National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kinyume cha upendo ni chuki.. kinyume cha tamaa ni kukinai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafua yanaleta homa na usiku ndio hali inakuaga mbaya kabisaI feel homa kabisa
Kwenye mapenzi kuna anayeelewaga ushauri basi 😅😅😅🤣Labda watakuelewa wewe mkuu🤒
Okay get well soon swirriSawa,nasikizia kwanza....Kuna dawa natumia
Duh☺️☺️☺️☺️Simtaki kabisa Kwa kweli
Na ukifikiria mmeishakulana 😅😅😅.. Pole kwa wafanya mapenzi aisee wengine mashabiki tuKabisa....mnaanza kupunguza mawasiliano taratibu.... inaumiza kama mtu ulishamzoea😔
Amina kwakweli ndiovyo kabisa wala hujakosea loloye mungu akubariki sana mwana wake kwa ujumbe mwemaKama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Love Give, Lust Take...Yaan daaa
Huyu To yeye Ni mama material kabisaa, sijui nili fail wapi .. ataempata huyu dogo atajipatia bonge la wife..Amina kwakweli ndiovyo kabisa wala hujakosea loloye mungu akubariki sana mwana wake kwa ujumbe mwema
Mepasi sana , ni kutiisha tu tamaa ya mwili.. mwili unakutafutia mauti yaupasa uushinde.. usipogangana kwanza hufiMambo si mepesi aisee