Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Igizo limebamba hakuna linalotokea kwa bahati mbaya yale yalipangwa/mikakati,, lengo limetimia kutoka kujadili kifo cha Chifu Kibao sasa tupo kwenye hotuba yake na hapa Kati yataibuka maigizo mnoo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240815_142835_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20240815_142835_WhatsAppBusiness.jpg
    206.2 KB · Views: 3
Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni (hasa hasa hapa kwenye Watu wenye Akili Kubwa JamiiForums) kaomba Msaaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio baya la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Kuna Mtandao fulani utafuatwa kuombwa kuwajua Members Thinkers ni akina nani kwa Majina halisi

7. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.
hot-cuppa (1).gif
 
Back
Top Bottom