Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Maneno mazuri sana, i wish afande ayaone

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
by the way kwanini mkuu wa majeshi anahutubia?
ili iweje?
Jeshi limeingizwa kwenye siasa . Hata ile habari kwamba kuna kitu Mabeyo anataka kumwambia Rais Hassan ni siasa.

Mabeyo hakosi muda wa kuongea na rais privately, pale alikuwa anatangaza kwa umma.

Kuna power struggle kubwa sana huko kati ya wafuasi wa Magufuli na watu wa makundi mengine ye CCM.

Kuna watu walitaka hata Samia Suluhu Hassan asiwe rais, Mabeyo na wenzake wakasema katiba ni lazima ifuatwe.

Ndiyo maana umeona Mkuu wa Majeshi katoa hotuba, halafu katika msiba, sehemu ambayo ungetegemea hotuba za tazia za rais aliyefariki, mkuu wa majeshi katumia muda mwingi sana kuongea jeshi ilivyo nyuma ya rais mpya na karudia rudia sana kwamba linamuunga mkono na litamlinda. Hii ni kuweka watu wote jeshini wajue kwamba hakuna muda wa kuwa na makundi jeshini, jeshi lipo nyuma ya rais mpya.
 
CDF sio mtu mdogo. Na wala haitaki kujikomba kwa yeyote.
 
Mabeyo hakuwa na ulazima wa kulisema hadharani...
Think beyond, amesema hadharani Sababu alikuwa anatuma ujumbe kwa kikundi flani...lazima alitaka hicho kikundi kijue kwamba kama kuna issue aliambia na Rais kabla mauti hayajamkuta basi anayo na atamfikishia ujumbe Rais.
 
Majeshi yetu ya Ulinzi yakae nje ya Politics
Yalinde mipaka haswa huko kusini
 
Hata hivyo ikumbukwe tupo kwenye msiba kwahiyo kujikwaaa ulimi kwa namna hii tutarajie kupo kikubwa ni kuvumiliana tu
 
Nahisi itakuwa kuhusu huu muungano maana huu una siri zaidi ya siri
 
JE KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA MKUU WA MAJESHI KUTOA KAULI HIYO? Je, haoni kwamba kwa nafasi yake kutoa kauli kama hiyo kunaweza kuzua taharuki kwenye jamii juu ya usalama wa nchi au Mh. Rais?
Taharuki hiyo wataipata wenye mipango yao miovu.Why trembling kama uko clean?!.
 
Kama bunge tu halijadil mambo yao wewe ni nani mpaka uambiwe
 
Majeshi yetu ya Ulinzi yakae nje ya Politics
Yalinde mipaka haswa huko kusini
So yakubali tu hata kama nchi inaporwa na wanasiasa? Unajua waafrika tuna akili fupi sana? No wonder bado ni masikini. Tunapenda vitu rahisi sana...wizi wizi, mambo mepesi mepesi..siasa kama BIASHARA
 
So yakubali tu hata kama nchi inaporwa na wanasiasa? Unajua waafrika tuna akili fupi sana? No wonder bado ni masikini. Tunapenda vitu rahisi sana...wizi wizi, mambo mepesi mepesi..siasa kama BIASHARA
Nchi zinazotawaliwa na Wanajeshi nazo huporwa na Wanajeshi
 

Huyu kamanda nimemkubali. Kwanza tumejua ziko siri za jeshi ambazo anajua CDF na Amiri basi. Lakini kulikuwa na katensioni flani hivi. Ndungai sijui ni majonzi au nini alikuwa ana kitu kina msumbua ,CDF was very sereous.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…