Pentamycin
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 210
- 281
Nibariki na mimi to me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utayakanyaga heri utulie tuMoyoni hatuendi in Jesus's name!
Enzi zetu ilikuwa ukionekana na binti umesimama naye kona ujue kijiji kizima kitajua kashfa yako ya kuanza ngono kabla ya ndoa.🤣🤣🤣Sawa
Njoo nikupe dawa ya mafuaNaubwa bafua mie....ila mambo haya y'all[emoji1787][emoji1787]
Ni nani aliyekuroga?NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Nimefurahi kusikia hivyo maana uzima wako ndo kipaumbele changu.[emoji4]Hakuna bro..... asante Kwa kupata wasiwasi juu yangu [emoji8]
Kwani huna wa kukupetipeti usiku wote huo upo JFKama una urafiki na mwanaume au mwanaume tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Pole sana rafikiNahisi nimepata home...vumbi la kupima pima mkaa