Lengo lilikuwa nchi itawalike kirahisi, uongo wa shetani eti nchi ingestawidhumuni ya zindiko hili ilikua ni nin,yan kwa mfano kitu gani kisitupate? kutawaliwa tena? kuwa nchi yenye neema kwa wengi? au utawala wa chama tawala usianguke?
La Zanzibar vepe?La Lindi hujalidadafua mkuu tulijue kidogo
Huu ni uongo mkubwa kabisa. Kwani Mwendazake alijaribiwa kichawi Luangwa pekee yake?, halafu mbona sababu za kifo chake hazihusiani na kishirikina?Lile lilikuwa ni onyo..kama ni kwenye kabumbu ni yellow card
ULITAKA LOWASSA AWE RAIS KUPITIA CHADEMA? . AU.. SI MPAKA APITISHWE NA KAMATI KUU PAMOJA NA MKUTANO MKUU WA TAIFA CCM. KAMA HAJAPITISHWA JINA LAKE ATAWEZAJE KUGOMBEAChama cha kichawi kilimpelekesha JK Nyerere mno na mawaziri wakuu walipigwa pini kuwa Marais au umeona Waziri mkuu Alishinda urais?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2984][emoji2827][emoji2827]
Kwahiyo mkuu ukiwa mtu wa maombi kupenya kwenye uongozi ni ngumu au unaweza?mana haya matambiko si yatakua yanataka watu wa dizaini fulanifulaniNchi aliikuta ina unafuu ameiacha hohe hahe, mambo ya katiba yake ya Imperial President (Rais mwenye hadhi ya kifalme kama Malkia wa Uingereza au kwingine) anacontroll Kila kitu na hakusimamia ibadilike,kuua upinzani kikabakia chama kimoja ,vita ya Kagera kumsupport Obote, kuwapigia kampeni akina Ben wakaja kumlet down
Wananchi tunabakia na akili za kushikiwa ukinyanyua mdomo mabwe pande inakukuhusu eti wasiojulikama.Matambiko haya yanatumaliza
kwa hiyo pia 1990 JK NYERERE pia alihusika kama mlivyodai Bagamoyo. Mbona hiyo ni ngonjera sasaMoshi huo kitu kidogo Mshana Jr anazungumzia wachawi wote wa nchi walivyozunguka nchi yote na kwenda Lindi vijijini ambapo MOHAMMED ABOUBAKAR LUSINDAMBA alienda kikao Cha wachawi Cha kidunia Cha Abu Dhabi akaja na maazimio ya zindiko hilo la pili la Lindi la 1990.
Vp kuhusu bungeni nasikia kuna zindiko moja kubwa lilifanywa pale wanapowekea lile chuma kwa mbwembwe ili waliomo ufahamu uwatokeLengo lilikuwa nchi itawalike kirahisi, uongo wa shetani eti nchi ingestawi
Kuna uwezekano mkubwa mazingira ya kifo chake yalitengenezwa siku hiyoKile kipapai ni cha level za juu sana....halafu wahusika wako kimya mpaka wa leo[emoji2984][emoji848][emoji2827]
Kusitisha mbio za mwenge mwaka jana kuna husika pia.Rejea maagano ya shetani na ccm kwenye zindiko la mapangoni bagamoyo.Kuna uwezekano mkubwa mazingira ya kifo chake yalitengenezwa siku hiyo
Kwenu ndipo masikini kuliko pote nchini na ndipo penye watu wenye low IQ kuliko wote nchini japo kuna utajiri wa raslimali tele,chanzo ni kafara la kuitambikia nchi 1992.Kwetu mnapasingizia
nyerere ndo katufanya tufike hapa tulipobNyerere naye alikuwa failure, hana exception.
Nchi zote duniani zilizofuata socialism ni makatili wa kutupwa, eg china [emoji630] russia [emoji635] czech, Bulgaria [emoji1058],Nchi za kijamaa kwa ujumla wake naona zina shida. Mtu akiishakuwa kiongozi anaona wengine woote hamnazo. viongozi wote ni wakatili. Imagine mtu anawaambia mhamie Burundi
Imagine mtu hataki kusikiliza wananchi wake