Kuna Range Rover Evoque kutoka China huku

Kuna Range Rover Evoque kutoka China huku

Ni mini SUV, hata VW wanayo yenye 1.4 min suv so ni normal
Hio engine ya kichina, sidhani kama ina features na uwezo kama wa hio engine ya vw, hio hio gari bei wanasema ni $ 20000, hapo na kiwanda kimepata faida.

Kiukweli hio engine nadhani haina hadhi kuwa kwenye SUV.

SUV ni gari ya kazi, hio engine hapana.
 
Kwa mchina anaweza akatengeneza shock absorbers one for all yaani kwenye lorry twende kwende pikipiki au gari hiyo hiyo unafunga 😄 🤣
Sahihi mkuu, usije shangaa wanachukua engine ya bajaji na ku modify kiasi halafu wanaweka kwenye hio SUV.

Chinese ndivyo walivyo.
 
Cherry kutoka china wametangaza SUV yao iitwayo Tiggo 7 ambayo itaingia sokoni kuanzia mwakani 2025.
View attachment 3097795
Kinachovutia zaidi sio SUV, bali ni jinsi ilivyofanana na Range Rover Evoque.
View attachment 3097796
Inakuja na option ya petrol au plugin hybrid.
View attachment 3097797
Version ya petrol itakuja na The turbocharged 1.6-litre four-cylinder engine, either FWD au AWD automatic transmissions.
View attachment 3097798
Na version ya Plug-in hybrid (PHEV) itakua na turbocharged 1.5-litre four-cylinder petrol engine.

Kama mzee wa kufake, unanunua hii hafu unaweka badge ya Range Rover.
Inaweza ikawa nzuri sana lkn kwa vitu vyao hakuna mwenye habari nazoo

Watuu wanataka quality thing and not quality
 
Back
Top Bottom