Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Mkuu wa anga ni aina za majini au fallen angels wanaozuia maombi yetu yasimfikie Mungu. Ni jini mkubwa na wenzie (wakuu wa anga). Kumbuka Lusifa ana wenzie 6 Malaika waasi na wao na wengine ni theluthi (moja ya tatu) ya Malaika na walipoasi walishushwa chini ni matrilioni ya viumbe vya kiroho vinavyotutesa.
Nitataja Hao 6 na baadae ila tukumbuke ulimwengu wa roho una madaraja 7 nayo ni physical realm (ulimwengu wa nyama) huu wa kibinadamu ,pili ni spiritual huko ndiko mizimu ,wachawi ,misukule,majini wa kati ,vibwengo n.k. yaani tofauti na WA nyama ,tatu ni Luciferian hawa ni majini wakubwa ambao wanaitawala dunia na watu wakubwa duniani wakipata ukuu wa spiritual realm wanaenda huku ili wawe wakuu kidunia kama vile tajiri wa dunia, kucontrol teknolojia na Sayansi za dunia,magonjwa na tiba kidunia,nne ni Fallen Angels realm yaani Lucifer na kaka zake 5 na dada Yao mmoja hawa ndiyo wameleta dini za uongo zote kuanzia uhindu, budha,tao,Shinto,Mashahidi wa Yehova na zingine pia wasioamini Mungunitaongelea siku ingine na maovu yote .Tano ni Angels realm, SITA ni Prophets and seers realm yaani manabii na waonaji Mungu huwaonyesha hawa vingi vinavyotokea .Daraja la 7 la Mungu ni la juu huko Mungu ana wenye uhai wanne na Wazee 24 yaani 12 wa zamani enzi za agano la kale na 12 wale wanafunzi wa Yesu ila Yuda Iskarioti hayumo.
Una madini mkuu, tuelimishane jamani
 
Unajichanganya Kwa kuwa hatuushabikii ila tunasema Kuna vyama vya Siri na watu wao wameleta laana Kwa nchi kabla ya uhuru na 1990 .

Haya mazindiko ya nchi sio Tanzania tu Bali nchi zote duniani ziliyafanya hata hao super power Marekani.Tunachongea ni kuwa hayo mazindiko yameparalse nchi tuna Kila rasilimali ila tunakuwa masikini na wanyonge tu.Tunatafuta way forward .Kuhusu Diamond ni Kweli Kijana anatumia nguvu hizo na ana nyota ya mtu mmoja na mentor wake ni mzee mmoja mkubwa sana kwenye hizo kazi ana degree nyingi alimuinitiate.
Namwaga mboga, kama sikosei anapepea na nyota ya mwamba Steven Kanumba.
 
Kafara la Lindi mtafute mtu anaitwa Omari Mnyeshani amezungumzia vizuri na amehusika moja kwa moja
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1752]
 
Huyu anataka ulimwengu wa Siri tumuwekee hapa sio wote ni wanaochaguliwa tu .Ukifanya utafiti utajua sio mpaka Mimi au Mshana Jr akuoneshe kuwa ni waleee
Mkuu umeyajuaje haya yote embu Nifundishe
 
Sasa najiuliza why wamuondoe huyu mkuu wa nchi?au inawezekana huyu alikua kinyume na mambo yao?pengine mzee ndo alikua anatupeleka on the right track?au aliwakwaza wapi?
Hapana aliharibu alipolidharau kafara la kukimbiza moto...Ule moshi wa Ruangwa ndio ilikuwa alama ya onyo na karipio
 
I think hata viongozi wetu huanza vizuri ila ikifikia mahali hubadilika na kufungwa ufahamu wa kutenda mambo
Hili jambo lipo spiritual na linaathiri kuanzia ardhi,mimea,wanyama, resources aina zote Hadi viongozi.

Angàlia nchi zingine wanakotokea hadi nchi zao zinapofika Rwanda,South Korea,Angola, Singapore,Japan Kwa uchache na sio kwamba wao wanamcha Mungu wa Kweli

Jambo likifanyika rohoni linamaliza kabisa huku ulimwengu mwili.

Tanzania mkombozi wa Afrika eti ni ovyo , masikini,uongozi usio na dira. Eti Nyerere aliingiza nchi vita vya Kagera na ujamaa ambao China ,Urusi ,Ujerumani Mashariki na wengine wamebadilika vizuri.

