una habari kuwa mimi pia ni mchaga, ila sina mila hizo tena?kuweni wakweli ili mpone. mwogopeni Mungu.Akili ndogo mara zote zina namna yake ya kutazama mambo! Pole sana kwa kuwaza mbali...hukuumia kweli?
Ni utamaduni wao na ni kawaida yao so na wewe ufanye kuwa utamaduni uwe unaenda kwenu mwez wa tatu.
Wachagga ni kama Wana wa-Israel
Salaam!
Umekuwa ni utamaduni wa watu wa kasikazini hususani Wachaga kwenda mapumzikoni kila mwisho wa mwaka
Nimejaribu kufikiria ni kwanini makabila mengine hayana utamaduni huu mzuri kama wachaga?jibu sahihi bado sijapata ila nimejaribu kuhisi labda ni kwa sababu Wachaga wengi wamesoma?
Au mkoa wa Kilimanjaro upo mbali sana kiasi cha wachaga kushindwa kwenda mara kwa mara?
Lakini nimegundua hata Morogoro na Tanga sio mbali lakini Waluguru na Wasambaa hua hawaendi makwao mwisho wa mwaka so umbali na ukaribu kwangu ni vigezo vilivyokosa nguvu.
Nini siri ya Wachaga na utamaduni huu mzuri wa kwenda mapumzikoni mwisho wa mwaka?
Kwa nini makabila mengine wamekuwa wazito kutekeleza swala hili?
Mjadala upo wazi!
una habari kuwa mimi pia ni mchaga, ila sina mila hizo tena?kuweni wakweli ili mpone. mwogopeni Mungu.
kuchamba ni kuchamba, cha muhimu nisiondoke na mav kwenye suruari. ila ukweli uko palepale, tuacha mizimuuuKwa hiyo kujua kuchambia karatasi badala ya majani ndo ulishaona culture yako ni ya kishamba?
Yani ubahili wao wote wa kutafuta hela mwisho wa mwaka wanaenda kuzitumbua.
.................wewe ni punguani kabisa........akili za kuambiwa changanya na zako.........uchangani hakuna....kitu kama hicho....kwa taarifa yako....kwa wachagga...... kwa wengine hii ni generation ya.... 03 wapo wa generation ya ....pili na generation ya kwanza wamebaki wachache saana........WALE WAZEE WALIOKUWA MIJINI MIAKA YA 50/60/,,,80.....WENGI WAMESHAKUFA AU WENGINE NI WAZEE SANA...NA WAPO MOSHI......WATOTO WAO NDIO WAPO MJINI......MWISHO WA MWAKA NI MUDA MWAFAKA KWENDA KUWAJULIA KHALI.....WAPO WALE WALIOZALIWA NA HAWA WAZEE HUKU MIJINI ...WENGI WALISOMEA MOSHI.....WENGI WALIKAA NA BABU ZAO MOSHI.....WALIPO MALIZA SHULE ,,,WAKARUDI MJINI....KWENDA KUWASALIMIA WAZEE WAO NI KOSA????? KUNA VITUKUU.....VIJANA WALIOKULIA KIJIJINI WAKAJA MJINI BAADA YA KUMALIZA DARASA LA SABA.....WENGINE NI WAFANYABIASHARA ......WENGINE NI WAAJIRIWA.....WASIENDE KWAO KUSALIMIA NA KUWA PAMOJA NA FAMILIA ZAO MWISHO WA MWAKA////////////tambua wachagga hawaishi Dar es salaam tu.......unakuta familia moja....watu wako mikoa tofauti zaidi ya 05.....wote ni watoto....familia kukutana wote mnafikiri watakutana wapi????kama sio kwa wazee wao...KILIMANJARRO ....????Tambua kama MTOTO amezaliwa dar es salaam kila mwisho wa mwaka anaona wazee wanaenda pumzika Moshi...mwisho wa mwaka ......huo utamaduni lazima na yeye atakuwa anafanya hata watoto wataiga kwa baba yao........hiyo mizimu kwa kila kabila IPO...NI WACHAGGA TU KWA SABABU MAMBO YETU YAKO WAZI......NAAMINI WAKINGA WASUKUMA....HAYA MAMBO YAPO..........Wachagga kwa kiasi kikubwa......Ukristu umeshayapiga marufuku hayo mambo..MIZIMU..MATAMBIKO......wapo Wachagga waliokulia mjini hawajui hata kuchinja kuku?????akienda kijijini kusherekea na ndugu zake mliokremishwa mnaimba wanaenda toa sadaka kwa mizimu.....KIKUBWA TAMBUENI KILA MTOTO WA KIUME UCHAGGANI ANA .....KIHAMBA........ANATAKIWA AJENGE NYUMBA YAKE KWENYE KIHAMBA CHAKE.......AKIFA YEYE AU MTOTO AU MKE ANAZIKWA KWENYE KIHAMBA CHAKE...SO KILA MTU ANAJITAHIDI KUWA NA NYUMBA YAKE MWISHO WA MWAKA NI MUDA MUAFAKA WA KULALA KWENYE NYUMBA YAKO NA FAMILIA YAKO...............KWA MSIOELEWA XMAS NA MWISHO WA MWAKA KWA JAMII NYINGI ZA KILIMANJARO ......NI...NAFASI YA WANAFAMILIA KUKUTANA PAMOJA.....WATOTO KUFAHAMIANA.....KUSULUGHISHA UGOMVI KAMA UPO WA KIFAMILIA.........KUPEANA POLE KWA WALE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WALIOPOTEZA NDUGU ZAO NK....,...MITAMBIKO TUSHAIZIKA NA KUISAHAU KWA JINA LA YESU
Wachaga fungukeni nn siri ya hii makitu?
