Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?

Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?

Wameathirika na movies za black Americans maana ukiangalia casts zao huwa ni za type hizo haswa kwenye series za Tyler Perry.
Kuna namna movies, music videos na showbiz kiujumla huwa zinacontrol akili za watu, mfano enzi hizo K lyn na Ray C wanatamba, huko mbele english figures kama J lo na Aliyaah ndo zilikuwa kwenye market, lakini leo tupo kwenye makalio. Kwa hiyo ni upepo tu kwa kiasi kikubwa utapita
 
Kwa utafiti nilioufanya asilimia 90 ya wanawake wanapenda kudeti na mwanaume mrefu mweusi au mweupe.

Wanawake embu tujuzeni sisi wanaume wafupi tunazidiwa nini na hawa warefu?



View attachment 2682135
Ni namna nyingine ya kusema wanataka dushe za 7 to 11 inches, urefu na weusi ni kama madem wa kilatino wanavyopenda fvck-buddies walio niggas. Umeingia mjini lini mkuu? na ukiona demu wako anaukaribu sana na mtu mweusi alokuzidi urefu nenda benjamin mkapa ukajipandikizie inches ziongezeke
 
Aliekupa urefu ndio ametupa sisi ufupi,,,Nyoko zenu mnao tusema vibaya watu wafupi,, mnakatwaa😡
🤣🤣🤣 mkuu niaje, ila wanawake baadhi huwa wanasema wanaume wafupi huwa na gubu kwa sababu ya insecurities, hata ukikosewa huchukulii kama ni kosa la kawaida ila dharau kwa kimo chako.
 
🤣🤣🤣 mkuu niaje, ila wanawake baadhi huwa wanasema wanaume wafupi huwa na gubu kwa sababu ya insecurities, hata ukikosewa huchukulii kama ni kosa la kawaida ila dharau kwa kimo chako.
Huyo wa hivyo labda awe na economic instability.....
 
Wameathirika na movies za black Americans maana ukiangalia casts zao huwa ni za type hizo haswa kwenye series za Tyler Perry.
Kuna namna movies, music videos na showbiz kiujumla huwa zinacontrol akili za watu, mfano enzi hizo K lyn na Ray C wanatamba, huko mbele english figures kama J lo na Aliyaah ndo zilikuwa kwenye market, lakini leo tupo kwenye makalio. Kwa hiyo ni upepo tu kwa kiasi kikubwa utapita
Wanaangalia kina Idris Elba....Lakini mbona Kuna black American wengi warefu na weupe na wanavutia?Watanzania wengi ni bendera fuata upepo
 
Waongo waongo tu,,wote wameolewa na wanaume wafupi weupe,na sio kina tall and dark

Ndoa ni zaidi ya Tall handsome and dark

Mimi Mama yangu ni mweusi tiii na father mweupe Sana lakini hapendi sisi watoto wake tuoe wanawake weusi anachukia Sana hasa alimkataa mke wa bro kisa mweusi tii japo bro ni tall mweupe Sana na kazaa watoto weupe pee so ile bimkubwa kutembea nao hao wajukuu Basi anaona ufahari kwa wanawake wenzie .


Hii nchi Mzazi hataki kijana wake aoe mke mweusi

Huku mademu wa kwenye Tamthiliya wanataka tall dark na wakizaa mtoto mweusi wampiga picha za filter fulll maajabu
 
Ndoa ni zaidi ya Tall handsome and dark

Mimi Mama yangu ni mweusi tiii na father mweupe Sana lakini hapendi sisi watoto wake tuoe wanawake weusi anachukia Sana hasa alimkataa mke wa bro kisa mweusi tii japo ni tall mweupe Sana na kazaa watoto weupe pee so ile bimkubwa kutembea nao hao wajukuu Basi anaona ufahari kwa wanawake wenzie .


Hii nchi Mzazi hataki kijana wake aoe mke mweusi

Huku mademu wa kwenye Tamthiliya wanataka tall dark na wakizaa mtoto mweusi wampiga picha za filter fulll maajabu
Kama mama yenu ni mweusi,Kwa Nini anawachukia weusi wenzie?
 
Wanaangalia kina Idris Elba....Lakini mbona Kuna black American wengi warefu na weupe na wanavutia?Watanzania wengi ni bendera fuata upepo

Sio watz tu ni issue ya dunia nzima, Kuna siku nilikuwa naangalia interviews za video vixens wa Nigeria ambao ni weusi, wakiongelea wanavyobaguliwa kupewa leading role kwenye videos za wasanii kwa sababu tu ngozi zao haziwaki vizuri kwenyw camera. Na hii issue hata ukifuatilia bongo ipo pia
 
Back
Top Bottom