Eti akaja Mwinyi akauza Loliondo na madudu mengine.KATABALO yakamkuta.......Akaja Mkapa akaleta Network Solutions ya SA ,akauza NBC kiajabu na program yake ya kuiondoa serikali kwenye biashara,akaiba mno mfano Radar,Meremeta na ishu za akina. Daudi Balali.Akanunua hotel South Afrika ANBEN mgodi wa makaa ya mawe.Sethy Chachage akaandika MAKUWADI WA SOKO HURIA ..........

Akaja JK naye akaiba mno Tegeta ESCROW account,Kagoda Agriculture,Twin Towers za BOT,RICHMOND na zingine ambazo nikipata muda nitakumbushia.Pia mihadarati ikashamiri mno.Kutokuwajibika ,Rais kuwa VAsco Da Gama anasafiri duniani kuliko kukaa nchini tena na delegates zinazofilisi nchi kwa gharama kupitia kodi za wavuja jasho. Kina KUBENEA,DR. ULIMBOKA na Mhariri wa TANZANIA DAIMA .........

Tukumbuke Rais ni Sponsor anapokea briefings zote hakuna kitu kibaya kinafanyika hajapewa intelli sema yeye akaamua tu kuwa anajinufaisha na ukoo wake na washkaji na tabaka la watawala kwenye chama chake.Ukielewa haya utajua jinsi laana zenyewe zilivyo

Akaja jiwe yeye akaua sekta binafsi,akazuia Ajira majamaa wamerundikana mitaani kwani wakiomba kuajiri haruhusu na akruhusu ni wawili watatu tu Hadi wanajilamu kusoma na kuzuia kupanda madaraja makazini na mishahara,tenda zote zikabakia kwenye makampuni ya serikali,akaua Precision Air,Fast Jet kutengeneza monopoly ya Air Tanzania wakati ushindani huboresha biashara.Akateua watu hao daah,akajikompramandi Kwa PK Mtu mrefu .Akazuia mikutano na Harakati za vyama vya siasa , wananchi hawajui hata nchi inaenda vipi na wapo kwenye umasikini na kukaa gizani kifikra Hadi kwenye nyumba zao.Mahoteli yakafa,makampuni ya utalii na ulinzi binafsi yakajifia


Akaweka ndugu jamaa na marafiki Hadi mabibi ,cabal yake ikafurahia mno kuliko Taifa.Akaanza kucrack down vyombo vya habari,AZISE,hapa kulitungwa sheria za ajabu kwa dharura za vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii kama JF,vyama vya siasa.
Akina CAG wakaondolewa,sheria za NSSF na mashirika mengine zikabadlishwa na kutengeneza monopoly,bodi ya mikopo ikaweka madaraja mengi,

Akajaza mitambo na Ajira za vyombo vya Dola kujilinda sio PCCCB,Kitengo ,na kwingine.Akaenda kwenye chama akabadili katiba.Akawabana watoa mawazo na maoni mbadala,ikawa ni usifiaji tu hatukui Kwa kusifiwa tu yaani his ego was so BIIG.Akaanza kuwanunua wapinzani na kuwapa nafasi za juu serikalini

Wakaanza kubeep kuw atawale milele akawa kama anakataa kumbe.Ukaja uchaguzi mkuu wakaurig mno wakaweka bunge lisilo na mawazo mbadala 'Wapinzani wametucherewesha sana ' Walizima Hadi mitandao.Eti Kuna wabunge19 viti maalum ambao wengine walishinda wakaombwa waachie tu watapitishwa mlango wa nyuma.

Lengo lililojificha ilikuwa kutawala maisha ila bahati mbaya mambo yakaenda sio.Yaani nchi inapitia dhoruba zisizoisha

Sasa wananchi waliosoma na kuandaliwa tangu uhuru leo ni kama mayatima,humjui mtu hupati stahiki yako,Wala Ajira ni mwendo wa connection,ukifungua biashara TRA na wengineo wanakumaliza mapema ni tozo na sheria za ajabu.

Wawekezaji wanajuta,wapya hawathubutu kusogeza pua,hofu imejaa

Walioumia ni Azory Gwanda,Roma Mkatoliki,Abdul Nondo,Ben Rabiu Saa nane, Tundu Lisu,Freeman Mbowe,Peter Msigwa,Godbless Lema,.......

