Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Acha chuki ndugu, mara unadai kuwa mchengerwa kapata through nepotism, mara hujui kapataje uwaziri, Dr gani ambaye huwezi kupangilia taarifa yako!!! Au umetumwa? Ne serious brother, acha wivu ambao hauna tija Kwa wenzako.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Acha chuki ndugu, mara unadai kuwa mchengerwa kapata through nepotism, mara hujui kapataje uwaziri, Dr gani ambaye huwezi kupangilia taarifa yako!!! Au umetumwa? Ne serious brother, acha wivu ambao hauna tija Kwa wenzako.
 
Kwa haraka haraka, hizi ndo sifa kuu za mleta mada hii;
-mshamba (kujaribu kuwadanganya great thinkers wa jf kuwa ndani ya masaa 48 tu akaacha kazi ni uongo wa kishamba huo.......akiendelea hv ataposwa. Ni ushamba Karne hii kufikiri kuwa jamaa wa kiongozi akifanya kazi basi ni nepotism......trump alimpeleka mkwewe white house kutokana na sifa zake. JPM alikuwa na jamaa zake pia serikalini. Ni upumbavu kudhani kuwa flani akiwa Raisi basi jamaa zake wengine wote wasifanye kazi)
-muongo (hakuna daktari kilaza namna hii....madaktari wengi Wana uwezo mkubwa wa kufikiri, kwenye hili wasingekuja na hoja zilizojaa utumbo kama hivi. Huyu si daktari Bali piga debe tu flani stendi ya bukoba huko au simiyu...... angekuwa wa dar angalau angeongea kitu Cha maana)
-mjinga na mpumbavu; yaani mpaka Leo akiwa anaota mvi hajui kuwa waziri wa tamisemi ndiyo bosi wa RCs na DCs?!!!! Bure kabisa (in Kalonzo Misyoka's voice)
-mjivuni asiye na akili,
-mwenye chuki dhidi ya Mchengerwa na Samia,
-ni kiroboto wa Makonda n.k

Tumekupuuza, mada hii ni nzuri tu kwa wale wajinga wachache wamchukiao Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, na Mchengerwa. Tofauti na hapo hakuna Cha kujadili hapa.

Mtazamo wangu kuhusu sakata hili:
Kimhemko wa kisiasa Makonda yupo sahihi; kitaalamu (and for the bright future) Mchengerwa Yuko sahihi zaidi.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Mkuu wote Makonda na Mchengerwa wapo hapo kwa nepotism, hakuna mwenye nafuu.

Sema ukweli, naona nawe una upendeleo unaoupinga!!!
 
Mchengerwa ni mume wa Wanu Hafidh binti pekee wa Samia Suluhu Hassan na Makonda ni chawa anayetafuta wa kunyonya. Hivyo, hiyo ndiyo shida yao. Mchengerwa ni mkwe wa malkia. Makonda ni mbwaa wa malkia. Mchengerwa ni mjanja. Makonda ni kanjanja na msanii wa kawaida tu. Mchengerwa na Makonda wanafanana kuwa wote hawafai hata kuongoza kundi la chawa achia mbali binadamu.
Mkuu umefanya uchambuzi muruaaa!!! 🙋‍♂️👍👏🤝🙏
 
Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma
Ishu ya barabara za Tarura umezungumza kitu halisia
 
Shida ni moja, Makonda kichwani hamna kitu. Yeye ndiye msimamizi wa serikali mkoani, chini ya usimamizi wake, Muriet haina barabara. Pamoja na hayo yeye anaamini Mwenyekiti wa Mtaa ana fungu la kuitengeneza.

Huo ndio unaitwa upumbavu
Huko muriet ambako hakuna barabara imeenda wapi?
Makonda kaja Arusha muda si mrefu sasa hiyo muriet ni eneo jipya kaanzisha Makonda?
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Acha kulia lia dogo tatizo siyo mchengerwa Wala makonda tatizo ni mfumo primitive wa utawala wa ccm

Ili tuondokane na mfumo huu tuandike katiba mpya
 
Shida ni moja, Makonda kichwani hamna kitu. Yeye ndiye msimamizi wa serikali mkoani, chini ya usimamizi wake, Muriet haina barabara. Pamoja na hayo yeye anaamini Mwenyekiti wa Mtaa ana fungu la kuitengeneza.

Huo ndio unaitwa upumbavu
Yaani sijui nawaonaje wale wanaao amini Paulo Albert Bashite aka Makonda ni kiongozi bora!
 
Shida ni moja, Makonda kichwani hamna kitu. Yeye ndiye msimamizi wa serikali mkoani, chini ya usimamizi wake, Muriet haina barabara. Pamoja na hayo yeye anaamini Mwenyekiti wa Mtaa ana fungu la kuitengeneza.

Huo ndio unaitwa upumbavu
Naungana na wewe mkuu
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Ogopa sana watu wanaovaa mapete mengi.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Toa ujinga wako na wewe ,kwani Kila kitu lazima Waziri akemee? Hujaona hatua zimechukuliwa na DED wa huko Babati kusimamisha kazi waliohusika?

Huyo Konda wako afuate utaratibu,Wananchi hawawezi kwenda kuwalazimisha viongozi wapite kwenye matope eti hawajaleta Barabara,hao Madiwani Wana hela? Kina Mokonda wenye Serikali si ndio Wapeleke hela Sasa hapo ?
 
Toa ujinga wako na wewe ,kwani Kila kitu lazima Waziri akemee? Hujaona hatua zimechukuliwa na DED wa huko Babati kusimamisha kazi waliohusika?

Huyo Konda wako afuate utaratibu,Wananchi hawawezi kwenda kuwalazimisha viongozi wapite kwenye matope eti hawajaleta Barabara,hao Madiwani Wana hela? Kina Mokonda wenye Serikali si ndio Wapeleke hela Sasa hapo ?
Kuchukulia hatua ni jambo moja, wqziri kusimaama na kukemea ili isijirudie tena ni jambo la pili
 
Mchengerwa ni mume wa Wanu Hafidh binti pekee wa Samia Suluhu Hassan na Makonda ni chawa anayetafuta wa kunyonya. Hivyo, hiyo ndiyo shida yao. Mchengerwa ni mkwe wa malkia. Makonda ni mbwaa wa malkia. Mchengerwa ni mjanja. Makonda ni kanjanja na msanii wa kawaida tu. Mchengerwa na Makonda wanafanana kuwa wote hawafai hata kuongoza kundi la chawa achia mbali binadamu.
Hii umeiweka vizuri sana mkuu,asante
 
Back
Top Bottom