Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

that's why X~MAS is a CHAGGA DAY?HAPPY CHAGGA DAY!No!!!MERRY X~MAS§HAPPY NEW YEAR Evebody
 
Mbona wasukuma tumerudi kimya kimya! Tatizo wachaga wanajitangaza mno kuwa wanarudi Kishumundu na sehemu zingine
 

kweli kabisaaa
 
Mbona wasukuma tumerudi kimya kimya! Tatizo wachaga wanajitangaza mno kuwa wanarudi Kishumundu na sehemu zingine
Aliyewanyima nyie kujitangaza ni nani? Mungu Onyesha Shilingi Ilipo!(MOSHI)!
 
Mimi nami nipo kwetu huku Katavi nafanya kama mzee Pinda,so sio wachaga tu hata sie wa Katavi tunarudi kwetu mbona
 
mbona hamuwaongelei wahaya kwa kupenda kwao?. ni zaidi ya wachagga labda umbali tu ndio unasumbua. mchaga anatumia elfu 16 tu kufika kwao. wahaya wanatumia 100000.00 kufika alafu bado wanaenda na majumba yao usipime.
 
Mkuu 2po pamoja kabisa...nipo maeneo ya mkuu hapa nakunxwwa mbege kaka
 
Kwa wanawake uko sahihi japo...wakerewe pia wazuri...wa arusha wa meru na wamasai funiko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…