Si kweli,sababu tabia ipo kabla ya dhana kuwepo.Tabia ni dhana dhanifu kama ilivyo kwa uongo na ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli,sababu tabia ipo kabla ya dhana kuwepo.Tabia ni dhana dhanifu kama ilivyo kwa uongo na ukweli
Napenda sentensi hii ili kuokoa muda na kumfanya awe makini yule ninaye jadiliana naye.
Japokuwa maswali yangu unayakwepa,nakujibu swali lako. Ukweli wa maji kwenye bilauri ndiyo uhalisia wa kuwepo maji hayo ndani ya bilauri.
Kwa muktadha wa ukweli na uhalisia ni yale matokeo yatokanayo na kuona.
Kuangalia na kutazama ni maneno mawili tofauti yenye maana sawa.
Hata yule mtoa Jogoo cikuelewa maana halisi daah sitaweza kupokea mimi zawadi bali wasaidizi wangu maana Lindi simchezoHakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.
Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.
Tanzania ni taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk
Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi
Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?
Kafara la Bagamoyo ni la moto na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho
"Baba, sisi tunataka kuwasha Mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"
Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?
Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani. Sasa hapa ndio penye shida ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa
Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda
Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake
Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi
Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao
Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana
Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega
Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?
Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
Mpaka unauanisha mfano wako na kuweka wazi ya kuwa ni maji,tayari kimiminika hicho ni maji. Kutaka tena kujua ya kuwa kimiminika hicho ni maji ni matumizi mabaya ya akili. Hapa umeonyesha udhaifu wako katika kutoa mfanoUkweli wa maji kwenye bilauri umepatia kabisa.. Lakini kwenye uhalisia umekosea.. Je una hakika gani kilichomo kwenye bilauli ni maji? Ya nini?
Tamko dhana naliarifisha kwa dhat yake wala si kwa mtazamo wangu. Dhana ni kutokuwa na uhakika,japokuwa kuna dhana za hakika,hizi hutanguliwa na viashiria visivyo kuwa na shaka,dhana hii huenda sambamba na matukio.Labda nikuulize tafsiri ya dhana kwa muktadha wako
Kwahiyo unaamini bila kuthibitisha!? Nilitaka tu kukupa mifano ya ukweli na uhalisia naamini umeelewa sasaMpaka unauanisha mfano wako na kuweka wazi ya kuwa ni maji,tayari kimiminika hicho ni maji. Kutaka tena kujua ya kuwa kimiminika hicho ni maji ni matumizi mabaya ya akili. Hapa umeonyesha udhaifu wako katika kutoa mfano
Lakini laiti kama ungeashiria ya kuwa ndani kuna kimiminika bila kuainisha ni kimiminika gani swali lako la sasa hivi lingekuwa kweli,lakini ukweli ni kinyume chake.
Maana yake ukweli wa maji kwenye bilauri unahusu dhati yake tu,hasa kwa minajili ya kile ulichokiuliza. Sasa usiweke kisichostahiki wakati huko mwanzo ulifunga mlango huo.
Katika elimu ya utafiti na mjadala,wewe umekosa kitu kwenye kutoa mifano,ndiyo maana nilikuwa nakuuliza maswali marahisi huyajibu.
Tafadhali tofautisha kati yaTamko dhana naliarifisha kwa dhat yake wala si kwa mtazamo wangu. Dhana ni kutokuwa na uhakika,japokuwa kuna dhana za hakika,hizi hutanguliwa na viashiria visivyo kuwa na shaka,dhana hii huenda sambamba na matukio.
