Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

followers kitu gani,unatumia akili gani[emoji16][emoji16]

impact ya anty ezekiel unaweza ukailinganisha na alikiba???au unaandika andika tu???

views 1.5 mln now,bado una swali??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki wa Kiba wengi ni vilaza, ndo maana unashindwa hata kufahamu uhusiano kati ya Views wa YouTube na Followers bila kujua kwamba hapa tunazungumzia the power of social network!!

Matokeo yake mtaendelea kulia lia kila siku, and nothing change!
 
Alikiba ndo alipaswa kulalamika sio nyie mashabiki njaa , hizo views zikiwa nyingi mnapata hela nyingi sana au? Maana Amlali
 
Nyie watu kweli mnashida kama siyo matatizo Alikiba kukaa #01 on Trending kwa Siku3 imekua habari kubwa!kweli? Wakati huohuo unajisahau kama Alikiba ametoa Rayvany na Miss Buza wake ndio akakaa yeye!...sasa fatilia Rayvany alikaa kwa muda gani #01 on Treanding ndio kisha uje kumsifia Kiba!
 
Mashabiki wa Kiba wengi ni vilaza, ndo maana unashindwa hata kufahamu uhusiano kati ya Views wa YouTube na Followers bila kujua kwamba hapa tunazungumzia the power of social network!!

Matokeo yake mtaendelea kulia lia kila siku, and nothing change!
Baadae wataanza kulalamika nako insta wanaujumiwa akili za Kiba hazina tofauti na mashabiki zake kiufupi kiba kapewa mashabiki wanaoendana nao.
 
Mashabiki wa Kiba wengi ni vilaza, ndo maana unashindwa hata kufahamu uhusiano kati ya Views wa YouTube na Followers bila kujua kwamba hapa tunazungumzia the power of social network!!

Matokeo yake mtaendelea kulia lia kila siku, and nothing change!

wacha nisikupe wasifu wako leo shabiki mpezi,habuba,huba,mfia mond,ilaaaaaaa.

the power of social network ndio inafanya mtu anafikisha views 1mln within 24 hrs,au sio hivyo!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani mleta mada unajua ana uhusiano gani na kiba!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Alikiba swala lake la Views aliliweka wazi kwenye FNL Juzi sasa nashangaa mnavyolalamika wakati Alikiba Alisema views kupanda na kushuka nikwasababu ya watu kuishambulia video kwa nguvu ...yaani kuitazama sana.
 
Alikiba swala lake la Views aliliweka wazi kwenye FNL Juzi sasa nashangaa mnavyolalamika wakati Alikiba Alisema views kupanda na kushuka nikwasababu ya watu kuishambulia video kwa nguvu ...yaani kuitazama sana.
yeye alijibu kama msanii,sio mtaalam.

sisi tunahoji kwanini zipande halafu zishuke,mara speed ipungue nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacha nisikupe wasifu wako leo shabiki mpezi,habuba,huba,mfia mond,ilaaaaaaa.

the power of social network ndio inafanya mtu anafikisha views 1mln within 24 hrs,au sio hivyo!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo bado wanga hamjaangali[emoji23][emoji23][emoji23]tukiwaweka na nyinyi mlivyo wengi views zinafika milioni 100.

wote mmezira[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupuuze basi manake hakuna kazi nisiyoipenda kama kubishana na majuha!! Sioni hoja yako hasa ni ipi zaidi ya kujichekesha chekesha na hivyo vi-emoj! Ni ngumu sana kubishana na mtu wa aina yako ambae unaonekana wazi ama ni maamuma au ni shabiki maandazi!

Nimewapa hapo sources msome na kutoa ujinga vichwani mwenu, kama Kizungu ni shida, that's not my problem!
 


Umeandika ROYAL FANS

ili ni neno kubwa sana, mno

Wanaompenda Kiba kwa miaka 17iliyopita, leo na kesho ni kuwa wanampenda yeye kama yeye... Bila boost, kiki, yeye ni kazi na kuliwaza watu

Ni royal fans wa ma rika yote elimu zote jinsia zote na dini zote

Atabaki kuwa hapo hapo mtu ambaye hapelekwi na upepo wa msimu
 
Thanks!
 
Mashabiki wa Kiba wengi ni vilaza, ndo maana unashindwa hata kufahamu uhusiano kati ya Views wa YouTube na Followers bila kujua kwamba hapa tunazungumzia the power of social network!!

Matokeo yake mtaendelea kulia lia kila siku, and nothing change!
kiongozi inaonekana mashabiki wa wasanii wengine wako na elimu sana kiasi kwamba views zao hazigandi au kushushwa hata kidogo kupisha hao kina 'bots'!! hii inakuaje?!!
 
unajaa upepo kizembe sana.kama mtoto wa kike.


ulitegemea upewe majibu unayoyataka wakati wote,get the fyck out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
una akili ndogoooooo kama pirtoni
Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…