myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Kuna muda hawajui wanataka nini..UNABISHANA NA WANAWAKE MKUU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muda hawajui wanataka nini..UNABISHANA NA WANAWAKE MKUU?
Ulituona wapi?[emoji1787]Kuna haoo wakaka niliwaona Jana...Nyie kweli Mungu fundi...
Jamaa mrefu sio Mwanaume mrefuMimi binafsi mwanamke wangu nikikuta kachepika na mwanaume mrefu kama mimi ama zaidi yangu(kuanzia 6.6 na kuendelea) naweza kumsamehe kwa sababu hata ikitokea wamezaa mtoto bado watu watasema kachukua urefu wa baba yake.
Akichepuka na mfupi na namuacha siku hiyo hiyo.
Hatar. Mmoja akaniambia mimi ni mrefu na mwembamba ila tatizo ni mweupe kwa hiyo nimekosa sifa moja kuwa sukari ya warembo
Kwa utafiti nilioufanya asilimia 90 ya wanawake wanapenda kudeti na mwanaume mrefu mweusi au mweupe.
Wanawake embu tujuzeni sisi wanaume wafupi tunazidiwa nini na hawa warefu?
View attachment 2682135
😅😅😅😅uliniona wapi 77
😅😅😅Mkuu usinilishe manenooUlituona wapi?[emoji1787]
Kama Ina ukweli hii, baadhi pia ni wabishi na hawakubali kushindwa, wakali na anaweza hata akakudunda kwa kuhisi unamuignore sababu ya kimo chake😔🤣🤣🤣 mkuu niaje, ila wanawake baadhi huwa wanasema wanaume wafupi huwa na gubu kwa sababu ya insecurities, hata ukikosewa huchukulii kama ni kosa la kawaida ila dharau kwa kimo chako.
Haa mkuu😀😀Urefu bila ela ni sawa na kujitia kidole kwenye kijambio chako na kujinusa mwenyewe
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
WtfMimi binafsi mwanamke wangu nikikuta kachepika na mwanaume mrefu kama mimi ama zaidi yangu(kuanzia 6.6 na kuendelea) naweza kumsamehe kwa sababu hata ikitokea wamezaa mtoto bado watu watasema kachukua urefu wa baba yake.
Akichepuka na mfupi na namuacha siku hiyo hiyo.
Wanawake wanapenda wanaume weusi ila wanataka wazae watoto weupeee
Umeonaaa eeeh...yaan Mimi niliowaonaa hao vijana warefuu Wanaweusi wa kun'gara..ndevu zilipangangika vizuri,mwili uliojengekaa kiumee kbsaaa...mavazi mazuri ya kistaharabuu kbsaaa plus viatu vizuri ngozi original kbsaaa iliyokaaa vema miguuni mwaoo..unawezaa ukaimagine mpk hapooo...macho mazuri na angavuu nyiee kweli Mungu fundiii😅😅😅😅Ni basi tu ila ukiangalia what matters ni upendo,japo housing pia muhimu, so tall and dark kuna maua yenu huku😛
Ulienda kwenye kivutio gani cha utalii mom? Ulinotice hadi viatu vya ngozi original😀🙌Umeonaaa eeeh...yaan Mimi niliowaonaa hao vijana warefuu Wanaweusi wa kun'gara..ndevu zilipangangika vizuri,mwili uliojengekaa kiumee kbsaaa...mavazi mazuri ya kistaharabuu kbsaaa plus viatu vizuri ngozi original kbsaaa iliyokaaa vema miguuni mwaoo..unawezaa ukaimagine mpk hapooo...macho mazuri na angavuu nyiee kweli Mungu fundiii😅😅😅😅