financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
why wafupi nao ni watu jamani😃, 6.6ft? You mean wewe uko 6ft pia? AiseeMimi binafsi mwanamke wangu nikikuta kachepika na mwanaume mrefu kama mimi ama zaidi yangu(kuanzia 6.6 na kuendelea) naweza kumsamehe kwa sababu hata ikitokea wamezaa mtoto bado watu watasema kachukua urefu wa baba yake.
Akichepuka na mfupi na namuacha siku hiyo hiyo.