Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Acha chuki ndugu, mara unadai kuwa mchengerwa kapata through nepotism, mara hujui kapataje uwaziri, Dr gani ambaye huwezi kupangilia taarifa yako!!! Au umetumwa? Ne serious brother, acha wivu ambao hauna tija Kwa wenzako.
Hata mchengerwa asipo kua waziri huyu DR wa mimea hawezi pata yy akae kwa kutulia
 
Kuna harufu ya uchawa hapa.

Huko TAMISEMI hata apewe Malaika malalamiko hayawezi kuisha, sawa tu na wizara ya Mifugo.

Lingine, kuoa mtoto wa wenyewe sio kigezo cha kukosa kazi/nafasi kama mtu ana vigezo, hii hoja yako ni dhaifu imejaa chuki shidi ya muhusika.
Na ww naomba uchore mstari kati nepotsm na uhalali wa mkwe Kua Rais na kuteua mkwe wake kua waziri
 
Kuna harufu ya uchawa hapa.

Huko TAMISEMI hata apewe Malaika malalamiko hayawezi kuisha, sawa tu na wizara ya Mifugo.

Lingine, kuoa mtoto wa wenyewe sio kigezo cha kukosa kazi/nafasi kama mtu ana vigezo, hii hoja yako ni dhaifu imejaa chuki shidi ya muhusika.
Mbona kama mwandiko w" mkwe "
Kwa haraka haraka, hizi ndo sifa kuu za mleta mada hii;
-mshamba (kujaribu kuwadanganya great thinkers wa jf kuwa ndani ya masaa 48 tu akaacha kazi ni uongo wa kishamba huo.......akiendelea hv ataposwa. Ni ushamba Karne hii kufikiri kuwa jamaa wa kiongozi akifanya kazi basi ni nepotism......trump alimpeleka mkwewe white house kutokana na sifa zake. JPM alikuwa na jamaa zake pia serikalini. Ni upumbavu kudhani kuwa flani akiwa Raisi basi jamaa zake wengine wote wasifanye kazi)
-muongo (hakuna daktari kilaza namna hii....madaktari wengi Wana uwezo mkubwa wa kufikiri, kwenye hili wasingekuja na hoja zilizojaa utumbo kama hivi. Huyu si daktari Bali piga debe tu flani stendi ya bukoba huko au simiyu...... angekuwa wa dar angalau angeongea kitu Cha maana)
-mjinga na mpumbavu; yaani mpaka Leo akiwa anaota mvi hajui kuwa waziri wa tamisemi ndiyo bosi wa RCs na DCs?!!!! Bure kabisa (in Kalonzo Misyoka's voice)
-mjivuni asiye na akili,
-mwenye chuki dhidi ya Mchengerwa na Samia,
-ni kiroboto wa Makonda n.k

Tumekupuuza, mada hii ni nzuri tu kwa wale wajinga wachache wamchukiao Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, na Mchengerwa. Tofauti na hapo hakuna Cha kujadili hapa.

Mtazamo wangu kuhusu sakata hili:
Kimhemko wa kisiasa Makonda yupo sahihi; kitaalamu (and for the bright future) Mchengerwa Yuko sahihi zaidi.
Mbona kama mwandiko wa "Mkwe" au wa "mke wake" yaan Binti wa mama mkwe
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Makonda atuonyeshe baba yake mzazi anayeitwa Christian Makonda, mtu aliyefoji mpaka jina lake halisi hafai, yeye DAUDI ALBERT BASHITE.
Uongozi wa taasisi ya serikali kama ukuu wa mkoa hauendeshwi na hisia na sifa binafsi bali sheria, kanuni na taratibu siyo matamko binafsi.

Wenye intelligensia ya juu wanamtuhumu kwa mauaji, wenye intelligensia ya kuzuia maandamano ya CHADEMA yataleta mapinduzi wanamtetea. Aliyevamia taasisi akiwa na askari wenye silaha za moto ni muuaji, tunataka viongozi safi siyo wenye makandokando.
 
Mkuu nimewasikiliza.
Kwa maoni yangu Makonda hakua sahihi. Lakini pia waziri wa TAMISEMI ndo immediate boss wa RC/DC. Hivyo waziri wa TAMISEMI anaweza kuelekeza RC Kufanya jambo fulani. Shida ya makonda hataki kuwa "mdogo".
Na huyu mtetezi wake ni kibuyu hamna kitu kichwani anatetea tutusa mwenzake
 
Acha chuki ndugu, mara unadai kuwa mchengerwa kapata through nepotism, mara hujui kapataje uwaziri, Dr gani ambaye huwezi kupangilia taarifa yako!!! Au umetumwa? Ne serious brother, acha wivu ambao hauna tija Kwa wenzako.
Atakuwa Makonda huyu kilaza tu analeta chuki za kike typical Makonda type, kumbuka Ruge Mutahaba alivyofanyiwa na huyu juha.
 
Kiutendaji, kimamlaka Boss wao ni mmoja tu . Wote ni presidential appointment. Waziri hawezi kumtumbua RC , anachoweza kufanya ni kumsagia kunguni yaani kupeleka umbea
Sasa wewe boss umedai kuwa ni daktari, lakini naamini kwenye taasisi unayo fanyia kazi kuna organization structure yaani kuna medical officer in charge and the likes, kwahiyo kwasababu wote mmeajiriwa na serikali au taasisi yoyote ile hakuna ambaye anaweza kumuwajibisha mwingine kulingana na seniority Eti kwasababu wote mmeajiriwa na mtu mmoja?
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
MaCCM tena?

YAUANE TU,hayana maana!
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Ninakubaliana nawewe.
Huko TAMISEMI kuna utendaji wa hovyo sana hasa kwa wasimamizi wa raslimali watu.
Mimi nilipambana na mzabuni aliyeshirikuana na mkurugenzi na timu yake kuiba,nilitengenezewa kesi ambayo imenitoa nje ya kazi hadi sasa.

Hakuna uwajibikaji huko juu,majungu,uchawi na fitna ndiyo maisha ya TAMISEMI.
Anahitajika kiongozi imara na madhubuti.
Unashangaa eti pesa imeletwa kwa ajili ya maendeleo lakini watu wanabishana jinsi ya kuitumia hadi wanakosa muafaka muda unaisha pesa inarudi serikalini.
Huu ni uzembe na kutowajibika

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Wacha wauane!
 
Back
Top Bottom