Kuna Siri gani katika kufanya mapenzi?

Kuna Siri gani katika kufanya mapenzi?

Kama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.

Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.

Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Hili lilitokea kwa familia ya kwanza kabisa katika mtu(Adamu)
Nyoka aliyetajwa kuwa kiumbe aliyeenda wima yaani alikuwa ni mtu ambaye alibadilishwa maumbile baada ya kosa la kumbandua mchumba wa Adamu yaani Eva.
Kubanduana ni agano la damu ambapo kimsingi kulitengua ni ngumu sana maana ukinyume huu wa makubaliano ukifanywa kuwa uasui na mungu mwenyewe.
Mwanzo 3:15
[15]nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
And I will put enmity between thee and the woman, and between thy seed and her seed; it shall bruise thy head, and thou shalt bruise his heel.
 
Labda shida ndo hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na shd nyingne ni kwamba mkiwa mmeshamwagiana baadae ikitokea mmoja amemiss labda mwanamke then mwanaume anachat maongez ya kawaida Tayari keshi ya jinai namba 8.

Me mwenyew imeshanitokea. Au akiwa na shda ukimsaidia labda kiasi kadhaa. Akawa kimya kwa muda kidg unasema keshaenda kupeleka kwa mwingine ambae ni kweli anao. Yan kasheshe.

Na mm nikiwa busy ananitext najibu kawaida yanaisha. Mambo ya ex relationship ni kazi kuliko new one. Haswaa kwa Ke wenye wivu.

Kifup kwa mwanamke hakuna mahusiano ya karibu sana baada ya sex. Sawa sexless???
 
Good thing ni kuhakilisha once inawabidi m separate katika level yyt ya mapenzi kila mmoja wenu awe tayar kwa hayo matokeo na hapo hakutakuwa na uadui isipokuwa ni mahusiano ya mtu na X wake na inapobidi bado mnaweza saidiana pasipo husisha mapenzi ingawa ni ngumu kwa baadhi ya wasio waelewa ku-practice hili;

1. Nina x wangu ss hv ni nurse Muhimbili ameiuwa msaada kwangu na jamaa zangu sana.
2. Nina x yupo Arusha shirika fulani yaani akipata tu deal ya kazi shirika lao oinahitaj watu ananipigia kuuliza kama ni ndugu anaweza suite the position
3. Nina x ni mwanasheria sihangaiki na suala lolote la kisheria.
Ivo yaani......

Mimi naamini mwisho wa mapenzi huwa sio mzuri lkn situation inaweza badilishwa na ninyi wenyewe baada ya ku separate baadae mkawa tu na mawasiliano ya kirafiki hasa kila mmoja akishakuwa ameponya jeraha la penzi lenu!
Ni hawa ma x waliokulia jamii za kichwawi na kilozi wanaotaka leo kesho waje msibani kwako???
 
Na shd nyingne ni kwamba mkiwa mmeshamwagiana baadae ikitokea mmoja amemiss labda mwanamke then mwanaume anachat maongez ya kawaida Tayari keshi ya jinai namba 8.

Me mwenyew imeshanitokea. Au akiwa na shda ukimsaidia labda kiasi kadhaa. Akawa kimya kwa muda kidg unasema keshaenda kupeleka kwa mwingine ambae ni kweli anao. Yan kasheshe.

Na mm nikiwa busy ananitext najibu kawaida yanaisha. Mambo ya ex relationship ni kazi kuliko new one. Haswaa kwa Ke wenye wivu.

Kifup kwa mwanamke hakuna mahusiano ya karibu sana baada ya sex. Sawa sexless???
Waambie waambie
 
Hili lilitokea kwa familia ya kwanza kabisa katika mtu(Adamu)
Nyoka aliyetajwa kuwa kiumbe aliyeenda wima yaani alikuwa ni mtu ambaye alibadilishwa maumbile baada ya kosa la kumbandua mchumba wa Adamu yaani Eva.
Kubanduana ni agano la damu ambapo kimsingi kulitengua ni ngumu sana maana ukinyume huu wa makubaliano ukifanywa kuwa uasui na mungu mwenyewe.
Mwanzo 3:15
[15]nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
And I will put enmity between thee and the woman, and between thy seed and her seed; it shall bruise thy head, and thou shalt bruise his heel.
Tunajitafutia matatizo wenyewe
 
Haya mahusiano ya kuibia ibia huwa ni changamoto sana. Maana kuna muda wahusika wanaingiwa na hisia za wivu na kutamani kupata zaidi.
 
Back
Top Bottom