Dive
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 895
- 1,489
Kweli angalia wote Rashid Mfaume Kawawa,Joseph Sinde Warioba, Edward Moringe Sokoine,David Cleopa Msuya,John Malechela,Salim Ahmed Salim,Edward Ngoyai Lowasa,Mizengo Peter Pinda Hadi Majaliwa Kassim Majaliwa. Hawa hawakuwahi hata huyu wa sasa yaani ni mwiko wale jamaa walishafunga hiki kitu.Chama cha kichawi kilimpelekesha JK Nyerere mno na mawaziri wakuu walipigwa pini kuwa Marais au umeona Waziri mkuu Alishinda urais?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2984][emoji2827][emoji2827]