Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Niko very objective, Israel walikua wanaishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla kwa mihemko ya dini HAMAS wakatuma rockets 4,000 kwa siku moja.
Sielewi mlitegemea Israel waimbe taarab wasifanye chochote....

Kwa Urusi, watu wa Ukraine waliishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla Urusi kwa mihemko ya Putin, ikaanza kushambulia kwa kila aina ya silaha, ila Ukraine wakajikakamua na kugeuza kibao.....

Issue mbili hizo zinahitaji ilmu ya dunia kuzielewa, sio ile ya madrassa.
Yani wamegeuza kibao ushewahi kuona jengo la urusi likashuka chini
 
Niko very objective, Israel walikua wanaishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla kwa mihemko ya dini HAMAS wakatuma rockets 4,000 kwa siku moja.
Sielewi mlitegemea Israel waimbe taarab wasifanye chochote....

Kwa Urusi, watu wa Ukraine waliishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla Urusi kwa mihemko ya Putin, ikaanza kushambulia kwa kila aina ya silaha, ila Ukraine wakajikakamua na kugeuza kibao.....

Issue mbili hizo zinahitaji ilmu ya dunia kuzielewa, sio ile ya madrassa.
... in short you mean ilichofanya Urusi kwa Ukraine ndicho walichofanya Hamas kwa Israel!
 
Mbona huilaani Israel kwa kupiga majengo na kuharibu makazi ya watu, lakini ikija upande wa Urusi unalaani kwelikweli. Be objective Omera
Ivi ulitegemea israel akae kimya kwa uvamizi na unyama walio ufanya hmas Lazima wavune walicho panda hamas. Kuhusu urusi lazima alaumiwe. Sababu yeye ndie alie fanya uvamizi ukrain. Na ndie alie anzisha vita
 
Alie wadanganya km yupo wamkate kate km nyama ya kuku maana kawaingiza kwenye mtumbwi wa vibwengo.Israel hawana show za vumbi la kikongo wana show za kibabe wamepiga Gaza imegeuka magofu na bado anawapelekea moto.
Wenyew wanasema ni mwanzon tu....sasa hofu yangu wakianza ndo Nini kitafuatia
 
Hao ni ile tu hawafuati maagizo ya uislamu, ila ingekua balaa

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Saudi Arabia ambapo ndio kitovu Cha uislamu Kuna mavurugu??

Wewe umeielewa sana Quran kuliko wao ???
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
Hadi Russia na Ukraine ni waislamu wanapigana

Naona umesahau
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS
Ugaidi gani mkuu? Kupigania uhuru sio ugaidi hizo mbinu hata Mandela alitumia kumdhoofisha kaburu ilihali alijua amezidiwa silaha na majeshi!!

Huwezi ogopa kupambana kisa unaogopa majibu ya adui. Ingekua hivyo kina Nyerere wasingeweza support mataifa ya afrika kupambana na majeshi ya kikoloni.
 
Back
Top Bottom