Kuna siri gani kwenda Pre-Season nje ya nchi kwa timu masikini?

Kuna siri gani kwenda Pre-Season nje ya nchi kwa timu masikini?

Kiongozi huko kwnye pre season ndo znakopatikana hizi pesa kidogo za kuendesha team ,hvi viingilio vya mlangoni hakuna kitu pale ,but kikubwa sisi mashabiki tunapenda sana kuona timu ikifanya vizuri na kuchukua makombe,mengine wala hatufikirii wala kuyajadiri
Pre season wanapataje hela
 
Viongozi Simba hawataki wanachama wengi bali wanataka mashabiki wengi oyaoya. Niliwauliza kwanini, wakajibu eti kwakuwa Kuna hisa hivyo kama wanachama wakiwa wengi dividend itapungua, yaani faida kwa wanahisa itapungua. Kwa maana nyingine wanataka wanachama wabaki haohao milele kwaajili ya uroho wa pesa. Wanamtegemea mo afanye kila kitu. Ndio maana mo anawazingua kila mara, ni nyani wala mabibo.
Hahahahaha
 
Wale wanaobaki avic town ,hawana mchongo huo?
Huwezi kufanya pre-season kwenye hali ya hewa, viwanja vizuri sana vya Tunisia au Uturuki halafu mechi ya kwanza inachezwa uwanja wa Mkwakwani wenye mbigili na visiki. Uwanja wa Mkwakwani unafanana kabisa na uwanja wa Avic ambao yanga alifanyia pre-season yake, umeona kilichowapata azam?
 
Huwezi kufanya pre-season kwenye hali ya hewa, viwanja vizuri sana vya Tunisia au Uturuki halafu mechi ya kwanza inachezwa uwanja wa Mkwakwani wenye mbigili na visiki. Uwanja wa Mkwakwani unafanana kabisa na uwanja wa Avic ambao yanga alifanyia pre-season yake, umeona kilichowapata azam?
Sasa huwa hawajui hilo ? Jibu ni hawajui au km usemavyo

Maana Real Madrid walikua wanaenda pre -season Asia ,ukiacha maandalizi ,lkn pia wanafanya marketing ya bidhaa zao km jezi na vingine
 
Sasa huwa hawajui hilo ? Jibu ni hawajui au km usemavyo

Maana Real Madrid walikua wanaenda pre -season Asia ,ukiacha maandalizi ,lkn pia wanafanya marketing ya bidhaa zao km jezi na vingine
Simba wako tayari kwenda pre-season nje ya nchi hasa uarabuni hata ikibidi kwa siku 3 tu. Hizi ngada ndizo zinazoiendesha timu. Kwanini wahusika hawafanyi ukaguzi wa kutosha kwenye mabegi, mipira wanayobeba wakati wa kwenda na wakati wa kurudi pre-season?
 
Simba wako tayari kwenda pre-season nje ya nchi hasa uarabuni hata ikibidi kwa siku 3 tu. Hizi ngada ndizo zinazoiendesha timu. Kwanini wahusika hawafanyi ukaguzi wa kutosha kwenye mabegi, mipira wanayobeba wakati wa kwenda na wakati wa kurudi pre-season?
Wanakua wanapeleka au wanakwenda kuchukua ?
 
Wanakua wanapeleka au wanakwenda kuchukua ?
WAKATI WA KWENDA WANAWEZA KUWA WANAPELEKA NYARA ZETU NA DRUGS HUKO KUPITIA DIRISHA LA TIMU YA MPIRA KUSAFIRI KWENDA PRE-SEASON NA WAKATI WA KURUDI HUENDA KUNA VITU VINAINGIZWA NCHINI KUPITIA DIRISHA HILIHILI. MARA ZOTE HUWEI KUSEMA UNAPATA HASARA KUFUNYA JAMBO LAKINI HUACHI KULIFANYA HILO JAMBO. LAZIMA UJIULIZE KWANINI ANAFANYA HUKU AKILALAMA KUWA ANAPATA HASARA? HADANI HUU NDIO MUDA WA KUTUDISHA KAMA SIO KUPUNGUZA HASARA.
 
Tanzania hakuna timu tajiri, timu nyingi kama sio zote hazina misuli ya fedha za kusajili wachezaji wazuri sana na mabenchi ya ufundi class ya juu. Timu nyingi zinashindwa kuwalipa makocha na wachezaji signing fees zao na mishahara kwa wakati, wachezaji hawana bima na hazina viwanja vyao wenyewe. Kwa ujumla timu zetu zinaendeshwa kwa kubangaiza huku na kule; kwa maneno ya kimpira timu zetu ni feeder clubs kwa timu za kanda nyingine Afrika kutokana na umaskini wao.

