Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

----Nchimbi ni kichwa sana, nashauri, awe mshauri mkuu wa rais kwa masuala ya kisiasa------
#kwa wakati huu sifahamu hili limeshikwa na nani?
--Japo kuwakoromea kidogo mabalozi siyo jambo baya, ni kuwajulisha na kuwakumbusha hasa juu ya makubaliano ya VIENA.
 
Baada ya Ally kibao kutekwa na kuuwawa tukaletewa "movie" ya yusuph kagoma ,wazee wa Cuba tulishtukia mchezo.
Tayari baadhi ya masheikh wameshaanza porojo zao kutetea uovu.
Naungana na wewe Genta lazima Kuna jambo litaanzishwa
 
Nimesikia baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni, kaomba Msaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.

Pia soma: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Mumeambiwa ukweli mweupe Sasa mnatapatapa tuu.

Hakuna kitu kama hicho so usijisumbue.
 
Baada ya Ally kibao kutekwa na kuuwawa tukaletewa "movie" ya yusuph kagoma ,wazee wa Cuba tulishtukia mchezo.
Tayari baadhi ya masheikh wameshaanza porojo zao kutetea uovu.
Naungana na wewe Genta lazima Kuna jambo litaanzishwa
Subirini goli la mama Zanzibar, Yanga watajazwa mapesa mbaki mnamshangilia mama mitano tena.
 
Nimesikia baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni, kaomba Msaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.

Pia soma: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Huna lolote
 
Wnamuondolea uhalali wa kugombea mwakani!

Nakumbuka jk aliwahi sema"awamu ya kwanza unafanya ili uchaguliwe tena,awamu ya pili unafanya ili kuacha kumbukumbu"!

Sasa kama hii ni awamu ya kwanza na anafanya Ili kuchaguliwa Tena,inakuaje kuwe na Teka Teka ,poteza poteza ,ua ua!!?Kuna shida mahali !!
 
The demage has already be done, and it's far away from being reversible....
 
Back
Top Bottom