Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?

Hatar. Mmoja akaniambia mimi ni mrefu na mwembamba ila tatizo ni mweupe kwa hiyo nimekosa sifa moja kuwa sukari ya warembo
Sasa mwanaume rijali unakuajee mweupee bhanaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Assasination
 
Hukuomba hata namba
 
Mm ni white hivi na natongozwa hatari na wadada vipi hivi kuna siri gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…