G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
JidanganyeSize matters a lot.
wafupi hamuwez kukwangua makoko aliyoimba ZUCHU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JidanganyeSize matters a lot.
wafupi hamuwez kukwangua makoko aliyoimba ZUCHU
Wanajidanganya sana.Jidanganye
Tunawachapaga mademu warefu mpaka wanataka kutufata magetini na tumeoa,mtu mnapotezana miaka 7 lakini haiishi miezi miwili anakutafuta kwa mahabaWanajidanganya sana.
Wanawajaza tu...ila Kuna factor nyingi sana kwenye mapenziTunawachapaga mademu warefu mpaka wanataka kutufata magetini na tumeoa,mtu mnapotezana miaka 7 lakini haiishi miezi miwili anakutafuta kwa mahaba
Madam kwani bado upo singo?Urefu na ufupi,weupe na weusi sio kipaumbele kwangu.......Ana akili TIMAMU?....TIMAMU jamani anazooo????
Oooooh Isije huko mbele ukamuona ni Goliath yanapoanza mambo ya kutumia akili.
Kwamba sisi kina Andunje hatuna mvuto?Mwanaume wa kiafrika ukiwa mweupe tu wanawake wanakuona kama mwenzao.
Wanawake wa kiafrika wanapenda aitha uwe mzungu pure ama black pure lakini ukiwa mweupe ama chotara wanakuona rojo rojo mshikishwa ukuta kama wao.
Kwenye kimo, kuna kanuni moja, the bigger the size the more the confidence. Mwanaume ukiwa mrefu tu ukipita mahala popote lazima u attract attention kidogo, na wanawake wanapenda sana hiyo.
Ushaliwa na wanaume warefu wangapi?
Soma mdogo wangu,upate pesa,ndio utaijui thamani ya Huo urefu la sivyo utakuwa kama mnara tu wa halotel 😁tunayapokea maua yetu😂
umepoa sana wanaume weupe asilimia kubwa kitandani hamna maajabu yan mko dorooo hamna jotrooHatar. Mmoja akaniambia mimi ni mrefu na mwembamba ila tatizo ni mweupe kwa hiyo nimekosa sifa moja kuwa sukari ya warembo
Ngoja nitafute Namba za mkeo kisha ni date nae nimzalishe.Mimi ni wa kati,si fresh tu mkuu au?!![emoji23][emoji23]Mimi binafsi mwanamke wangu nikikuta kachepika na mwanaume mrefu kama mimi ama zaidi yangu(kuanzia 6.6 na kuendelea) naweza kumsamehe kwa sababu hata ikitokea wamezaa mtoto bado watu watasema kachukua urefu wa baba yake.
Akichepuka na mfupi na namuacha siku hiyo hiyo.
Nakumbuka idadi sasa mkuu? Subiri nitulie nikuhesabie!(umeandika Ili upate likes?🥴🤭Ushaliwa na wanaume warefu wangapi?
Cha kushangaza ndio mnaongoza kula pisi Kali....mfano Steve Nyerere na Wellu Sengo🤦🤦🤦🤦Kwamba sisi kina Andunje hatuna mvuto?
Cha kushangaza ndio mnaongoza kula pisi Kali....mfano Steve Nyerere na Wellu Sengo🤦🤦🤦🤦Kwamba sisi kina Andunje hatuna mvuto?
mnara wa 5G huu ni shughuli😂Soma mdogo wangu,upate pesa,ndio utaijui thamani ya Huo urefu la sivyo utakuwa kama mnara tu wa halotel 😁
Linah Hydro powerKwa utafiti nilioufanya asilimia 90 ya wanawake wanapenda kudeti na mwanaume mrefu mweusi au mweupe.
Wanawake embu tujuzeni sisi wanaume wafupi tunazidiwa nini na hawa warefu?
View attachment 2682135
Wewe ndo unajua na sisi hatujui?hua mnajifariji na hoja puuzi sana,kwamba hatujui wewe ndo unajua? Eti kuna factor nyingi,we boya kweli aiseeWanawajaza tu...ila Kuna factor nyingi sana kwenye mapenzi
Mwanaume wangu ni Black,Tall na very handsome.......Akili Sasa ni kipanga!😍Madam kwani bado upo singo?