Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Wewe ndo unavimba na STN LC 2024. Nyinyi ndo wanaume mkuu๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Haha dereva boss. Nawaendesha maboss STL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo unavimba na STN LC 2024. Nyinyi ndo wanaume mkuu๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Haha dereva boss. Nawaendesha maboss STL.
kumbe vzr one day utanunua.vโธ yakoHaha dereva boss. Nawaendesha maboss STL.
Sahivi Mchina hakamatiki kwenye automobile. Ni either ujiunge nae au uwe adui yake.A hapo imagine hiyo Chery kwa China ni kampuni ya 8 by sales volume
Sahivi Mchina hakamatiki kwenye automobile. Ni either ujiunge nae au uwe adui yake.
USA anatamani sana kuiendeleza hii vita ila inampa stress. Tesla China ni nchi ya pili kwa kununua, imagine nao wakimkazia.
Kawawekea ushuru mkubwa sana kuingiza vyuma US ila bado vinaingia.
Buy at your own risk๐๐Magari ya China mengi chenga
ThubutuBei Mkuu? Kama itakuwa bei ya IST tutanunua.
Kampuni nyingi za china nimeona zimeiga muunda wa range katika magari mengi ya suv. ila mchina hii copy na paste plus ana makampuni mengi ya affordable evs ndio maana ulaya inapiga nduruCherry kutoka china wametangaza SUV yao iitwayo Tiggo 7 ambayo itaingia sokoni kuanzia mwakani 2025.
View attachment 3097795
Kinachovutia zaidi sio SUV, bali ni jinsi ilivyofanana na Range Rover Evoque.
View attachment 3097796
Inakuja na option ya petrol au plugin hybrid.
View attachment 3097797
Version ya petrol itakuja na The turbocharged 1.6-litre four-cylinder engine, either FWD au AWD automatic transmissions.
View attachment 3097798
Na version ya Plug-in hybrid (PHEV) itakua na turbocharged 1.5-litre four-cylinder petrol engine.
Kama mzee wa kufake, unanunua hii hafu unaweka badge ya Range Rover.
Unazichambua ndinga vizuri sana mkuu, hongera.Haha dereva boss. Nawaendesha maboss STL.
Tushaona engine za 1.4 zikiproduce power sawa na 2.7 ya discovery unadhani kuna cha ajabu kwenye 1.5/1.6 turbo kupower SUV kama hiyo?Ila wachina wameshindikana, SUV na engine ya 1.6/1.5 L, Sasa hio si ist iliyochangamka.
Kiukweli wazungu huwa wana ubora flani wanazingatia, kwa mchina hio sahau.