Kuna siku Makonda atamvua nguo Rais Samia

Kuna siku Makonda atamvua nguo Rais Samia

Huyo kijana ni mwanamikakati mahiri, ni aseti ya CCM hakuna wa yeyote wa kumfanya chochote. Tena ni aina adimu ya marais wanaotakiwa nchi hii. Kijana hacheki na nyani shambani. Ingekuwa si katiba ya CCM angeteuliwa uchaguzi mkuu ujao apeperushe bendera ya CCM na hatimaye achaguliwe kuwa rais wa nchi hii. Atawanyoosha wengi, ni Magufuli toleo la pili
Nchi inawajinga sana hii
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Hakika na siku yenyewe haiko mbali. Kiumbe huyo hajifunzi kabisa kutokana na makosa yake ya nyuma.
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Acheni uchochezi.
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Wala siyo mbali
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Maza yeye ameshajikatia tamaa, bora liende haya chakupoteza 2030 anarudi Unguja kula pension baada ya kuvuna pesa za wajinga
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Rais ndiye anayewavua watanganyika nguo,kwa kutokuwasikiliza matatizo yao, na kuwatatulia .
 
Hawawezi kumfanya chochote. Kama walishindwa kumfanya chochote Bashiru. Hao watu ni karata
Labda akimvua nguo amdinye ndipo watamshughulikia kwa kuwa ni muda mrefu amemvua lakini hawamshughulikii. Watakuwa wanasubiri kwanzaa adinywe. Let us wait and see.
 
Back
Top Bottom