Kuna tetesi Dunia inafikia ukomo, Masiha anarudi?

Kuna tetesi Dunia inafikia ukomo, Masiha anarudi?

Miaka elfu Moja ni baada ya WATAKATIFU kunyakuliwa.

Mfano Unyakuo ulifanyika Leo, wataondoka WATAKATIFU pekee na kubaki wasiojiandaa, ndipo watapitia mateso MAKALI wakati huo WATAKATIFU wakipitia karamu.

Halafu ujue Ile haikuwa ndoto, ni halisi nilikuwa katika Roho.
Unataka kutuambia hao Watakatifu bado hawajanyakuliwaga tu miaka 1000 iliyopita? sasa kama bado tuna safari kusubiri miaka 1000 mbona hiyo itakuwa kisanga???

Mimi naona nyie Marabi wetu ndo mnashindwa kutafsiri ufunuo wa Yohana. Hivyo, mnambwera mbwera tu huku wenye mmechanganyikiwa maana hakuna ishara nyingine kubwa zaidi kuzidi kutimia kwa unabii kwa kuundwa tena kwa Taifa la Isreal na kutimia kwa unabii wa Chukizo la Uharibifu kusimama patakatifu.
 
We andaa tuu mambo ya nyumbani mwako, jiweke tayari.... Humu ndani utakutana na akina ANANIA na SAFIRA hawaelewi kitu jombaa..
 
Hujakosea mkuu.

Pope Francis Urges Jews to "Kill Jesus Again"if He Returns to Earth.

Pope Francis left onlookers stunned at an Italian prison when he made a statement that sent shock waves through the Catholic Church.
Papa Francis ni Jesuit. Papa Francis akiongea jambo huwa nalitafakari mara mbili mbili halafu naliweka moyoni.

Jesuits are the greatest spies ever happened on earth.Jesuits describes wednesday of the holy week as spy-wednesday.
 
Y=Year
2=mbili
K=000 (inasimama badala ya sifuri tatu

Year 2000 (mwaka elfu mbili)

Kipindi wanasema mwaka 2000 kiama mimi nilikuwa darasa la nne (ilikuwa 1999)

Mkesha wa mwaka mpya kutoka 1999 kuingia 2000 nilikaa nje naangalia juu ili nione kiama kinakuwaje

Cha ajabu mpaka leo tunadunda tu
Darasa la nne kama mie mkuu lkn nlikua sielewi zaidi ya taarabu moja hiv ndo ilikua na wimbo unaitwa Y2K 🤣🤣
 
Una akili mdogo sana ,Kurud Kwa Yesu hakutakua Kwa kinyonge na ufukara kama unavyowaza kiufukara itakua ni tukio la kutisha mnoo.. kama unadhan natania kawaulize wale walinzi pale kaburini wakati anafufuka yaan walkua kama wafu wakat Mwanaume anafufuka palikua hapatoshi ,Kwa iyo hayo mabomu ya Netenyau yenyewe yatasema Yesu amerudi ,miti itasema Yesu amerudi,mamba itakiri Yesu amerudi ,Samia,Museven,Ruto,kagame,askofu, Sheikhe ,imamu,Mufti woooote watasema Yesu amerudi kulichukua kanisa, ng'ombe wako kuku,meza kabati, vijiko, kitanda vyooote vitasema ni mwisho wa Dunia
Yesu atarudi kulichukua kanisa gani?
 
Hapa umejibu swali, kwamba watakaokutwa hai. Meaning hilo tukio kama lipo linaweza kuwa hata miaka 100,000 ijayo au b5 au 1,000 au siku 1. Kila la heri.

Sijakwama popote, nilikuuliza swali ukaanza kusisitiza wokovu badala ya kujibu swali.
nilisisitiza wokovu kwa sababu majibu ya mambo yote ya rohoni hupatikana pale mtu anapopokea wokovu. Maana ndipo Roho Mtakatifu huingia ndani ya mtu huyo na kuanza kumfunulia yote, hata yale mafumbo ya Mungu.

1Kor 2:10
“Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.

— 1 Wakorintho 2:10 (Biblia Takatifu)
 
nilisisitiza wokovu kwa sababu majibu ya mambo yote ya rohoni hupatikana pale mtu anapopokea wokovu. Maana ndipo Roho Mtakatifu huingia ndani ya mtu huyo na kuanza kumfunulia yote, hata yale mafumbo ya Mungu.

1Kor 2:10
“Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.

— 1 Wakorintho 2:10 (Biblia Takatifu)
Upo sawa ila swali lilikuwa la kawaida si la kiroho.

Lolote utakalosema, ukishasema umeenenda kiroho upo sawa kwa upande wako as long as hujavunja sheria za nchi sababu hakuna limitation kwenye ulimwengu wa roho, meaning hakuna logic unaenda kwa imani.

Ndo maana akija mtu hapa akasema jana kiroho alifanya kikao na malaika katika jangwa nchini misri ukianza kumbishia kuwa kaenda saa ngapi kwa sababu ulimuona asubuhi akila makande kwake hamtaelewana. Mwenzako yupo kiroho wewe unakuja na Logic.
 
hizo Hadith za kusimuliwa na wachungaji wenu..lakini ukisoma biblia kwa utulivu utagundua wasichokijua wakristo wengi wavivu wa kusoma biblia kwa tafakuri..

