Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Sababu umeandika ukweli ya kuwa hujui japokuwa unadhani ya kuwa unajua.

Ukweli unabaki pale pale ya kuwa ulichokiandika katika mada hii kina uongo mwingi kuliko ukweli.

Hii ni changamoto kubwa sana tunayo kutana nayo ya kuwa na watu wengi kujiona wanajua lakini hawajui na hawajui kama wao hawajui. Hawa huwekwa katika kundi la KUPUUZWA.

Labda kwenye mengine sababu hakuna anaye jua kila kitu,ila katika hili la UCHAWI na USHIRIKINA nina jua hakika yake ambayo wewe hujui.

Shukrani sana.
Ukweli unabaki pale pale ya kuwa ulichokiandika katika mada hii kina uongo mwingi kuliko ukweli.[emoji848]

Uongo ninini? Ukweli ninini?
Ninini kipimo cha uongo au ukweli? Unawezaje kutambua asimilia za uongo ama ukweli?

Ukweli ni nadharia mnyumbuliko..haiko thabiti..kwa kukusaidia tu jali zaidi uhalisia kwakuwa hii dhana ni thabiti...!
Nilichoandika ni halisi na ni thabiti..! Ila sikulazimishi ukubaliane nami

Nimechagua kukujibu SIJUI kwakuwa ulinipa uchaguzi.. Naona kilichofuata ni majisifu na vijembe.. Labda nilitegemea uniulize KWANINI?
 
Ni sayansi ya uharibifu katika ulimwengu wa giza
Kwa kulijua hilo,mpaka najiuliza kwanini mtoa mada aliamua kuandika uongo kwa kudai ya kuwa hakuna Taifa lililo simama nje ya hizo njia,kitu ambacho ni UONGO wa wazi na uongo huu haupaswi kukaliwa kimya.
 
kuhusu mfalme suleman kwanza kabisa utambue kuna mambo biblia imeyaficha aijayaweka wazi yakupasa msomaji uwe na fikra pana unapoisoma hili uielewe yakuhitaji pia uwe nje ya boksi.

Na utambue kabisa kwenye hivi vitabu kuna mkanganyiko mkubwa wa mambo lakini kama uakua mtu mwenye fikra pana karibu tueleweshane naamini tutafikia muafaka.
Asante sana nipo hapa kwa ajili ya kupanua maarifa na kushibisha ubongo...karibu
 
Azazel wakati anatupwa duniani kwa kiburi chake kabla hajatua duniani alitamka haya; NAKWENDA KUKALIA AMALI ZOTE ZA DUNIA MADINI YOTE MALI ZOTE NA FAHARI ZOTE ZA DUNIA . haya mamali mi huwa nayaangalia tu lakini ili uzipate kirahisi onana na aliyezikalia kwa ujira wa damu ya nduguyo ili utajirike kupindukia na uwastaajabishe binadamu wenzio
Ndi hivyo mkuu na ndio maana imeandikwa "ni vigumu tajiri kuuona ufalme wa MUNGU kama ilivyo ngamia kupenya kwenye tundu la sindano"

Maana yake ipo wazi kwamba kwakua mali ni za shetani bhas hili mtu azipate kwa wingi yampasa aombe kibali kwa mwenye nazo (mkuu wa anga) na hapo amesha jitenga tayar na MUNGU .
 
corona ipo kule kutokana na baridi kali inayofikia nyuzi joto 5 mpaka 8 baridi ni kipenzi kikubwa cha huyu virus
Mbona iringa na njombe hakuna vifo kama huko arusha na moshi..tukubaliane kitu pombe na makitimoto wanayobugia huko ndio chanzo cha vifo hivyo..tunaita underlaying causes.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukianza kuleta inshu za kidini humu utakua huelewi maana ya hii thread..leo tuaangalia jicho la kiroho hasa matambiko.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Dini ndiyo imekuja kujibu maswali ya kiroho na mambo yaliyo fichikana,kwahiyo si sahihi kuondoa lengo kwa mwenye lengo lake.

Mfano dini imekuja kueleza nini hutokea baada ya kifo. Hili ni jambo la kiroho mzee,na huwezi kuuelezea uchawi na ushirikina nje ya dini ukapatia,hili nasema tena huwezi,ukitaka kuamini hilo labda kama uwe hujui hakika ya mambo kama mtoa mada ambavyo hajui,utake kutenganisha dini na mambo ya kiroho.
 
Mungu aliumba Dunia akampa shetani aimiliki.
Hii nadharia uleta shaka Sana.
Mfano Mungu kaweka madini ardhini lakini huwezi yapata bila ruhusa ya shetani kupitia wakala wake dunia.
Hii uleta shaka je shetani na Mungu ni kitu kimoja.
sheatani ndicho kipimo chetu kwa mungu na ndio mtihani wetu juu ya uaminifu kwake UNATAKIWA USALI NA UWE NA IMANI KIASI KWAMBA UMNYANGANYE SHETANI UTAJIRI HUO ALIOUSHIKA KWA NGUVU ZA MUNGU UTAKATIFU WA HILI NA UTAKASO WAKE HUENDANA NA KUTOKULA NYAMA KABISA
 
Poa kaka nimetulia. Ila angalizo usije kukimbia maswali na kama swali nitakalo kuuloza hulijui bora useme hujui na usitoe udhuru.

