GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Kayanunue kwa Tapeli wa Kiimani Mwamposa Tanganyika Packers Kawe.Nina shida na mafuta ya upako ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayanunue kwa Tapeli wa Kiimani Mwamposa Tanganyika Packers Kawe.Nina shida na mafuta ya upako ova
J.lokole anasemaje leoWw nenda Kenya kaandamane uku tz hatutaki ujinga wenu
Bora mm mpumbavi kuliko kuwa punda ,watoto wenu wapo ulaya uko mna passport mnataka chagua hali ya nchi Samia tunaye hadi 2030 kama utaki ama nchiSawa Mpumbavu.
Cc: Lucas MwashambwaWakina lucas mwashamba buku 7 zimeongezwa hadi buku tisa jero 😄
Hopeless.Bora mm mpumbavi kuliko kuwa punda ,watoto wenu wapo ulaya uko mna passport mnataka chagua hali ya nchi Samia tunaye hadi 2030 kama utaki ama nchi
Huyo ndio naniJ.lokole anasemaje leo
Ova
Jamaa limefukia tonge kumi haraka haraka zimeteleza moja kwa moja bila hata kutafunwa then likaja kumwaga madini kabla tonge hazijapoaGenta baada ya kupata ugali na mlenda 😀
Hiyo namba 6 😊Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukw
🤣Hasa Watanzania wa dizaini za huyu Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Chawa Mwenzake ChoiceVariable
Kimenuka !Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia
Nimemaliza.
Tega sikio juu ya huu Uzi wangu Mkuu kwani GENTAMYCINE huwa sifichwi Jambo hasa pale nikitaka kujua nini kinaendelea.🔥mambo yote faya...noma sana...ngoja nitege sikio..
Hasa na kilichomchanganya zaidi ni Hizi Threads zetu hapa JamiiForums kwani kila akisoma anakuta Kapigwa tu Spana.Kimenuka !
😀😀😀😀...kuna watu ni genius aisee, your among them, even before hayo kutokea, with a such kind of presentation ,have my salute brotherBaada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuw
Halafu ni Kiongozi wa Nchi. Yaani ni Aibu na Kaharibu kuliko alivyodhania.Mtu unasema kifo ni kifo tu
Ova
www.ramli.co.tzBaada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.
Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni (hasa hasa hapa kwenye Watu wenye Akili Kubwa JamiiForums) kaomba Msaaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.
Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......
1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake
2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono
3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra
4. Huenda kuna Tukio baya la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga
5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao
6. Kuna Mtandao fulani utafuatwa kuombwa kuwajua Members Thinkers ni akina nani kwa Majina halisi
7. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha
Nimemaliza.
Nilishangaa nikajisemea sasa tukae mguu sawa, mambo yamebadilikaMtu unasema kifo ni kifo tu
Ova