cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sasa mwanaume rijali unakuajee mweupee bhanaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatar. Mmoja akaniambia mimi ni mrefu na mwembamba ila tatizo ni mweupe kwa hiyo nimekosa sifa moja kuwa sukari ya warembo