mimi kishumundu napajua fika, wengi wanaosikia neno kishumundu watastaajabu wakipaona na kile wanachosikia.Na mimi nimegundua Kitu kimoja.
Kila Mwisho wa Mwaka UJAMBAZI UNAPUNGUA SANA Mijini.
Sasa sijui Hii inahusiana Na Hili Suala Hapa?
I wonder!!!
Cc mkishumundu 2013
.................wewe ni punguani kabisa........akili za kuambiwa changanya na zako.........uchangani hakuna....kitu kama hicho....kwa taarifa yako....kwa wachagga...... Kwa wengine hii ni generation ya.... 03 wapo wa generation ya ....pili na generation ya kwanza wamebaki wachache saana........wale wazee waliokuwa mijini miaka ya 50/60/,,,80.....wengi wameshakufa au wengine ni wazee sana...na wapo moshi......watoto wao ndio wapo mjini......mwisho wa mwaka ni muda mwafaka kwenda kuwajulia khali.....wapo wale waliozaliwa na hawa wazee huku mijini ...wengi walisomea moshi.....wengi walikaa na babu zao moshi.....walipo maliza shule ,,,wakarudi mjini....kwenda kuwasalimia wazee wao ni kosa????? Kuna vitukuu.....vijana waliokulia kijijini wakaja mjini baada ya kumaliza darasa la saba.....wengine ni wafanyabiashara ......wengine ni waajiriwa.....wasiende kwao kusalimia na kuwa pamoja na familia zao mwisho wa mwaka////////////tambua wachagga hawaishi dar es salaam tu.......unakuta familia moja....watu wako mikoa tofauti zaidi ya 05.....wote ni watoto....familia kukutana wote mnafikiri watakutana wapi????kama sio kwa wazee wao...kilimanjarro ....????tambua kama mtoto amezaliwa dar es salaam kila mwisho wa mwaka anaona wazee wanaenda pumzika moshi...mwisho wa mwaka ......huo utamaduni lazima na yeye atakuwa anafanya hata watoto wataiga kwa baba yao........hiyo mizimu kwa kila kabila ipo...ni wachagga tu kwa sababu mambo yetu yako wazi......naamini wakinga wasukuma....haya mambo yapo..........wachagga kwa kiasi kikubwa......ukristu umeshayapiga marufuku hayo mambo..mizimu..matambiko......wapo wachagga waliokulia mjini hawajui hata kuchinja kuku?????akienda kijijini kusherekea na ndugu zake mliokremishwa mnaimba wanaenda toa sadaka kwa mizimu.....kikubwa tambueni kila mtoto wa kiume uchaggani ana .....kihamba........anatakiwa ajenge nyumba yake kwenye kihamba chake.......akifa yeye au mtoto au mke anazikwa kwenye kihamba chake...so kila mtu anajitahidi kuwa na nyumba yake mwisho wa mwaka ni muda muafaka wa kulala kwenye nyumba yako na familia yako...............kwa msioelewa xmas na mwisho wa mwaka kwa jamii nyingi za kilimanjaro ......ni...nafasi ya wanafamilia kukutana pamoja.....watoto kufahamiana.....kusulughisha ugomvi kama upo wa kifamilia.........kupeana pole kwa wale ndugu jamaa na marafiki waliopoteza ndugu zao nk....,...mitambiko tushaizika na kuisahau kwa jina la yesu