This is good idea. kesho ngoja niende CRDB nika apply mkopo 😀😀Kama mzee wa kufake, unanunua hii hafu unaweka badge ya Range Rover.
Kuna mtandao wa mawasiliano utausikiaSUV yao iitwayo Tiggo 7
Kusema kweli kweneye quality, naogopa gari zao especially hizi zenye specifications kubwa hafu bei unakuta chini ya $20k.Ila wachina wameshindikana, SUV na engine ya 1.6/1.5 L, Sasa hio si ist iliyochangamka.
Kiukweli wazungu huwa wana ubora flani wanazingatia, kwa mchina hio sahau.
hivi upo mkuuBila shaka body yake itakua imeundwa na mabati ya fensi
SUV yenuw hiyo engine ni matatizo tu.. weight ratio.. ni 🥴🥴Ila wachina wameshindikana, SUV na engine ya 1.6/1.5 L, Sasa hio si ist iliyochangamka.
Kiukweli wazungu huwa wana ubora flani wanazingatia, kwa mchina hio sahau.
Matajiri jeuri wa kibongo hawawezi vuta za namna hii ina fanya waonekane wannabes 😄Hahhaa naikumbuka ile Landwind X7, ilikatazwa kutolewa nje ya China.
hivi Mad Max unamiliki gar gani? au ww ni fundi gereji?
Mchina anapiga kotekote ndo maana kwa soko la ulaya wamemuogopa na viwanda vyao vipo hatarini kufungwa,,,,ulaya anapeleka gari quality na kwa bei nafuu kiasi cha kwamba watengeneza magari ulaya wanashindwa kushindana naeIla wachina wameshindikana, SUV na engine ya 1.6/1.5 L, Sasa hio si ist iliyochangamka.
Kiukweli wazungu huwa wana ubora flani wanazingatia, kwa mchina hio sahau.