Kuna tatizo kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Vipi baba wa mtoto hakumegei apple

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubwa hapo ni wewe na yeye nyoyo zenu zinavoelewana

Hayo mengine sio kesi
 
Wengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa
Naunga mkono hoja labda nionyeshwe kaburi la huyo aliyezaa nae ndipo nitamuoa
 
Nakushauri usikilize moyo wako lakini pia waulize wazazi wako sababu za kumkataa mwenza wako na wakueleze athari za kuoa single maza pia.
 
Hallo ndugu zangu

Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Kama ndugu zako hawataki kwa nini hutaki kuwasililiza?,au mitaa unayokaa wasichana ambao hawana watoto wamekwisha?
 
Ukionq hvyo angalia moyo wako unataka nn? Maana wewe ndo utapambana na hali yako hamna mtu atakusaidia . moyo wako ndo uamue maamuzi ambayo usije ukajutia
 
Hii no 5 nimeilewa haswa

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu imekaa kiubaguzi sana maana wanaume wanataka wanawake wasio na watoto ila wao unakuta wamejaza madarasa tena kwa wanawake zaidi ya mmoja, tuwe fair jamani, watu mkipendana msiangalie sijui watoto sijui alikua na nani zamani , hayo hayatawasaidia sanasana ni kutafuta kujua zaidi mambo yaliyojificha ambayo hawasaidii sana
 
Awali ukiishaoa singo mama, maisha yanakuwa burdani, kwani utaonekana ni Lulu .
Baada ya muda uta anza onekana wa kawaida tu, tofauti zozote za ndani ni nafasi ya mwenzio kumtafuta mume mwenzio. halafu taratibu utakuja elewe tunachoandika mara kwa mara hapa.

na kibaya zaidi, haitakuja tokea eti ukawa na urafiki na mtoto wa mwanaume mwenzio, hakuna. na hii ndio mbaya zaidi
 
Ndoa ni kati yenu nyie wawili na mashahidi wenu wawili.
Kama umempenda sana muoe. Wazazi wameshawakost watoto wao mara nyingi tu kwa huu mtindo wa kukataa wachumba wa vijana wao na kisha kuwatumbukiza pasipokalika.

Usingle mother siyo kwamba ndo atakuwa analiwa na baba mtoto.
Wapo masingle mother wengi tu walio na akili yao nzuri hawafanyi huo upuzi.
Na wapo ambao waliolewa wakiwa bado hawajazaa lakini wanapigwa sana tu kitaa tena unakuta anapigwa na wengi..

Kuchepuka ni tabia ya mtu- haihusiani na single mother.
 
Kama maelezo yake ni kweli mchukue! Ila ujue wanawake ni wajanja, kuna siku watakutana kwa faragha ili kuganga namna ya kumlea mtoto, utakubali?
Hizi kauri siyo za kweli mara zote. Tena wakati mwingine unakuta hawa wazazi wana bifu kali hata kusalimiana hawasalimiani. Inategemea na mazingira mimba imepatikana na sababu zilizowaachanisha.
 
Nakushauri usikilize moyo wako lakini pia waulize wazazi wako sababu za kumkataa mwenza wako na wakueleze athari za kuoa single maza pia.
Wazazi wanahofia mtoto wao atakuwa anagongewa na jamaa aliyemzalisha.
Kama ni wa kugongwa atagongwa hata na bodaboda wanaombeba hili la usingo mother haitokei mara zote.
 
Katafute kaburi la baba wa mtoto kisha ndipo ufanye maamuzi ya kuoa chief
 
Kwa comment hizi, wanawake wengi watakuwa wanatoaga sana mimba kujiweka safe side ya kuolewa hapo baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…