Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu.
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita. Huenda ikawa ni kujiweka karibu na Mama...
.
Anataka kujiosha tu mi nataka awaeleze ndugu zetu wa JWTZ zile tiriol za kutosha zilizokutwa kwenye account ya mke wake zilitoka wapi?

Na pili ile bima anayoikata kwa kila mshahara halafu hakuna faida inayopatikana kwa askari nazo anapeleka wapi? Mi ni hayo tu.
 
Jamaa katoa hotuba bora sana, yupo vizuri upstairs
Ameonesha ubora mkubwa Sana kwenye tukio hili la msiba,
Tanzania hatujafiwa na Rais ambaye hajamaliza muda wake kikatiba.

Ikumbukwe kwamba ni chombo chenye nguvu kwenye nchi zote duniani, na kwa mihemko ya ccm na wasukuma ilikuwa rahisi tu jeshi kuchukua nchi.
KWA HILI ANASTAHILI PONGEZI
 

Huna la kumfanya na huyu ni Mkuu wa Majeshi Nchini,Jenerari Venance Mabeyo,Msukuma Pure. Una lingine?
 
Last paragraph [emoji419]
 
Anatuma ujumbe maalum...na umefika.
 
Huenda Kuna watu walimshaur kitu against mh Rais wetu na inaonesha hajakubaluana nao ivyo kufanya icho kitendo labda ni ishara ya kuwaambia wale ambao walitaka kitu kua wakiendelea a tamwambia mwenyewe Rais ni Nini wanataka full stop
Ametuma ujumbe...umefika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…