Kwanini ni rahisi mno timu zetu kwenda kuweka kambi nje ya nchi lakini ni vigumu kusajili wachezaji wazuri, kulipa mishahara mikubwa ya wachezaji na benchi la ufundi au kujenga uwanja? Majibu ni mengi sana, mojawapo ya majibu hayo ni kwamba kuna uhusiano mkubwa sana kati timu kwenda pre-season za nje ya nchi na sababu za mtu kukubali kuidhamini timu.

Sina ushahidi kamili, lakini pre-season hizi za hivi zina uhusiano mkubwa na biashara za magendo (smuggling), madawa ya kulevya au ukwepaji ushuru kwa kutumia jina la timu, wachezaji na benchi la ufundi. Akili ya kawaida tu haiwezi kuamini kwamba timu zetu zina fedha nyingi za kwenda kuweka kambi nje nchi lakini hazina fedha za kusajili wachezaji wazuri wa kuleta mataji.

Jeshi la uhamiaji na wadau wengine hebu tegeni mitego ya kunasa matunda ya pre-season za nje ya nchi kwa timu mbovu kabisa uwanjani na zinazolalamika kuwa hazina pesa za kulipa wachezaji, makocha, kusajili na kujenga viwanja vyao. Mnaweza kugundua chocholo za uovu kwenye hizi safari.
Hiyo dhana ya kuhusisha timu kwenda pre season nje na usafirishaji wa madawa ya kulevya ni ya kizamani sana ya tangu enzi za Gulamali ndiyo iwe applicable leo hii.
 
We
Eti timu zetu!,, zipi hizo ?.. lini utopolo mlikwenda nje ya nchi mkafanya pre season ukiachana na ile mliyolipiwa na waarabu,, kila mwaka excuse ile ile eti mda hautoshi, mlikuwa hamjui kuwa kuna pre season kabla ya msimu mpya kuanza ?..

Ifike wakati utopolo muelewe kuwa simba sio level yenu, kwa Tanzania ni Azam na Simba tu zenye misuli ya kifedha na uwezo wa kufanya watakalo,, hatuwezi kuwa sawa na timu inayotegemea kuuza magodoro iweze kujiendesha.. nadhani kwa sasa mmeelewa tuliposema bajeti yetu ya msimu ujao ni B23 tulikua tuna maanisha.

IKIUMA CHOMOA
Ss wew ni mjinga kweli
 
Hiyo dhana ya kuhusisha timu kwenda pre season nje na usafirishaji wa madawa ya kulevya ni ya kizamani sana ya tangu enzi za Gulamali ndiyo iwe applicable leo hii.
Mhindi hawezi kuwa na free lunch hata kidogo, you must think critically before you argue. Mtu anakwambia napata hasara kuendesha timu,, lakini Yuko tayari kuongeza hasara kupeleka timu pre-preseason nje ya nchi hata kama iwe na wacheza 7 TU kikosini bila kocha, kama anapata hasara kuendesha timu kwanani asipunguze hasara kwa kuweka kambi tz au Zanzibar? Lazima Kuna kitu, mulika safari mzima ya kwenda na kurudi preseason huenda ukagunduria siri ya kwanini hawa jamii wanatufadhili miaka nenda Rudi kizazi na vizazi.
 
Mhindi hawezi kuwa na free lunch hata kidogo, you must think critically before you argue. Mtu anakwambia napata hasara kuendesha timu,, lakini Yuko tayari kuongeza hasara kupeleka timu pre-preseason nje ya nchi hata kama iwe na wacheza 7 TU kikosini bila kocha, kama anapata hasara kuendesha timu kwanani asipunguze hasara kwa kuweka kambi tz au Zanzibar? Lazima Kuna kitu, mulika safari mzima ya kwenda na kurudi preseason huenda ukagunduria siri ya kwanini hawa jamii wanatufadhili miaka nenda Rudi kizazi na vizazi.
SIyo kwamba sifikiri otherwise nisinge raise argument, nilichopinga ni hiyo dhana ya kusafirisha madawa ya kulevya kwani ilitumika for the past 30 years watu hawawezu kuendelea kutumia mbinu hizo hizo miaka nenda rudi, ila kuwa wana economical gain wanapata hiyo siwezi kubisha kwani hakuna mfanyabishara anatoa hela yake bila uhakika wa kuirudisha.
 
Hiyo dhana ya kuhusisha timu kwenda pre season nje na usafirishaji wa madawa ya kulevya ni ya kizamani sana ya tangu enzi za Gulamali ndiyo iwe applicable leo hii.
Kuna wakati mfadhali wa timu aliahidi wachezaji kuwapa tv Moja Kila mchezaji lakini yaliinhizwa makontena 5 ya TV ya zawadi za wachezaji.
 
Hela yakuzulula.mnayo helayakusajiliwachezaji wazuri hanna muddy kwelimuhuni
 
Hela yakuzulula.mnayo helayakusajiliwachezaji wazuri hanna muddy kwelimuhuni
ngada, ukwepaji kodi na smuggling ndio uti wa mgongo wa uchumi wa familia. Ni rahisi kuyafanya haya yote kama utajiweka karibu na Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom