and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Hio engine ya kichina, sidhani kama ina features na uwezo kama wa hio engine ya vw, hio hio gari bei wanasema ni $ 20000, hapo na kiwanda kimepata faida.Ni mini SUV, hata VW wanayo yenye 1.4 min suv so ni normal
Kiukweli hio engine nadhani haina hadhi kuwa kwenye SUV.
SUV ni gari ya kazi, hio engine hapana.