Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Chama cha kichawi kilimpelekesha JK Nyerere mno na mawaziri wakuu walipigwa pini kuwa Marais au umeona Waziri mkuu Alishinda urais?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2984][emoji2827][emoji2827]
Kweli angalia wote Rashid Mfaume Kawawa,Joseph Sinde Warioba, Edward Moringe Sokoine,David Cleopa Msuya,John Malechela,Salim Ahmed Salim,Edward Ngoyai Lowasa,Mizengo Peter Pinda Hadi Majaliwa Kassim Majaliwa. Hawa hawakuwahi hata huyu wa sasa yaani ni mwiko wale jamaa walishafunga hiki kitu.
 
Kweli angalia wote Rashid Mfaume Kawawa,Joseph Sinde Warioba, Edward Moringe Sokoine,David Cleopa Msuya,John Malechela,Salim Ahmed Salim,Edward Ngoyai Lowasa,Mizengo Peter Pinda Hadi Majaliwa Kassim Majaliwa. Hawa hawakuwahi hata huyu wa sasa yaani ni mwiko wale jamaa walishafunga hiki kitu.
Yeah ni ukweli mtupu na hii pini kwa vyovyote aliipiga mchonga mwenyewe na kafara la Lindi hapa linahusika parcee[emoji848][emoji2827][emoji2984]
 
Naomba kama kuna anaejua, zindiko la moshi wakati Baba Mtakatifu anavyochaguliwa.
Hapo ni wale makadinali Roma Italian huko wanapojifungia kumpata Papa mpya yeyote kwenye conclave.Kura zinapigwa kwa makaratasi na aliyeshinda wanachoma moto zile kura huku wakiangalia moshi unavyoelekea hapo inawasaidia kujua nani mshindi .Hivyo tu.
 
Hapa pazito... Hakuna namna ya kuliangamiza hilo zindiko ili tuanze upya? Wananchi tuna teseka jamani na makosa ya wachache
Jitihada nyingi zinafanyika za maombi ya kukomboa Taifa ,tukumbuke hawakufanya mazindiko ya taifa Bure Bure Kuna kafara kubwa zilifanywa.Hivyo ili kuliokoa Taifa inabidi sadaka zitolewe pia na rehema ya Mungu itufunike.

Ukisikia zindiko la Taifa sio kitu kidogo ndiyo maana nchi inapigwa tu viongozi wanaisafisha wakishirikiana na cabals zao wananchi tunabaki mazuzu. Hakuna kufurukuta ni laana juu ya laana. Hapo mzee ni kiroho zaidi kupambana na hizo super natural powers.Jitihada zipo ila waongezeke watu na maelekezo ya Mungu yafuatwe.
 
La Lindi umeambiwa halijulikani
Linajulikana kama nilivyojaribu kulielezea tena Hadi eneo la hicho kijiji ila as hatujashiriki hatujui undani sana.

Hilo eneo linatakiwa linunuliwe lote ili Hao wachawi wasiende kuongezea nguvu za kuinyonga nchi zaidi .Ni kipande kidogo kimeshanunuliwa inahitajika linunuliwe lote then pajengwe kitu kizuri kuua uchawi huo .Tatizo watu hawatoi pesa za kununua wengi washirikina na wanaishi Kwa ushetani.Ni high time tuokoe nchi yetu hata kujua hizi Siri ni mwanzo wa safari ndefu kwani zimefichwa mno hizi habari na wahusika wanakufa Kila siku.
 
Hapo ni wale makadinali Roma Italian huko wanapojifungia kumpata Papa mpya yeyote kwenye conclave.Kura zinapigwa kwa makaratasi na aliyeshinda wanachoma moto zile kura huku wakiangalia moshi unavyoelekea hapo inawasaidia kujua nani mshindi .Hivyo tu.
Hii ndio ile ya moshi mweupe Dive ?
 
Back
Top Bottom