MjukuWaBabu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 206
- 383
Wengine hatuko serious Sana na mahusiano, so tukikutana na wenzetu Mambo yanakuaaa for funnyNdicho nilichojifunza hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine hatuko serious Sana na mahusiano, so tukikutana na wenzetu Mambo yanakuaaa for funnyNdicho nilichojifunza hapa
Si fashion ila inadumisha ndoa kwa kuondoa usumbufu kwa mke; kwa mwanaume anaweza kuhitaji tendo mara kwa mara, ila mke hawezi kutoa tendo mara kwa mara, kwa hiyo wasaidizi ni muhimu pia kuwepo.Kusex nje ya ndoa sikuhizi ni fashion?🤳
Wahi haraka kabla haijaishaSawasawa 🤣🤒
Ujumbe mzuri. Sasa utatoaje mafua bila kufanya mapenzi? Tufanye kwa malengo, full stopKama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Shida imekuwa kubwa hii nkajua ni huku tu kumbe hadi huko yan MTU kupima hataki kinga hataki hatari sanaWatu hawataki kupima ivo nimeona ngoja nijipende kwanza
Acha principle kwenye mapenzi, upime ili ugundue niniShida imekuwa kubwa hii nkajua ni huku tu kumbe hadi huko yan MTU kupima hataki kinga hataki hatari sana
Hali ya kiafya ikoje si unajua kuna maradhiAcha principle kwenye mapenzi, upime ili ugundue nini
Unaonaje nikikuletea dawa Mkuu?Kama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Aisee...Kama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!