Nakuuliza maswali haya :

1. Taifa gani unalolikusudia wewe,mpaka ukafikia hatua ya kukata kabisa ya kuwa hakuna taifa lililo simama nje ya njia hizo ?

2. Unakubali kama mitume walikuwa viongozi na watawala ? Mitume walisimamisha dola bali wapo ambao walikuwa ni wafalme walio watawala majini na watu na viumbe wengine hapa namkusudia Suleyman ?

Nimeanza na hayo mawili kwanza.
Kweli dini ni uraibu..yani umemezeshwa kama yalivyo na wala huwezi kujiongoze..unaenda kama kondoo machinjioni.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kulijua hilo,mpaka najiuliza kwanini mtoa mada aliamua kuandika uongo kwa kudai ya kuwa hakuna Taifa lililo simama nje ya hizo njia,kitu ambacho ni UONGO wa wazi na uongo huu haupaswi kukaliwa kimya.
Zipo nguvu zinazoongoza ongoza mambo katika nchi.
Unajua dunia inaendesha na familia za watu 5 tu.
 
Uongo ninini? Ukweli ninini?
Ninini kipimo cha uongo au ukweli? Unawezaje kutambua asimilia za uongo ama ukweli?
Kwa maana yenye kujitosheleza kuhusu uongo, uongo ni kinyume cha ukweli,na ukweli ni kauli au kitendo kuafikiana na hali halisi.

Kipimo cha uongo na ukweli uzani wake ni HALI HALISI,yaani vyote hurejea huko,kwenye hali halisi kuna elimu na maarifa. Leo hii utabaki kuwa muongo unapo dai ya kuwa hakuna taifa lililo simama nje ya njia hizo ulizo zitaja huku uhalisia ukiwa dhidi yako.

Mimi tangu na balehe najifunza mambo ya ushirikina na uchawi na namna ya kuyaeupuka na najifunza elimu ya kumpwekesha Mola wangu,na hizi elimu naendelea kuzisoma mpaka pale nitakapo rejea kwa Mola wangu.

Asilimia za uongo na ukweli nazijua kwa kurejea uhalisia ambao uko.
 
Duh kafara tena ? OK nimewahi kusikia hizi story Za bagamoyo.Lindi na ziwa Tanganyika na moja hivi siikumbuki but 'lisemwalo........
Mimi niliambiwa kuna kituo kimoja cha Polisi kipo Serengeti sehemu fulani inaitwa Nyansurura. Hapo nasikia enzi ya Nyerere kuna kafara la kutisha Mzee alilifanya baada ya kumaliza kituo cha Police kikajengwa juu yake. Na mambo yakaisha hivyo hivyo na kubakia historia, wazee wanasema Mzee Nyerere alifanya kafara na mazindiko mengi na akimaliza anajenga jengo fulani juu ya hiyo sehemu ina maana hata kama mnafahamu mlichofanyia mnakosa nguvu ya kubomoa maana utakuwa umeingia kwenye 18 ya serikali. Kuna vitu vingi sana, vimefanywa nchi hii
 
Kweli dini ni uraibu..yani umemezeshwa kama yalivyo na wala huwezi kujiongoze..unaenda kama kondoo machinjioni.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo baya ni kulazimisha uongo uwe ukweli. Huu ni mjadala huru,kama una hoja weka hoja na mimi niweke hoja zangu kisha itajulikana nani mkweli kati yangu mimi na wewe au nani mwenye uraibu.

Mintarafu dini yangu, dini yangu imejikita sana katika kusoma jambo ambalo hata washirikina na wachawi ambao wanatenda uchawi huo,ukiwauliza uchawi ni nini au ushirikina ni nini hawajuo ila wanatenda. Sasa kwa namna hii hakika ya mambo hawawezi kuijua. Kama unabisha muulize mtoa mada Uchawi ni nini na Ushirikina ni nini na haya mambo yanaenda vipi ? Kilicho baki ni watu kutishana.
 
Yeyote anaye sema ya kuwa hakuna Taifa lililo simama nje ya njia alizo zitaja mtoa mada,bila shaka mtoa mada haujui Uchawi wala Ushirikina ni nini. Wewe kama unabisha muulize tu mtoa mada uchawi ni nini na ushirikina ni nini ? Akipatia katika majibu ya maswali haya mimi naacha kuchangia katika hii mada.

Mtoa mada nimemtolea mifano miwili mmoja wa nabii Suleyman na mwingine mfano wa nchi ya Saudia. Akanisihi nitulie badala yake niulize swali. Sababu ninakijua ninacho kiongelea nikampa sharti,sharti ambalo kiukweli ni zito kwake,akajibu hajui juu ya kile ambacho alinisihi kwamba niulize.
Pitia comment zangu kuna kitu utapata napia napata mashaka kuhusu mfalme suleman na wengine walio kua na mali nyingi.
inawezekanaje MUNGU awape mali zote hizo hapa duniani nawakati yeye mwnyewe kasema tusiangaike na mambo ya dunia bali tuuafute ufalme wake .

