Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Chama cha kichawi kilimpelekesha JK Nyerere mno na mawaziri wakuu walipigwa pini kuwa Marais au umeona Waziri mkuu Alishinda urais?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2984][emoji2827][emoji2827]
ULITAKA LOWASSA AWE RAIS KUPITIA CHADEMA? . AU.. SI MPAKA APITISHWE NA KAMATI KUU PAMOJA NA MKUTANO MKUU WA TAIFA CCM. KAMA HAJAPITISHWA JINA LAKE ATAWEZAJE KUGOMBEA
 
Nchi aliikuta ina unafuu ameiacha hohe hahe, mambo ya katiba yake ya Imperial President (Rais mwenye hadhi ya kifalme kama Malkia wa Uingereza au kwingine) anacontroll Kila kitu na hakusimamia ibadilike,kuua upinzani kikabakia chama kimoja ,vita ya Kagera kumsupport Obote, kuwapigia kampeni akina Ben wakaja kumlet down

Wananchi tunabakia na akili za kushikiwa ukinyanyua mdomo mabwe pande inakukuhusu eti wasiojulikama.Matambiko haya yanatumaliza
Kwahiyo mkuu ukiwa mtu wa maombi kupenya kwenye uongozi ni ngumu au unaweza?mana haya matambiko si yatakua yanataka watu wa dizaini fulanifulani
 
Moshi huo kitu kidogo Mshana Jr anazungumzia wachawi wote wa nchi walivyozunguka nchi yote na kwenda Lindi vijijini ambapo MOHAMMED ABOUBAKAR LUSINDAMBA alienda kikao Cha wachawi Cha kidunia Cha Abu Dhabi akaja na maazimio ya zindiko hilo la pili la Lindi la 1990.
kwa hiyo pia 1990 JK NYERERE pia alihusika kama mlivyodai Bagamoyo. Mbona hiyo ni ngonjera sasa
 
Lengo lilikuwa nchi itawalike kirahisi, uongo wa shetani eti nchi ingestawi
Vp kuhusu bungeni nasikia kuna zindiko moja kubwa lilifanywa pale wanapowekea lile chuma kwa mbwembwe ili waliomo ufahamu uwatoke
 
Nchi za kijamaa kwa ujumla wake naona zina shida. Mtu akiishakuwa kiongozi anaona wengine woote hamnazo. viongozi wote ni wakatili. Imagine mtu anawaambia mhamie Burundi

Imagine mtu hataki kusikiliza wananchi wake
Nchi zote duniani zilizofuata socialism ni makatili wa kutupwa, eg china [emoji630] russia [emoji635] czech, Bulgaria [emoji1058],
 
Back
Top Bottom