Nchi Haina dira kuu, malengo ,sera mbovu zinabadilika akiingia mtawala mpya yaani sio sera zinaongoza ni utashi w mtu.Rushwa zimetawala,hakuna haki,ubabe yaani laana za mazindiko kutokea rohoni kuja kuku physical realm

HII NCHI INATAKIWA IPONE KWANI MBELE NI GIZA ZAIDI HAYA MATAMBIKO DUUH
 
Nyerere naye alikuwa failure, hana exception.
Nchi aliikuta ina unafuu ameiacha hohe hahe, mambo ya katiba yake ya Imperial President (Rais mwenye hadhi ya kifalme kama Malkia wa Uingereza au kwingine) anacontroll Kila kitu na hakusimamia ibadilike,kuua upinzani kikabakia chama kimoja ,vita ya Kagera kumsupport Obote, kuwapigia kampeni akina Ben wakaja kumlet down

Wananchi tunabakia na akili za kushikiwa ukinyanyua mdomo mabwe pande inakukuhusu eti wasiojulikama.Matambiko haya yanatumaliza
 
Hili jambo lipo spiritual na linaathiri kuanzia ardhi,mimea,wanyama, resources aina zote Hadi viongozi.

Angàlia nchi zingine wanakotokea hadi nchi zao zinapofika Rwanda,South Korea,Angola, Singapore,Japan Kwa uchache na sio kwamba wao wanamcha Mungu wa Kweli

Jambo likifanyika rohoni linamaliza kabisa huku ulimwengu mwili.

Tanzania mkombozi wa Afrika eti ni ovyo , masikini,uongozi usio na dira. Eti Nyerere aliingiza nchi vita vya Kagera na ujamaa ambao China ,Urusi ,Ujerumani Mashariki na wengine wamebadilika vizuri.

Eti akaja Mwinyi akauza Loliondo na madudu mengine.Akaja Mkapa akaleta Network Solutions ya SA ,akauza NBC kiajabu na program yake ya kuiondoa serikali kwenye biashara,akaiba mno mfano Radar,Meremeta na ishu za akina. Daudi Balali.Akanunua hotel South Afrika ANBEN mgodi wa makaa ya mawe.Sethy Chachage akaandika MAKUWADI WA SOKO HURIA ..........

Akaja JK naye akaiba mno Tegeta ESCROW account,Kagoda Agriculture,Twin Towers za BOT,RICHMOND na zingine ambazo nikipata muda nitakumbushia.Pia mihadarati ikashamiri mno.Kutokuwajibika ,Rais kuwa VAsco Da Gama anasafiri duniani kuliko kukaa nchini tena na delegates zinazofilisi nchi kwa gharama kupitia kodi za wavuja jasho. Kina KUBENEA,DR. ULIMBOKA na Mhariri wa TANZANIA DAIMA .........

Tukumbuke Rais ni Sponsor anapokea briefings zote hakuna kitu kibaya kinafanyika hajapewa intelli sema yeye akaamua tu kuwa anajinufaisha na ukoo wake na washkaji na tabaka la watawala kwenye chama chake.Ukielewa haya utajua jinsi laana zenyewe zilivyo

Akaja jiwe yeye akaua sekta binafsi,akazuia Ajira majamaa wamerundikana mitaani kwani wakiomba kuajiri haruhusu na akruhusu ni wawili watatu tu Hadi wanajilamu kusoma na kuzuia kupanda madaraja makazini na mishahara,tenda zote zikabakia kwenye makampuni ya serikali,akaua Precision Air,Fast Jet kutengeneza monopoly ya Air Tanzania wakati ushindani huboresha biashara.Akateua watu hao daah,akajikompramandi Kwa PK Mtu mrefu .Akazuia mikutano na Harakati za vyama vya siasa , wananchi hawajui hata nchi inaenda vipi na wapo kwenye umasikini na kukaa gizani kifikra Hadi kwenye nyumba zao.Mahoteli yakafa,makampuni ya utalii na ulinzi binafsi yakajifia


Akaweka ndugu jamaa na marafiki Hadi mabibi ,cabal yake ikafurahia mno kuliko Taifa.Akaanza kucrack down vyombo vya habari,AZISE,hapa kulitungwa sheria za ajabu kwa dharura za vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii kama JF,vyama vya siasa.
Akina CAG wakaondolewa,sheria za NSSF na mashirika mengine zikabadlishwa na kutengeneza monopoly,bodi ya mikopo ikaweka madaraja mengi,

Akajaza mitambo na Ajira za vyombo vya Dola kujilinda sio PCCCB,Kitengo ,na kwingine.Akaenda kwenye chama akabadili katiba.Akawabana watoa mawazo na maoni mbadala,ikawa ni usifiaji tu hatukui Kwa kusifiwa tu yaani his ego was so BIIG.Akaanza kuwanunua wapinzani na kuwapa nafasi za juu serikalini

Wakaanza kubeep kuw atawale milele akawa kama anakataa kumbe.Ukaja uchaguzi mkuu wakaurig mno wakaweka bunge lisilo na mawazo mbadala 'Wapinzani wametucherewesha sana ' Walizima Hadi mitandao.Eti Kuna wabunge19 viti maalum ambao wengine walishinda wakaombwa waachie tu watapitishwa mlango wa nyuma.

