Dah Wazee mpo vema kwa ulozi aiseeMoshi huo kitu kidogo Mshana Jr anazungumzia wachawi wote wa nchi walivyozunguka nchi yote na kwenda Lindi vijijini ambapo MOHAMMED ABOUBAKAR LUSINDAMBA alienda kikao Cha wachawi Cha kidunia Cha Abu Dhabi akaja na maazimio ya zindiko hilo la pili la Lindi la 1990.
yeap na kila mara nasema ya kwamba kuna nguvu za ziada ambazo kuna watu utumia hili kufanikisha jambo fulani.Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.
Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.
Tanzania ni taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk
Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi
Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?
Kafara la Bagamoyo ni la moto na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho
"Baba, sisi tunataka kuwasha Mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"
Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?
Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani. Sasa hapa ndio penye shida ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa
Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda
Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake
Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi
Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao
Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana
Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega
Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?
Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
HahahahaWamekusudia kutulisha taarifa za uongo kwa expense ya muda wetu.
Mkoa masikini kuliko yote ni Lindi?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Hahahaha
Yaan watu kama nyie ndo mnaotapeliwaa..kama kwa hilo bandiko bado hujalichambua kwa kina bas ww n rahis sana kukutapeli. Pole sana kwa kuwaamnin hawa waongo waongo na kujitaftia umaarufu humu.Ila sijajua hapo mtego wao uko wapi?
Watatumia mechanism gani kukutapeli maana hii mada inahusu mambo ya nchi
Poa kaka nimetulia. Ila angalizo usije kukimbia maswali na kama swali nitakalo kuuloza hulijui bora useme hujui na usitoe udhuru.Kama hujui kitu tulia uulize upate ufahamu wa kukufumbua akili uyafahamu yaliyo ya kiroho
Wewe kama unaogopa kutapeliwa kupitia nyuzi unaonyesha udhaifu wa hali ya juu.Yaan watu kama nyie ndo mnaotapeliwaa..kama kwa hilo bandiko bado hujalichambua kwa kina bas ww n rahis sana kukutapeli. Pole sana kwa kuwaamnin hawa waongo waongo na kujitaftia umaarufu humu.
Asante luchelele mzunguko [emoji1545][emoji1752]yeap na kila mara nasema ya kwamba kuna nguvu za ziada ambazo kuna watu utumia hili kufanikisha jambo fulani.
Wao wana kaa na shetan anawapa maelekezo namna ya kufanya na ambao ufuatisha ndio upata mafanikio na chakuonhezea tu ni kwamba hata biblia inaeleza kabisa kwenye kitabu cha agano jipya kwamba dunia na ulimwengu ni miliki ya shetani [emoji12] na ndio maana uipamba ipendeze kupitia watu wake. na ndio maana MWENYEZI MUNGU akakataza kujisumbua sana kutafuta mali za dunia (miliki ya kishetani) bali tuutafute ufalme wa mbingu (miliki yake)
Hii mada ni funga kazi asante mshana jr.
SijuiPoa kaka nimetulia. Ila angalizo usije kukimbia maswali na kama swali nitakalo kuuloza hulijui bora useme hujui na usitoe udhuru.
Nakuuliza maswali haya :
1. Taifa gani unalolikusudia wewe,mpaka ukafikia hatua ya kukata kabisa ya kuwa hakuna taifa lililo simama nje ya njia hizo ?
2. Unakubali kama mitume walikuwa viongozi na watawala ? Mitume walisimamisha dola bali wapo ambao walikuwa ni wafalme walio watawala majini na watu na viumbe wengine hapa namkusudia Suleyman ?
Nimeanza na hayo mawili kwanza.
ngoja nikusaidieSijui
mataifa yapo mengi. moja wapo ni chinaSijui
Sababu umeandika ukweli ya kuwa hujui japokuwa unadhani ya kuwa unajua.Sijui
Azazel wakati anatupwa duniani kwa kiburi chake kabla hajatua duniani alitamka haya; NAKWENDA KUKALIA AMALI ZOTE ZA DUNIA MADINI YOTE MALI ZOTE NA FAHARI ZOTE ZA DUNIA . haya mamali mi huwa nayaangalia tu lakini ili uzipate kirahisi onana na aliyezikalia kwa ujira wa damu ya nduguyo ili utajirike kupindukia na uwastaajabishe binadamu wenzio,yeap na kila mara nasema ya kwamba kuna nguvu za ziada ambazo kuna watu utumia hili kufanikisha jambo fulani.
