Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

makonda for kigamboni, kigamboni mpya na makonda, mtendaji asipoziba korongo makofi
 
Mkuu mimi nina maoni tofauti na yako kama ifuatavyo;
1. Mkuu wa mkoa hakufanya sawa kuchochea vitendò vya wananchì kuwadhihaki viongozi kama walivyofanya.
2. Waziri alikuwa sawa tu kumkumbusha mkuu wa mkoa kwenye maadili ya uongozi kuwa badala ya kuchochea vurugu ni vizuri wananchi na viongozi wakatafutà Suluhu bila machafuko.
3. Kiuongozi waziri wa Tamisemi ni boss wa mikoa, wilaya, Tarafa, kata, mitaa, vitongoji, mpaka vijiji. Kwa maneno mengine waziri wa tamisemi ndio anasimamia Tanganyika ( naingiza jokes kidogo kwa kusema kuwa waziri wa Tamisemi ndio rais wa Tanganyika hata bajeti yake ni kubwa kuliko wizara zote). Kwa hivyo Mchengerwa ni boss wa Paul.
4. Kuhusù Nepotism hapa sijui sana lakini kama jamaa ana vigezo vyote vya kuwa waziri basi Acha awe waziri kuoa mtoto wa rais kusimnyime fursa zingine kwa sababu yeye ni mtanzania kama mimi na wewe tu mkuu.

5. Mkuu wa mkoa ni manipulative leader yaani anachofanya anataka kusepa na kijiji na kuzoa umaarufu yaani anafanya yaleeeee ya Shujaa wa Africa.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Sawa wasalimie Otawa
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Naunga mkono hoja,
Makonda ni jembe kazi
P
 
Kwa haraka haraka, hizi ndo sifa kuu za mleta mada hii;
-mshamba (kujaribu kuwadanganya great thinkers wa jf kuwa ndani ya masaa 48 tu akaacha kazi ni uongo wa kishamba huo.......akiendelea hv ataposwa. Ni ushamba Karne hii kufikiri kuwa jamaa wa kiongozi akifanya kazi basi ni nepotism......trump alimpeleka mkwewe white house kutokana na sifa zake. JPM alikuwa na jamaa zake pia serikalini. Ni upumbavu kudhani kuwa flani akiwa Raisi basi jamaa zake wengine wote wasifanye kazi)
-muongo (hakuna daktari kilaza namna hii....madaktari wengi Wana uwezo mkubwa wa kufikiri, kwenye hili wasingekuja na hoja zilizojaa utumbo kama hivi. Huyu si daktari Bali piga debe tu flani stendi ya bukoba huko au simiyu...... angekuwa wa dar angalau angeongea kitu Cha maana)
-mjinga na mpumbavu; yaani mpaka Leo akiwa anaota mvi hajui kuwa waziri wa tamisemi ndiyo bosi wa RCs na DCs?!!!! Bure kabisa (in Kalonzo Misyoka's voice)
-mjivuni asiye na akili,
-mwenye chuki dhidi ya Mchengerwa na Samia,
-ni kiroboto wa Makonda n.k

Tumekupuuza, mada hii ni nzuri tu kwa wale wajinga wachache wamchukiao Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, na Mchengerwa. Tofauti na hapo hakuna Cha kujadili hapa.

Mtazamo wangu kuhusu sakata hili:
Kimhemko wa kisiasa Makonda yupo sahihi; kitaalamu (and for the bright future) Mchengerwa Yuko sahihi zaidi.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Mkwe vs Mtoto pendwa.....tuone mwisho wake....
Mkwe hana maana! Amwache Makonda ainyooshe Arusha.
Asilete kiburi cha kuitwa mkwe wa rais.
Mimi nakubaliana kwamba hicho cheo hakutakiwa kuwa nacho kwasababu akifanya makosa mama mkwe ataona haya kumuwajibisha mkwewe kwasababu akiwajibishwa binti wa rais atanuna kwanini mumewe anaonewa.
Mfano mzuri ni mkuu wa majeshi wa Uganda Muhoozi Kaenerugaba!
Upuuzi na upumbavu mwingi anaoufanya mitandaoni huko Twitter kama sio mtoto wa rais angekuwa alishatumbuliwa zamani lakini Museveni anashindwa hata kumkemea kwa sababu ni mwanae na anamwandaa kumrithi.
Kwa kumalizia kwamba kwa mtazamo wangu watoto wa viongozi wakubwa wa nchi pamoja na wakwe zao au shemeji zao hawapaswi kupewa vyeo vikubwa serikalini kwa sababu inakuwa vigumu kuwawajibisha pale wanapokosea.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Hamna shida yeyote kabisa, and everything is normal, Makonda alihimiza uwajibikaji, Mh mchengerwa alieleza tu utaratibu wa kufuatwa katika kuwajibika, Kama Waziri anayehusika na TAMISEMI lazima akikishe taratibu zinafuatwa.
Makonda na Mchengerewa ni team Samia.
 
Acha chuki ndugu, mara unadai kuwa mchengerwa kapata through nepotism, mara hujui kapataje uwaziri, Dr gani ambaye huwezi kupangilia taarifa yako!!! Au umetumwa? Ne serious brother, acha wivu ambao hauna tija Kwa wenzako.
Umeona eeh! Siku zote nikiona wanaomsifia Makonda akili yangu huwa inanituma huyu mtu atakuwa ameongwa kuandika huu upumbavu.Mwenye akili timamu sidhani kama anaweza kumweka Makonda kwenye list ya viongozi bora, na ukiona kiongozi anapenda kujianika kwenye mitandao kupita kiasi jua hakuna kitu.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa

Makonda anajiona yeye ndiye mtoto wa Mama kwa ego yake. Mchengelwa mkwe mwenye majigambo
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Ya kusema RC siyo mwanasiasa haileti maana wakati huwa tunaona wakivaa zare za chama. Kama RC siyo mwanasiasa kuvaa sare ya chama inamaanisha nini?
 
Mkuu mimi nina maoni tofauti na yako kama ifuatavyo;
1. Mkuu wa mkoa hakufanya sawa kuchochea vitendò vya wananchì kuwadhihaki viongozi kama walivyofanya.
2. Waziri alikuwa sawa tu kumkumbusha mkuu wa mkoa kwenye maadili ya uongozi kuwa badala ya kuchochea vurugu ni vizuri wananchi na viongozi wakatafutà Suluhu bila machafuko.
3. Kiuongozi waziri wa Tamisemi ni boss wa mikoa, wilaya, Tarafa, kata, mitaa, vitongoji, mpaka vijiji. Kwa maneno mengine waziri wa tamisemi ndio anasimamia Tanganyika ( naingiza jokes kidogo kwa kusema kuwa waziri wa Tamisemi ndio rais wa Tanganyika hata bajeti yake ni kubwa kuliko wizara zote). Kwa hivyo Mchengerwa ni boss wa Paul.
4. Kuhusù Nepotism hapa sijui sana lakini kama jamaa ana vigezo vyote vya kuwa waziri basi Acha awe waziri kuoa mtoto wa rais kusimnyime fursa zingine kwa sababu yeye ni mtanzania kama mimi na wewe tu mkuu.

5. Mkuu wa mkoa ni manipulative leader yaani anachofanya anataka kusepa na kijiji na kuzoa umaarufu yaani anafanya yaleeeee ya Shujaa wa Africa.
ifike sehemu tuache kubebelezana diwani anapita na landcruiser anawaacha wananchi wanahangaika na wanajua kabisa uwezo anao hata kwa kutumia pesa yake mfukoni, kwanini wasimzibie njia, kama watu nchi nzima hawawajibiki wacha waliwe makofi nchi nzima
 
Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.
Hapa umechemka. Kwamba wote wameteuliwa na Rais, haina maana wako sawa mbele ya Rais. Hata Waziri mkuu naye anateuliwa, utasema yuko sawa na RC?

Huwezi kumfananisha RC na Cabinet member.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Huyo mchengerwa aliye sama Raia kwake ni mavii tu ndiyo unamtegemea kujali utendaji😅😅😅😅
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa

MCHENGERWA ni Mkwe mwenye Kifua Kipana.
 
Back
Top Bottom