Lengo lililojificha ilikuwa kutawala maisha ila bahati mbaya mambo yakaenda sio.Yaani nchi inapitia dhoruba zisizoisha

Sasa wananchi waliosoma na kuandaliwa tangu uhuru leo ni kama mayatima,humjui mtu hupati stahiki yako,Wala Ajira ni mwendo wa connection,ukifungua biashara TRA na wengineo wanakumaliza mapema ni tozo na sheria za ajabu.

Wawekezaji wanajuta,wapya hawathubutu kusogeza pua,hofu imejaa

Walioumia ni Azory Gwanda,Roma Mkatoliki,Abdul Nondo,Ben Rabiu Saa nane, Tundu Lisu,Freeman Mbowe,Peter Msigwa,Godbless Lema,.......

Nchi Haina dira kuu, malengo ,sera mbovu zinabadilika akiingia mtawala mpya yaani sio sera zinaongoza ni utashi w mtu.Rushwa zimetawala,hakuna haki,ubabe yaani laana za mazindiko kutokea rohoni kuja kuku physical realm

HII NCHI INATAKIWA IPONE KWANI MBELE NI GIZA ZAIDI HAYA MATAMBIKO DUUH
Wee mjamaa [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752]una kitu cha ziada kutuzidi wengi sana..hasa kumbukumbu na mtiririko wake.. Umechambua kwa takwimu na kwa mtiririko mzuri mno.... Hakika JF ina vipawa na bongo zilizobeba madini adhimu
 
Hili jambo lipo spiritual na linaathiri kuanzia ardhi,mimea,wanyama, resources aina zote Hadi viongozi.

Angàlia nchi zingine wanakotokea hadi nchi zao zinapofika Rwanda,South Korea,Angola, Singapore,Japan Kwa uchache na sio kwamba wao wanamcha Mungu wa Kweli

Jambo likifanyika rohoni linamaliza kabisa huku ulimwengu mwili.

Tanzania mkombozi wa Afrika eti ni ovyo , masikini,uongozi usio na dira. Eti Nyerere aliingiza nchi vita vya Kagera na ujamaa ambao China ,Urusi ,Ujerumani Mashariki na wengine wamebadilika vizuri.

Eti akaja Mwinyi akauza Loliondo na madudu mengine.Akaja Mkapa akaleta Network Solutions ya SA ,akauza NBC kiajabu na program yake ya kuiondoa serikali kwenye biashara,akaiba mno mfano Radar,Meremeta na ishu za akina. Daudi Balali.Akanunua hotel South Afrika ANBEN mgodi wa makaa ya mawe.Sethy Chachage akaandika MAKUWADI WA SOKO HURIA ..........

Akaja JK naye akaiba mno Tegeta ESCROW account,Kagoda Agriculture,Twin Towers za BOT,RICHMOND na zingine ambazo nikipata muda nitakumbushia.Pia mihadarati ikashamiri mno.Kutokuwajibika ,Rais kuwa VAsco Da Gama anasafiri duniani kuliko kukaa nchini tena na delegates zinazofilisi nchi kwa gharama kupitia kodi za wavuja jasho. Kina KUBENEA,DR. ULIMBOKA na Mhariri wa TANZANIA DAIMA .........

Tukumbuke Rais ni Sponsor anapokea briefings zote hakuna kitu kibaya kinafanyika hajapewa intelli sema yeye akaamua tu kuwa anajinufaisha na ukoo wake na washkaji na tabaka la watawala kwenye chama chake.Ukielewa haya utajua jinsi laana zenyewe zilivyo

Akaja jiwe yeye akaua sekta binafsi,akazuia Ajira majamaa wamerundikana mitaani kwani wakiomba kuajiri haruhusu na akruhusu ni wawili watatu tu Hadi wanajilamu kusoma na kuzuia kupanda madaraja makazini na mishahara,tenda zote zikabakia kwenye makampuni ya serikali,akaua Precision Air,Fast Jet kutengeneza monopoly ya Air Tanzania wakati ushindani huboresha biashara.Akateua watu hao daah,akajikompramandi Kwa PK Mtu mrefu .Akazuia mikutano na Harakati za vyama vya siasa , wananchi hawajui hata nchi inaenda vipi na wapo kwenye umasikini na kukaa gizani kifikra Hadi kwenye nyumba zao.Mahoteli yakafa,makampuni ya utalii na ulinzi binafsi yakajifia


