Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tukibanduana tuna nasanaAsante sana, urafiki wetu udumu....tukibanduana tu..uadui huu hapa😜
Kuna mama flani hivi wa kipemba kila nikiumwaga mafua utasikia muite mkwe wangu utapona,mafua sio ugonjwa NI mahabaWee😳,sema kweli!?
Kazi kwako 😂 iyo ndo dawa achana na vitunguu swaumu au tangawizi muite shemeji,utareta mrejeshoIli mwambukizane?🤣🤣
Good thing ni kuhakilisha once inawabidi m separate katika level yyt ya mapenzi kila mmoja wenu awe tayar kwa hayo matokeo na hapo hakutakuwa na uadui isipokuwa ni mahusiano ya mtu na X wake na inapobidi bado mnaweza saidiana pasipo husisha mapenzi ingawa ni ngumu kwa baadhi ya wasio waelewa ku-practice hili;Kama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Aisee,mnarahisisha kweli tuvituGood thing ni kuhakilisha once inawabidi m separate katika level yyt ya mapenzi kila mmoja wenu awe tayar kwa hayo matokeo na hapo hakutakuwa na uadui isipokuwa ni mahusiano ya mtu na X wake na inapobidi bado mnaweza saidiana pasipo husishq mapenzi ingawa ni ngumu kwa baadhi ya wasio waelewa ku-practice hili!
Asante rafiki yangu. Pole wote.Pole sana,Yaan yanaleta homa kabisa
Huyo huyo aliye kudanganya kuwa unywe mate lita 5 ndio upate maambukizi ndio huyo huyo aliye kuletea HIV Oral test kit ambayo wala hata haihitaji hayo mate lita lita 5 yaan una swab tu mdomoni mwako na unapata majibu , sasa akili kuchwani mwako mzeeAliyekuambia mate yana virus nan mpaka unywe litr 5
Unauwezo wa kukaa siku ngapi BIla kulana
Unafanya sensa auUnauwezo wa kukaa siku ngapi BIla kulana
True pana uadui wa asili Kati ya mwanamke na mwanaume.Ndoa zenyewe zina uadui sembuse kumwagiana Kwa burudani tu.Kiufupi uzinz na uasherati ni Dhambi sana
Kwahio nikikubali kupima mate yako nayanyonya usiku mzima 😋😗Mi hapana kiukweli
Naona upo sharp binti😂 hiyo ndioIpi,ya selfie 🤳
Acha watu wapeane utam bhana😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸 Tulia wataona😜