Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kuna shida gani kati ya Makonda na Mchengerwa?

Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Wewe Dr. wa nini umeshindwa hata kuandika kwa dondoo Makonda kafanya nini na Mchengerwa kafanya nini?
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Mimi ni shabiki pro wa Makonda yangu akiwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Waziri Mchengerwa yupo sahihi kwasababu ndiye anayesimamia TAMISEMI yenye jukumu la kukarabati barabara, usimamizi wa elimu, afya nk huko mikoani.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Mkuu Mchengerwa ni Waziri hapa Tanzania yupo juu ya Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya.. Kiutumishi Tamko la waziri linafunga mjadala..
Kama una shida binafsi na Waziri much better communicate with him and fix the matter... kukaa kwako Ottawa, Canada haitusaidiii
 
Mkuu Mchengerwa ni Waziri hapa Tanzania yupo juu ya Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya.. Kiutumishi Tamko la waziri linafunga mjadala..
Kama una shida binafsi na Waziri much better communicate with him and fix the matter... kukaa kwako Ottawa, Canada haitusaidiii
😆😆
 
Megalodon hujui kuwa waziri wa TAMISEMI ndo boss wa wakuu wa mikoa? Wewe na Makonda ni wajinga mno. Kauli ya Makonda iko kinyume kabisa na utawala wa kisheria. Wananchi wakiwafanyia hivyo madiwani na watendaji wengine wa chini unadhani kutaendelea kuwa na amani? Kauli ya Mchengerwa kama waziri iko sawa. Makonda ni mtu wa kuropoka mno.
 
Megalodon hujui kuwa waziri wa TAMISEMI ndo boss wa wakuu wa mikoa? Wewe na Makonda ni wajinga mno. Kauli ya Makonda iko kinyume kabisa na utawala wa kisheria. Wananchi wakiwafanyia hivyo madiwani na watendaji wengine wa chini unadhani kutaendelea kuwa na amani? Kauli ya Mchengerwa kama waziri iko sawa. Makonda ni mtu wa kuropoka mno.
Wananchi wakifanyiwa je ?
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Ukumbuke Kuna mmoja hapo ambaye ni mkaza mwana wa Saa100 hapo
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Mpe basi huo uwaziri wa Tamisemi huyo Makonda kama anafaa.
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Mchangarwe ni Rais ajaye upende usipende.
 
Mkuu nimewasikiliza.
Kwa maoni yangu Makonda hakua sahihi. Lakini pia waziri wa TAMISEMI ndo immediate boss wa RC/DC. Hivyo waziri wa TAMISEMI anaweza kuelekeza RC Kufanya jambo fulani. Shida ya makonda hataki kuwa "mdogo".
Yaani mleta mada anamuwekea DHAMANA Bashite!!..yule hana A,B , C za Uongozi...ngoja Mama aendelee kumkumbatia..kuna siku isiyo na jina,ataleta AIBU kubwa nchini
 
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?

Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,

Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.

Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.

Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.

TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.

Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.

Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….

Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.

MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.

Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.

Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma

I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.

Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.

Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.

Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?

Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM

Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.

Nepotism is bad

Dr Megalodon
Ottawa
Kitu hujui uliza! Mshahara wa Makonda nani anauomba Bungeni? Jibu Mchengerwa. Pamoja na Mkuu wa Mkoa kuwa mwenye mkoa, kama Rais Alivyo na nchi, bado yupo chini ya TAmisemi
 
Mchengerwa ni mume wa Wanu Hafidh binti pekee wa Samia Suluhu Hassan na Makonda ni chawa anayetafuta wa kunyonya. Hivyo, hiyo ndiyo shida yao. Mchengerwa ni mkwe wa malkia. Makonda ni mbwaa wa malkia. Mchengerwa ni mjanja. Makonda ni kanjanja na msanii wa kawaida tu. Mchengerwa na Makonda wanafanana kuwa wote hawafai hata kuongoza kundi la chawa achia mbali binadamu.
Duu!
 
Mwandiko na mtiririko wa Uzi wako haviendani na mtu anayejinasibu kuwa daktari.
Hata kama ma daktari wanaandika kwa kucharaza, huu wa kwako ni majanga.
Kingereza usiombe kiswahili ndio kabisa.
Nawaonea huruma wagonjwa wako.
 
Back
Top Bottom