambazi mmoja.
Sheikh Ilunga?
Hawa walikua wanatokea Judea (Southern Kingdom) na hata kiimani ni tofauti kabisa na "waisrael" waliokua wanaishi Kingdom of Israel (Makabila Kumi). So kuanzia jina mpaka imani ya kiyahudi inatokana na wao kuishi hapo Judea.Wayahudi ni kina nani?
Oooh kumbe, kabila gani hilo lilirejea mkuu katika Kingdom of Israel?Kabla ya Kristo, Makabila ya Israel walirejea
Duh..Chuki hiyo wanakuwa nayo hata wakiwa wakubwa ona huyu kijana wa kiislam anavyosema waziwazi kuwa atawakata vichwa wakiristo na Jews kwa sababu anawachukia kwa akili ya Allah
View: https://x.com/DaveAtherton20/status/1712487544040903023?s=20
Nimeuliza tu swali naomba unijibu kama lilivyo.Nadhani unatafuta mfano usiofanana na kinachojiri Mashariki ya Kati.
Vipi Anti balaka huko CAR ilikua ni Christian extremists pamoja na LRA ya Kony nayo imechinja sana huko Congo na CAR!!Kwanza mnashambulia wanavijiji huko Congo kisa hiyo dini yenu, soma kuhusu AFP.
Alooo, mbona kama maagizo ya kigaidiHao ni ile tu hawafuati maagizo ya uislamu, ila ingekua balaa
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hebu tuambie eneo la asili ya Wayahudi ni lipi?Sio kweli, tukienda kihistoria au kidini hao Israel walikuta tayari watu wanaishi hapo wale canaanites. Walichofanya ni kuua (Mass genocide) ya wenyeji ndio wakapoka maeneo..... mengineyo walinunua ila originally haikua ardhi yao hata Bible ipo clear.
Same to Kagera historically sio ardhi ya Tanzania, Ziwa nyasa sio part ya Tanzania, Alaska sio Marekani, California sio marekani n.k sasa kila mtu akidai ardhi ya kihistoria hivi kuna nchi itapona kweli?
Kwa muktadha wa swali kama lilivyo nakujibu HapanaNimeuliza tu swali naomba unijibu kama lilivyo.
Hamna watu wanaokufa kila siku,acha uongo,ushawahi kufika huko ukaona?Uongo ni upi? Israel amevamia maeneo ya palestina na watu wanakufa kila siku cha ajabu wakijibu mapigo mnawaita magaidi.
Ni sawa tu na tulichofanya huku Tanzania kusponsor vyama vya wapigania uhuru kung'oa utawala wa wakoloni.
Uongo huu sasa!They have nothing to lose either way.... wasipopigana wanakufa wakipigana wanakufa. Ni ajabu sana kushangaa mtu kupigania uhuru wake!! Kwamba ulitaka waporwe ardhi yao wakae kimya kisa adui ana vifaru?
Kwa akili hizi ndio maana Kenya imejaa rushwa kila kona.
Nimeshaandika nyuzi nyingi sana juu ya Israel so hakuna ambacho sikifahamu. Hiyo ardhi ilishakua imegawanywa 50:50 wao ndio kila mwaka wanajitanua. Na nimeeleza sio Palestine tu walijitanua Misri kwa kupora Sinai na pia wakapora eneo la Golan heights kutoka Syria n.k
So kujitanua ni policy yao, ni sawa na anachofanya Putin huko Ukraine alafu eti muwalaumu Kyiv kwa kujitetea?