Kanisa litapitia dhiki kuu kwa kipindi Cha miaka 3 na nusu ,,afu litanyakuliwa then miaka mitatu na nusu ya mwisho ndio itaitimisha dhiki kuu kwa mapigo ya Mungu mwenyewe!!!
unafahamu malimbuko? (first fruits)
tabia za kanisa la filadelfia ni kanisa ambalo halitapitia kwenye dhiki. kuna unyakua wa zaidi ya mara mbili:
1. Malimbuko (kanisa la wazaliwa wa kwanza)
2. Mazao (Hawa ni wengi) Yohana aliulizwa: na Hawa? akaambiwa hawa ni wale wanaotoka katika Ile dhiki
3. Mabaki
 
Upo sawa ila swali lilikuwa la kawaida si la kiroho.

Lolote utakalosema, ukishasema umeenenda kiroho upo sawa kwa upande wako as long as hujavunja sheria za nchi sababu hakuna limitation kwenye ulimwengu wa roho, meaning hakuna logic unaenda kwa imani.

Ndo maana akija mtu hapa akasema jana kiroho alifanya kikao na malaika katika jangwa nchini misri ukianza kumbishia kuwa kaenda saa ngapi kwa sababu ulimuona asubuhi akila makande kwake hamtaelewana. Mwenzako yupo kiroho wewe unakuja na Logic.
kwenye Biblia, mambo yote ni kiroho. [Yoh 6:63] na mambo yote ya kiroho ni logical. Ni vile tu akili huwa inakwama, yaani Ina uwezo mdogo kuyaelewa mambo ya Mungu.
 
hizo Hadith za kusimuliwa na wachungaji wenu..lakini ukisoma biblia kwa utulivu utagundua wasichokijua wakristo wengi wavivu wa kusoma biblia kwa tafakuri..

Kanisa litapitia dhiki kuu kwa kipindi Cha miaka 3 na nusu ,,afu litanyakuliwa then miaka mitatu na nusu ya mwisho ndio itaitimisha dhiki kuu kwa mapigo ya Mungu mwenyewe!!!
Ni kanisa lipi ndo litanyakuliwa mkuu.
 
kwenye Biblia, mambo yote ni kiroho. [Yoh 6:63] na mambo yote ya kiroho ni logical. Ni vile tu akili huwa inakwama, yaani Ina uwezo mdogo kuyaelewa mambo ya Mungu.
Embu nipe Logic ya Yona kumezwa na Samaki kwa kuzingatia mfumo wa Samaki na binadamu ulivyo.

Ukitoka hapo njoo niambie Logic ya wanyama wawili, wawili ndani ya Safina walikula nini kwa kuzingatia circle of life kama uijuavyo.

Kisha uje na logic ya Adam na Eva walizaliana vipi hadi kijana wao kukimbilia kwenye mataifa mengine yanayotajwa na biblia.

NB: LOGIC, SIYO MAMBO YA ROHONI.
Nikisema Logic nadhani unanielewa.
 
Mkuu, Wapi nmemtaja Mungu ?
Au na ww ushajiunga lile grup linaloamini kwamba Mungu alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe🤔
Okay, nieleze Mungu alipomuumba Adamu, alimuumba Yeye MUNGU akiwa katika umbo Gani?

Wakati Mungu anachomoa mbavu za Adamu kumfanya Eva, MUNGU alikuwa katika umbo Gani?

Haya ni kwanini jini aweza mtokea mtu katika umbo Lolote Iwe la nyoka, Simba, Mwanamke, Mwanaume na usiamini kuwa MUNGU aweza zaliwa katika hori?

Inashangaza yule kichaa pale pwani Ya Wagerasi, Yale majini yalokuwa yamemkalia yalimtambua YESU ni nani na yakamwomba Asiyatese kabla ya wakati, yalimtambua ni nani lakini Binadamu anajiuliza maswali kumhusu.
 
Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Tittle ya uzi wako ni swali au maelezo!?
 
Pengine wewe bado mtoto mdogo wa 2000, ila sie wazee wako tulishaahidiwa na manabii wa kizazi kipya kuwa mwisho wa dunia ulikuwa mwaka 1978, wakachemka tena na kusema mwaka 1982 mara 1999......cha kushangaza mpaka leo bado tunapeta tu na kugawana dhambi according to dini za kuletewa.
Mwisho wa Dunia hauji kabla ya Unyakuo wa WATAKATIFU.

Majira tuliyopo ni karibu kunyakuliwa Kanisa.

Get prepared.
 
Embu nipe Logic ya Yona kumezwa na Samaki kwa kuzingatia mfumo wa Samaki na binadamu ulivyo.

Ukitoka hapo njoo niambie Logic ya wanyama wawili, wawili ndani ya Safina walikula nini kwa kuzingatia circle of life kama uijuavyo.

Kisha uje na logic ya Adam na Eva walizaliana vipi hadi kijana wao kukimbilia kwenye mataifa mengine yanayotajwa na biblia.

NB: LOGIC, SIYO MAMBO YA ROHONI.
Nikisema Logic nadhani unanielewa.
samaki wakubwa kama papa, nyangumi wana uwezo wa kummeza mtu. logic ni reason. Mungu hafanyi jambo lisilo na sababu. shida ni kutaka kujua mambo ya rohoni kwa akili
 
Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
It's possible,yote yaliyotabiriwa yametimia na yanazidi kutimia
 
Back
Top Bottom