Mifano yako haijakidhi haja ndiyo maana nimekuonyesha udhaifu wa mifano yako.Kwahiyo unaamini bila kuthibitisha!? Nilitaka tu kukupa mifano ya ukweli na uhalisia naamini umeelewa sasa
Asili ya dhana ni kutokuwa na uhakika. Ni dhana moja pekee inayo hukumu,na hii kiistilahi huitwa "Dhana isiyo na shaka(Dhana Ghaalibu)" dhana hii huwa inatoa hukumu.Tafadhali tofautisha kati ya
Dhana msingi
Dhana halisi
Dhana dhanifu
Shana si yabisi kwa maana ya kwamba huwezi kuishika,kuisikia sauti, kuinusa, wala kuihisi
mtihani kwa mwanadamu[emoji15] yaani MWNYEZI MUNGU wa huruma.upendo.fadhra na rehema tena mwenye upendo mwingi usio pimika kwa viumbe vyake amuumbe mwanadamu halafu amuumbie na matatizo et shetani kawekwa na mungu kutupa mtihani[emoji12].umechanganya mafaili mkuu, dunia na vilivyomo na huyo shetani mwenyewe unaemsema vyote ni milki ya mwenyezi mungu muumba wa vyote bali amefanya huyo shetani awe mtihani kwa wanadamu tu...na si mshirika wake katika umiliki take it from me huyo shetani hamiliki hata ubawa wa nzi hapa duniani, kinachosemwa ni maisha ya dunia ni ya kupita na ya aakhirah ndio yenye kubakia..
Aisee mpaka naogopa [emoji15][emoji15][emoji15]Lilifanywa na Nyerere pamoja na karume na kuna makubaliano ya kwenda kufanya renewal ya makubaliano yao kila inapoingia awamu mpya ya uongozi. Wanapeleka ajenda wanazotaka na wao kupewa masharti ama matakwa na wahusika wa ulimwengu huo mwingine. Kiongozi wa hayo matambiko huwa anatakiwa kuwa binti bikra wa umri usiozidi miaka 16.
Unakumbuka ajali ya MV spice islander ya September 2011? Ile ilikuwa moja ya demand za makubaliano yao 2010.
Kuna mzee mmoja nilikutana nae Morogoro 2014 alikuwa anaandaa kitabu kabisa cha matambiko yote makubwa yaliyofanyika nchini; kusini, Dodoma na Zanzibar. Too bad sijui aliishia wapi, sikupata kumsikia tena. Nchi ilikabidhiwa kwa shetani, Mungu aturehemu tu aisee.
Mkuu Kama ufahamu hata kidogo kuhusu la Ziwa Tanganyika toa maelezo kidogo tujue walio shiriki walikuwa wakinani na lengo lake lilikuwa lipi na Lina athari gani kwa taifa na wakazi wa mkoa wa Rukwa,Kigoma na katavimkuu nasikia pia kuna kafara la ziwa tanganyika pia mwitongo, ila nadhani hili la mwitongo ndo la mwenge
Linajulikana kama nilivyojaribu kulielezea tena Hadi eneo la hicho kijiji ila as hatujashiriki hatujui undani sana.
Hilo eneo linatakiwa linunuliwe lote ili Hao wachawi wasiende kuongezea nguvu za kuinyonga nchi zaidi .Ni kipande kidogo kimeshanunuliwa inahitajika linunuliwe lote then pajengwe kitu kizuri kuua uchawi huo .Tatizo watu hawatoi pesa za kununua wengi washirikina na wanaishi Kwa ushetani.Ni high time tuokoe nchi yetu hata kujua hizi Siri ni mwanzo wa safari ndefu kwani zimefichwa mno hizi habari na
SOMA VIZURI HIYO SEHEMU ULIYOANDIKA " Umulike hata nje ya Mipaka yetu" maana yake ndni ya mipaka yetu limezingatiwa.Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.
Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.
Tanzania ni taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk
Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi
Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?
Kafara la Bagamoyo ni la moto na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho
"Baba, sisi tunataka kuwasha Mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"
Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?
Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani. Sasa hapa ndio penye shida ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa
Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda
Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake
Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi
Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao
Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana
Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega
Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?
Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!