Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Hili la zenj muhusika pia ni JK Nyerere????

Au Maalim seif?
 
Hebu funguka zaidi kuhusu tambiko la nchi la Zanzibar mkuu
Lilifanywa na Nyerere pamoja na karume na kuna makubaliano ya kwenda kufanya renewal ya makubaliano yao kila inapoingia awamu mpya ya uongozi. Wanapeleka ajenda wanazotaka na wao kupewa masharti ama matakwa na wahusika wa ulimwengu huo mwingine. Kiongozi wa hayo matambiko huwa anatakiwa kuwa binti bikra wa umri usiozidi miaka 16.

Unakumbuka ajali ya MV spice islander ya September 2011? Ile ilikuwa moja ya demand za makubaliano yao 2010.

Kuna mzee mmoja nilikutana nae Morogoro 2014 alikuwa anaandaa kitabu kabisa cha matambiko yote makubwa yaliyofanyika nchini; kusini, Dodoma na Zanzibar. Too bad sijui aliishia wapi, sikupata kumsikia tena. Nchi ilikabidhiwa kwa shetani, Mungu aturehemu tu aisee.
 
Thus awataki katiba mpya na uraia pacha hivi vinafungua code.
Uraia pacha na katiba mpya ni sawa na dawa ya panya na panya.
Hivi viwili ndio code ya kuisambaratisha ccm.Ccm ikifa nchi itafunguka na maendeleo yataanza kuja.
Maana tunakupandia ukale na ujinga saa nyingine hata sio uchawi ni uoga wa changes za kijamii
 
Nyie waongo watupu. Lindi sio mkoa masikini kuliko yote TZ. Yaani hata darasa la 7 anapata hilo swali. Wewe inaonekana ndio wale wale unafaulu kwa madesa.

sababu za mikoa mingi ya pwani kuwa masikini ndio utakuwa hujui kabisa
Mikoa masikini ni ya kanda ya ziwa has geita na Mwanza
 
Mshana Jr nashawishika kusema kuwa kuna marekebisho kidogo pale ulipoandika UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU, usahihi ni kwamba UMULIKE HATA NJE YA MIPAKA YETU.

Lakini maudhui ya andiko yanabaki kuwa taifa lipo katika hali isiyoelezeka.
[emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji1548]
 
Mkuu huyu binti anapatikana kwa njia zipi ?

Na je huwa anatolewa kafara au hubaki hai ?
 
Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.
Hapa bila shaka unamaanisha ushirikina. Kama una maanisha Ushirikina kauli hii si ya kweli bali ina uongo mwingi. Yapo mataifa mengi yamesimama pasi na chembe ya hayo uliyoyasema,bali mengi yalianguka kutokana na hayo uliyo yasema. Mataifa yote ambayo yalikuwa chini ya mitume haua yalisimama pasi na chembe ya kafara wala matambiko bali wala kwa vyama vya mashetani,rejea ufalme wa nabii Suleyman,rejea taifa la Saudia kwa zama zetu hizi,sasa unaposema hivi sijui uliwaza nini ?
 
Umeupiga mwingi sana kaka
 
Tambiko la Lindi kilufanyika siku chache kabla ya 9)12/1961, Ardhi ilipasuka, ikameza watu zaidi ya 50, ikajifukia.
Kabla ya hapo Lindi haukua mkoa, na tafsiri ya neno/jina Lindi ni shimo
 
Kwanini asifanye yeye? Anaogopa nini mkuu

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…