Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kama hujui kitu tulia uulize upate ufahamu wa kukufumbua akili uyafahamu yaliyo ya kiroho
 
Uliyoyataja hayana uhusiano wowote na matambiko.

Ninyi mnaajenda yenu binafsi.

Endeleeni!

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Nyie waongo watupu. Lindi sio mkoa masikini kuliko yote TZ. Yaani hata darasa la 7 anapata hilo swali. Wewe inaonekana ndio wale wale unafaulu kwa madesa.

sababu za mikoa mingi ya pwani kuwa masikini ndio utakuwa hujui kabisa
Wamesahau mikoa ya shinyanga,singida.
 
Nchi za kijamaa kwa ujumla wake naona zina shida. Mtu akiishakuwa kiongozi anaona wengine woote hamnazo. viongozi wote ni wakatili. Imagine mtu anawaambia mhamie Burundi

Imagine mtu hataki kusikiliza wananchi wake
mfumo huu wakijamaa ukiukosea mwazo ndo basi tena
 
Mkuu huyu binti anapatikana kwa njia zipi ?

Na je huwa anatolewa kafara au hubaki hai ?
Sifahamu mkuu. Huu uzi umenifanya nifanye jitihada za kumpata alietupa taarifa hizi. Nilikutana nae Morogoro ila ni mkazi wa shinyanga kama kumbukumbuku zangu ziko sawa. Nikimpata ntawajuza, by then alikuwa anaandaa kitabu kilichokiwa kinaelezea matambiko mengi ya karibu ukanda mzima wa Afrika Mashariki yakiwemo ya Buganda empire huko Uganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…