Kuna mambo kwenye vitabu hivi vya dini kuyaelewa yakupasa ufikirie nje ya boksi sasa kama yye ndiye aliye wapa utajiri akina sulemani mbna sisi anatuzuia kuzitafuta et tutafute ufalme wa mbinguni[emoji16][emoji16] sasa huku sini kutukejeri shetani anayo nafasi yake kubwa tu kwwnye hii dunia na ulimwengu .

soma vitabu vya dini ukiwa nje ya boksi.
 
Ukweli ni nadharia mnyumbuliko..haiko thabiti..kwa kukusaidia tu jali zaidi uhalisia kwakuwa hii dhana ni thabiti...!
Nilichoandika ni halisi na ni thabiti..! Ila sikulazimishi ukubaliane nami
Ukweli si nadharia wala si dhana,japokuwa katika elimu ya kuhoji kuna kitu kinaitwa "Dhana ya hakika (Dhana ghaalib) yaani dhana iliyo kadiriwa kwa kuzidi asilimia hamsini na ina hukumu jambo"

Usijokujiua ni kuwa Uhalisia ndiyo ukweli wenyewe,usiongozwe na fikra finyu za wanafalsa ambao hudai ya kuwa kuna ukweli muhimili na kuna ukweli unavyo jitokeza kwa watu,mgawanyo huu unaondoa uhalisia,uhalisia ambao kiuhalisia hauondolewi kwa chocbote.

Ulicho kiandika si halisi na si thabiti mpaka pale utakapo vunja hoja zangu. Hili naweza kulithibitisha ila wewe nina uhakika hali wa shani huwezi kuthibitisha ukweli wa ulichokiandika mpaka unakufa. Nasema tena mpaka unakufa.
 
Pitia comment zangu kuna kitu utapata napia napata mashaka kuhusu mfalme suleman na wengine walio kua na mali nyingi.
inawezekanaje MUNGU awape mali zote hizo hapa duniani nawakati yeye mwnyewe kasema tusiangaike na mambo ya dunia bali tuuafute ufalme wake .
Mungu huyo mungu yupi aliyeyasema hayo ?

Sababu huwezi kuipata pepo bila kupitia duniani,au kuishi dunia ni sharti la kuipata pepo.

Huenda ulielewa vibaya kaulo hiyo. Kisichotakiwa ni mtu kuihangaikoa mno dunia na akaisahau akhera yake.

Nabio suleyman kile alicho pewa alikiomba na Mola wetu humpa amtakaye na humnyima amtakaye kwa hekima zake.
 
Kuna mambo kwenye vitabu hivi vya dini kuyaelewa yakupasa ufikirie nje ya boksi sasa kama yye ndiye aliye wapa utajiri akina sulemani mbna sisi anatuzuia kuzitafuta et tutafute ufalme wa mbinguni
emoji16.png
emoji16.png
sasa huku sini kutukejeri shetani anayo nafasi yake kubwa tu kwwnye hii dunia na ulimwengu .

soma vitabu vya dini ukiwa nje ya boksi.

Wapi amekuzuia wewe kutafuta pesa ? Kuna kutafuta pesa na kupata pesa hivi ni vitu viwili tofauti.

Kijana unachokiandika unaonyesha hujui mambo mengi sana kuhusu Mola.
 
Kwa maana yenye kujitosheleza kuhusu uongo, uongo ni kinyume cha ukweli,na ukweli ni kauli au kitendo kuafikiana na hali halisi.

Kipimo cha uongo na ukweli uzani wake ni HALI HALISI,yaani vyote hurejea huko,kwenye hali halisi kuna elimu na maarifa. Leo hii utabaki kuwa muongo unapo dai ya kuwa hakuna taifa lililo simama nje ya njia hizo ulizo zitaja huku uhalisia ukiwa dhidi yako.

Mimi tangu na balehe najifunza mambo ya ushirikina na uchawi na namna ya kuyaeupuka na najifunza elimu ya kumpwekesha Mola wangu,na hizi elimu naendelea kuzisoma mpaka pale nitakapo rejea kwa Mola wangu.

Asilimia za uongo na ukweli nazijua kwa kurejea uhalisia ambao uko.
Unajaribu kujibu kwa kuchanganya mambo mengi kwa wakati mmoja mwisho unaishia kukosa jibu sahihi

Hakuna kipimo cha uongo wala hakuna kipimo cha ukweli kwakuwa hizi ni dhana na si yabisi
Ukiwa muongo ni muongo tuu...na ukiwa mkweli ni mkweli tu..lakini si mambo yote utakuwa muongo na si mambo yote utakuwa mkweli .. Kila jambo moja linajitegemea uongo ama ukweli Wake! Hivyo usije ukajichanganya hapa

Kuhusu ukweli na uhalisia hapa ndio umepotea kabisa
Ukweli hubadilika lakini uhalisia hubaki vilevile.. Ukweli kwangu unaweza kuwa uongo kwako kama unavyoni brand kwenye hii mada..lakini je ndio uhalisia?
 
Back
Top Bottom