Akaweka ndugu jamaa na marafiki Hadi mabibi ,cabal yake ikafurahia mno kuliko Taifa.Akaanza kucrack down vyombo vya habari,AZISE,hapa kulitungwa sheria za ajabu kwa dharura za vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii kama JF,vyama vya siasa.
Akina CAG wakaondolewa,sheria za NSSF na mashirika mengine zikabadlishwa na kutengeneza monopoly,bodi ya mikopo ikaweka madaraja mengi,

Akajaza mitambo na Ajira za vyombo vya Dola kujilinda sio PCCCB,Kitengo ,na kwingine.Akaenda kwenye chama akabadili katiba.Akawabana watoa mawazo na maoni mbadala,ikawa ni usifiaji tu hatukui Kwa kusifiwa tu yaani his ego was so BIIG.Akaanza kuwanunua wapinzani na kuwapa nafasi za juu serikalini

Wakaanza kubeep kuw atawale milele akawa kama anakataa kumbe.Ukaja uchaguzi mkuu wakaurig mno wakaweka bunge lisilo na mawazo mbadala 'Wapinzani wametucherewesha sana ' Walizima Hadi mitandao.Eti Kuna wabunge19 viti maalum ambao wengine walishinda wakaombwa waachie tu watapitishwa mlango wa nyuma.

Lengo lililojificha ilikuwa kutawala maisha ila bahati mbaya mambo yakaenda sio.Yaani nchi inapitia dhoruba zisizoisha

Sasa wananchi waliosoma na kuandaliwa tangu uhuru leo ni kama mayatima,humjui mtu hupati stahiki yako,Wala Ajira ni mwendo wa connection,ukifungua biashara TRA na wengineo wanakumaliza mapema ni tozo na sheria za ajabu.

Wawekezaji wanajuta,wapya hawathubutu kusogeza pua,hofu imejaa

Walioumia ni Azory Gwanda,Roma Mkatoliki,Abdul Nondo,Ben Rabiu Saa nane, Tundu Lisu,Freeman Mbowe,Peter Msigwa,Godbless Lema,.......

Nchi Haina dira kuu, malengo ,sera mbovu zinabadilika akiingia mtawala mpya yaani sio sera zinaongoza ni utashi w mtu.Rushwa zimetawala,hakuna haki,ubabe yaani laana za mazindiko kutokea rohoni kuja kuku physical realm

HII NCHI INATAKIWA IPONE KWANI MBELE NI GIZA ZAIDI HAYA MATAMBIKO DUUH
Nchi Haina dira kuu, malengo ,sera mbovu zinabadilika akiingia mtawala mpya yaani sio sera zinaongoza ni utashi w mtu.Rushwa zimetawala,hakuna haki,ubabe yaani laana za mazindiko kutokea rohoni kuja kuku physical realm

HII NCHI INATAKIWA IPONE KWANI MBELE NI GIZA ZAIDI HAYA MATAMBIKO DUUH
 
Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.

Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.

Tanzania nj taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk

Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana.. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana.. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi

Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?

Kafara la Bagamoyo ni la moto..na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho

"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?

Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani...sasa hapa ndio penye shida...ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa

Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda

Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake
Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi
Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao

Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana

Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega

Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?
Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
hakika hapa kuna jambo la kufikirisha kabisa sio bure kuna namna tulikosea huko nyuma.
 
dhumuni ya zindiko hili ilikua ni nin,yan kwa mfano kitu gani kisitupate? kutawaliwa tena? kuwa nchi yenye neema kwa wengi? au utawala wa chama tawala usianguke?
Walichagua Tabora wachawi wake wakajitetea zindiko hilo litahusisha majini mengi na huko Tabora hakuna maji mengi.Tanga wakagoma wakasema mazindiko mengi makubwa yalifanyikia kwao ikabakia Lindi wapo karibu na bahari na madhara yake ni mkoa kuwa masikini kuliko na wananchi zindiko lilipofanyika kuwa na akili au uelewa mdogo.

Walizindika Kwa kutumia shimo kubwa linalozunguka na majini mengi mnooo na waliweka aina na species zote za mazao,mimea,wanyama, binadamu ,madini ,samaki bila kusahau yaani kila kitu.Hata mzee wao mchawi mkuu aliyeshiriki zindiko kuu la nchi la kwanza la Bagamoyo mzee Mfaume Golo Tumbo alifariki
Credit kwake Dive[/USER
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom