Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kuchukulia hatua ni jambo moja, wqziri kusimaama na kukemea ili isijirudie tena ni jambo la pili
Kwani Waziri akikemea ndio halijirudii? Toa upuuzi wewe,Ummg alikuwa maarufu wa kukemea hayo mambo vipi yaliacha kujirudia?

Kati ya kukemea bila hatua na kuchukua hatua bila matamko ni kipi kuko effective?

Mwisho ndio maana Waziri amemkemea Konda aache upuuzi
 
RC bosi mabosi zake ni Mawaziri wote.

Ndo maana huwa wanataka maelekezo kupitia ma RC.

Nchenherwa na makonda wote wanafanya KAZI vzr.

Makonda Kuna wakati anaropoka ovyo Hana utulivu.
Kiutendaji, kimamlaka Boss wao ni mmoja tu . Wote ni presidential appointment. Waziri hawezi kumtumbua RC , anachoweza kufanya ni kumsagia kunguni yaani kupeleka umbea
 
Kwani Waziri akikemea ndio halijirudii? Toa upuuzi wewe,Ummg alikuwa maarufu wa kukemea hayo mambo vipi yaliacha kujirudia?

Kati ya kukemea bila hatua na kuchukua hatua bila matamko ni kipi kuko effective?

Mwisho ndio maana Waziri amemkemea Konda aache upuuzi
Miongozo ifuatishwe
 
Shida ni moja, Makonda kichwani hamna kitu. Yeye ndiye msimamizi wa serikali mkoani, chini ya usimamizi wake, Muriet haina barabara. Pamoja na hayo yeye anaamini Mwenyekiti wa Mtaa ana fungu la kuitengeneza.

Huo ndio unaitwa upumbavu
Una f wa m n ge wewe. Hauna akili wala weledi wa kumkashifu Makonda. Watanzania tunampenda Makonda!
 
Huyo maulid kitenge ana wadhifa gani serikalini? Huwa haachi kutajwatajwa kwenye ishu fulanifulani hivi kama uchawa. Tujuavyo ni mtangazaji wa redio habari za michezo
 
Mkuu wote Makonda na Mchengerwa wapo hapo kwa nepotism, hakuna mwenye nafuu.

Sema ukweli, naona nawe una upendeleo unaoupinga!!!
Sina upendeleo

Kwenye utumishi wa Umma ni conflict of interest kubwa snaa Mchengerwa kuwa waziri. Pitia report za CAG , unadha Samia anaweza kumchukulia hatua Mchengerwa, mwanae akose furaha?

Mkwe wako unampa nafasi kubwa , unadhan kuna kukemeana? Hii ni mbaya na hatuleti picha sahihi kwa vizazi
 
Mchengerwa ni mume wa Wanu Hafidh binti pekee wa Samia Suluhu Hassan na Makonda ni chawa anayetafuta wa kunyonya. Hivyo, hiyo ndiyo shida yao. Mchengerwa ni mkwe wa malkia. Makonda ni mbwaa wa malkia. Mchengerwa ni mjanja. Makonda ni kanjanja na msanii wa kawaida tu. Mchengerwa na Makonda wanafanana kuwa wote hawafai hata kuongoza kundi la chawa achia mbali binadamu.
Hii umeiweka vizuri sana mkuu,asante
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa

Makonda yuko chini ya Waziri wa TAMISEMI.
RC ni msimamizi wa sera kimkoa na si mtendaji hivyo mtendaji ni Katibu tawala / Mkurugenzi.
Mchengerwa ana wajibu wa kuwasimamia maRC wote wa TZ

Kuwa na siku njema na uelewa mzuri
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Kuna tofauti gani kati ya siasa na utendaji mbona mis entrprite neno siasa (policy) siasa ni aproch au namna ya kufanya jambo
 
Back
Top Bottom