Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Afadhari mwendazake alikufa ghafla,alikuwa ana mpango wa kutupiga kafara jipya la Chato
 

Ukweli wa maji kwenye bilauri umepatia kabisa.. Lakini kwenye uhalisia umekosea.. Je una hakika gani kilichomo kwenye bilauli ni maji? Ya nini? Uhalisia ni kwamba kilichomo kwenye bilauri ni kimiminika
Kuangalia na kutazama yana kiasili msingi mmoja lakini hayana maana sawa
Kati ya hayo moja ni ukweli kutazama mwendelezo wake ni mtazamo.. Nyingine ni kuona yaani kuangalia huu ndio uhalisia..
 
Hata yule mtoa Jogoo cikuelewa maana halisi daah sitaweza kupokea mimi zawadi bali wasaidizi wangu maana Lindi simchezo
 
Ukweli wa maji kwenye bilauri umepatia kabisa.. Lakini kwenye uhalisia umekosea.. Je una hakika gani kilichomo kwenye bilauli ni maji? Ya nini?
Mpaka unauanisha mfano wako na kuweka wazi ya kuwa ni maji,tayari kimiminika hicho ni maji. Kutaka tena kujua ya kuwa kimiminika hicho ni maji ni matumizi mabaya ya akili. Hapa umeonyesha udhaifu wako katika kutoa mfano

Lakini laiti kama ungeashiria ya kuwa ndani kuna kimiminika bila kuainisha ni kimiminika gani swali lako la sasa hivi lingekuwa kweli,lakini ukweli ni kinyume chake.

Maana yake ukweli wa maji kwenye bilauri unahusu dhati yake tu,hasa kwa minajili ya kile ulichokiuliza. Sasa usiweke kisichostahiki wakati huko mwanzo ulifunga mlango huo.

Katika elimu ya utafiti na mjadala,wewe umekosa kitu kwenye kutoa mifano,ndiyo maana nilikuwa nakuuliza maswali marahisi huyajibu.
 
Labda nikuulize tafsiri ya dhana kwa muktadha wako
Tamko dhana naliarifisha kwa dhat yake wala si kwa mtazamo wangu. Dhana ni kutokuwa na uhakika,japokuwa kuna dhana za hakika,hizi hutanguliwa na viashiria visivyo kuwa na shaka,dhana hii huenda sambamba na matukio.
 
Kwahiyo unaamini bila kuthibitisha!? Nilitaka tu kukupa mifano ya ukweli na uhalisia naamini umeelewa sasa
 
Tamko dhana naliarifisha kwa dhat yake wala si kwa mtazamo wangu. Dhana ni kutokuwa na uhakika,japokuwa kuna dhana za hakika,hizi hutanguliwa na viashiria visivyo kuwa na shaka,dhana hii huenda sambamba na matukio.
Tafadhali tofautisha kati ya
Dhana msingi
Dhana halisi
Dhana dhanifu
Shana si yabisi kwa maana ya kwamba huwezi kuishika,kuisikia sauti, kuinusa, wala kuihisi
 
Kwahiyo unaamini bila kuthibitisha!? Nilitaka tu kukupa mifano ya ukweli na uhalisia naamini umeelewa sasa
Mifano yako haijakidhi haja ndiyo maana nimekuonyesha udhaifu wa mifano yako.

Pia huenda hata ulicho kiandika hukujua kama kimezuia mengine yasiingie mwisho wa siku ukaikiuka kile ulicho kiweka mwenyewe,yaani tunasema mdomo wako umekudhuru mwenyewe.

Ukweli nimeelewa ndiyo maana nimekukosoa na kuonyesha udhaifu wa ulichokoandika.

Kuamini pasi na uthibitisho kuna mambo mengi hutangulia. Sababu kuna mengi uwepo wake huthibitisha juu ya uwepo wa mengine pasi na kutaka ushahidi husika.
 
Tafadhali tofautisha kati ya
Dhana msingi
Dhana halisi
Dhana dhanifu
Shana si yabisi kwa maana ya kwamba huwezi kuishika,kuisikia sauti, kuinusa, wala kuihisi
Asili ya dhana ni kutokuwa na uhakika. Ni dhana moja pekee inayo hukumu,na hii kiistilahi huitwa "Dhana isiyo na shaka(Dhana Ghaalibu)" dhana hii huwa inatoa hukumu.

Dhana dhanifu huku ni sawa na kujitekenya mwenyewe na kucheka,dhana halisi ndiyo msingi,inategemea kiini.

Kisha jifunze matumizi sahihi ya tamko "Dhana". Sasa mintarafu tabia haiingii katika dhana,hata kwa kile ulichokianisha katika sifa za dhana. Ukweli ni sifa,katika Ukweli tunapata matendo,matendo huonekana,matendo uhisiwa,kadhalika tunampata Mkweli,mtu mwenye sifa ya ukweli. Sijui unatumia nini kufikiri au kuyajadili haya mambo ?
 
mtihani kwa mwanadamu[emoji15] yaani MWNYEZI MUNGU wa huruma.upendo.fadhra na rehema tena mwenye upendo mwingi usio pimika kwa viumbe vyake amuumbe mwanadamu halafu amuumbie na matatizo et shetani kawekwa na mungu kutupa mtihani[emoji12].

Kuna mambo inatakiwa uyajua kwanza mpango wa MUNGU kwa viumbe vyake ni tuishi kwa raha mstarehe na sio matatizo yanayo tukumba ndio mana neno lake linasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa" kusudi la lake maishani mwetu bado ni lile lile tuokolewe na sio yeye kutupa mitihani ndio mana kila mara nasema MUNGU wa kweli nina mashaka kama ni huyu wa kwenye bible na kuroani.

Yaani MUNGU uyu wa israel. wa isack na yakobo.mwenye upendo na huruma kwa viumbe vyake MUNGU muweza wa yote amuumbe binadamu harafu ampe shetani hili awe anamuingiza majaribuni. hivi uwezo wa shetani uoni ni mkubwa sana kiwango sawa na cha malaika wake wenye utashi na uwezo wa hali ya juu hivyo kama amevifanyia hivyo viumbe vyake hasa binadamu ni kuvionea tu. MUNGU awezi kufanya hivyo.

ukisoma biblia na kuchukulia mambo kiwepesi ni kumdhalilisha MUNGU.
 
Aisee mpaka naogopa [emoji15][emoji15][emoji15]
 
mkuu nasikia pia kuna kafara la ziwa tanganyika pia mwitongo, ila nadhani hili la mwitongo ndo la mwenge
Mkuu Kama ufahamu hata kidogo kuhusu la Ziwa Tanganyika toa maelezo kidogo tujue walio shiriki walikuwa wakinani na lengo lake lilikuwa lipi na Lina athari gani kwa taifa na wakazi wa mkoa wa Rukwa,Kigoma na katavi
 
 
SOMA VIZURI HIYO SEHEMU ULIYOANDIKA " Umulike hata nje ya Mipaka yetu" maana yake ndni ya mipaka yetu limezingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…