and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Hio engine ya kichina, sidhani kama ina features na uwezo kama wa hio engine ya vw, hio hio gari bei wanasema ni $ 20000, hapo na kiwanda kimepata faida.Ni mini SUV, hata VW wanayo yenye 1.4 min suv so ni normal
Sahihi mkuu, usije shangaa wanachukua engine ya bajaji na ku modify kiasi halafu wanaweka kwenye hio SUV.Kwa mchina anaweza akatengeneza shock absorbers one for all yaani kwenye lorry twende kwende pikipiki au gari hiyo hiyo unafunga 😄 🤣
Inaweza ikawa nzuri sana lkn kwa vitu vyao hakuna mwenye habari nazooCherry kutoka china wametangaza SUV yao iitwayo Tiggo 7 ambayo itaingia sokoni kuanzia mwakani 2025.
View attachment 3097795
Kinachovutia zaidi sio SUV, bali ni jinsi ilivyofanana na Range Rover Evoque.
View attachment 3097796
Inakuja na option ya petrol au plugin hybrid.
View attachment 3097797
Version ya petrol itakuja na The turbocharged 1.6-litre four-cylinder engine, either FWD au AWD automatic transmissions.
View attachment 3097798
Na version ya Plug-in hybrid (PHEV) itakua na turbocharged 1.5-litre four-cylinder petrol engine.
Kama mzee wa kufake, unanunua hii hafu unaweka badge ya Range Rover.
Wamepitia mengi haoSahihi mkuu, usije shangaa wanachukua engine ya bajaji na ku modify kiasi halafu wanaweka kwenye hio SUV.
Chinese ndivyo walivyo.