Wao wana kaa na shetan anawapa maelekezo namna ya kufanya na ambao ufuatisha ndio upata mafanikio na chakuonhezea tu ni kwamba hata biblia inaeleza kabisa kwenye kitabu cha agano jipya kwamba dunia na ulimwengu ni miliki ya shetani [emoji12] na ndio maana uipamba ipendeze kupitia watu wake. na ndio maana MWENYEZI MUNGU akakataza kujisumbua sana kutafuta mali za dunia (miliki ya kishetani) bali tuutafute ufalme wa mbingu (miliki yake)
Hii mada ni funga kazi asante mshana jr.
Mungu aliumba Dunia akampa shetani aimiliki.yeap na kila mara nasema ya kwamba kuna nguvu za ziada ambazo kuna watu utumia hili kufanikisha jambo fulani.
Wao wana kaa na shetan anawapa maelekezo namna ya kufanya na ambao ufuatisha ndio upata mafanikio na chakuonhezea tu ni kwamba hata biblia inaeleza kabisa kwenye kitabu cha agano jipya kwamba dunia na ulimwengu ni miliki ya shetani [emoji12] na ndio maana uipamba ipendeze kupitia watu wake. na ndio maana MWENYEZI MUNGU akakataza kujisumbua sana kutafuta mali za dunia (miliki ya kishetani) bali tuutafute ufalme wa mbingu (miliki yake)
Hii mada ni funga kazi asante mshana jr.
kuhusu mfalme suleman kwanza kabisa utambue kuna mambo biblia imeyaficha aijayaweka wazi yakupasa msomaji uwe na fikra pana unapoisoma hili uielewe yakuhitaji pia uwe nje ya boksi.Sijui
Kwa yanayotendeka hatuna budi kuamini ni kweli yaliyoandikwa.Sababu umeandika ukweli ya kuwa hujui japokuwa unadhani ya kuwa unajua.
Ukweli unabaki pale pale ya kuwa ulichokiandika katika mada hii kina uongo mwingi kuliko ukweli.
Hii ni changamoto kubwa sana tunayo kutana nayo ya kuwa na watu wengi kujiona wanajua lakini hawajui na hawajui kama wao hawajui. Hawa huwekwa katika kundi la KUPUUZWA.
Labda kwenye mengine sababu hakuna anaye jua kila kitu,ila katika hili la UCHAWI na USHIRIKINA nina jua hakika yake ambayo wewe hujui.
Shukrani sana.
Yeyote anaye sema ya kuwa hakuna Taifa lililo simama nje ya njia alizo zitaja mtoa mada,bila shaka mtoa mada haujui Uchawi wala Ushirikina ni nini. Wewe kama unabisha muulize tu mtoa mada uchawi ni nini na ushirikina ni nini ? Akipatia katika majibu ya maswali haya mimi naacha kuchangia katika hii mada.mataifa yapo mengi. moja wapo ni china
Hivi umeshawahi fika lindi wewe au unaongea tu.Mikoa masikini ni ya kanda ya ziwa has geita na Mwanza
Asili ya uchawi ni pumbazo kulifanya jambo ambalo si halisi lionekane kuwa halisi.Kwa yanayotendeka hatuna budi kuamini ni kweli yaliyoandikwa.
Ni sayansi ya uharibifu katika ulimwengu wa gizaAsili ya uchawi ni pumbazo kulifanya jambo ambalo si halisi lionekane kuwa halisi.
Ukianza kuleta inshu za kidini humu utakua huelewi maana ya hii thread..leo tuaangalia jicho la kiroho hasa matambiko.Hapa bila shaka unamaanisha ushirikina. Kama una maanisha Ushirikina kauli hii si ya kweli bali ina uongo mwingi. Yapo mataifa mengi yamesimama pasi na chembe ya hayo uliyoyasema,bali mengi yalianguka kutokana na hayo uliyo yasema. Mataifa yote ambayo yalikuwa chini ya mitume haua yalisimama pasi na chembe ya kafara wala matambiko bali wala kwa vyama vya mashetani,rejea ufalme wa nabii Suleyman,rejea taifa la Saudia kwa zama zetu hizi,sasa unaposema hivi sijui uliwaza nini ?