Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Last month nilipigwa na Joto hapo ifakara sijawahi lipata tanzania.Joto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi
Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto TZ?
Fika kimara uliza king'ongo wapi! Huko huwa kuna hali ya hewa nzuri sana.Hii sehem ipo wapi aiseeee nitafute kiwanjaaa...
Chief kimara n kubwa sana.Fika kimara uliza king'ongo wapi! Huko huwa kuna hali ya hewa nzuri sana.
Vyote kwa pamojaCha moto au cha mtema Kuni za joto?
Unaipata relative humidity ya Dar mkuu ukilinganisha na RH ya hiyo mikoa yako!Dar watu wanakuza sana mambo.. bado sijaona hilo joto la kulia lia hivi.
kuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.
Mkuuu hili eneo niliendaga nikaamua tu kulala nje mana dah,Sehemu nyingine inaitwa Idodi mkuu kule nako sio pa kuweka bihashara ya kahawaaa!!!kuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.
Mbona watu wanasema humidity ndio inaleta uafadhali maana hewa ikiwa kavu na joto kali ndio balaa zaidi?Joto siyo ishu..ishu ni relative humidity...sehemu inaweza kuwa na joto la 25C mfano Dar es salaam, but kukawa worse kuliko Mbeya yenye nyuzi joto 35C.
Ndio mkuu, na ndo maana mikoa ya iringa, njome, mbeya etc kwa ujumla inaitwa "Nyanda za Juu Kusini".Wakuu naomba mwongozo kidogo, wakati unaelekea iringa na mbeya ukifika mlima Kitonga huwa kuna kupanda, lakini sasa sijawahi kuona mahali pengine mnenda kuteremka!
Ni kwamba ile mikoa ipo juu?
Morogoro na dar zipo bondeni labda?
[emoji1787][emoji1787]Mkuuu hili eneo niliendaga nikaamua tu kulala nje mana dah,Sehemu nyingine inaitwa Idodi mkuu kule nako sio pa kuweka bihashara ya kahawaaa!!!
Watu wanaishi huko? Kuna nini cha ziada wanatega hapo?Ruaha mbuyuni ni noma dar ikasome
Kuna utajiri wa hatari kupitia kilimo cha umwagiliaji,kuna mito miwili inakutana,mto ruaha na mto lukosi,ukienda na mtaji wako wa milioni tano ukalima nyanya unatoboaWatu wanaishi huko? Kuna nini cha ziada wanatega hapo?
Si kweli mkuu...relative humidity ikiwa kubwa joto linazidi multiple times...Mbona watu wanasema humidity ndio inaleta uafadhali maana hewa ikiwa kavu na joto kali ndio balaa zaidi?